peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Yaani angekuwa na Watoto 20 wote wangekuwa kwenye system.
Labda kwa huo ujumbe anatutetea sisi tusio na majina tusiachwe nje, hapendezwi na hiyo hali ya kukuta Watu wa aina moja, yaani Mongela, Mongela, Mongela.