Sam GM
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 535
- 30
Geza Ulole
Kuna baadhi yetu wakati tunakuwa (growing up) tulisikia sana neno Geza Ulole, hata wakati mwingine tuliweza kuimba mashuleni kuhusu Geza ulole, baadhi yetu hatukuelewa maana halisi ya geza ulole. Kulikuwa na bendi kadhaa za muziki ambazo ziliimba kuhusu watu wahame kwenda Geza ulole, nafikiri hii ilikuwa kipindi cha vijiji vya ujamaa kama sikosei.
Wengine tumeishakuwa watu wazima ila maana halisi ya Geza ulole, ilitoka wapi, ilimaanisha nini na iliishia wapi bado ni kitendawili. Pamoja na kuwa hii sio issue ya kuleta maendeleo na mabadiliko ya nchi yetu, lakini kwa baadhi yetu itatusaidia kujua tumetoka wapi na vipi na kuijua historia ya nchi yetu.
Kama kuna anayejua hali halisi na mazingira yote ya Geza ulole basi ni ombi atusaidie kutupa ufahamu zaidi wa hii Geza ulole.
Natanguliza shukrani.
Kuna baadhi yetu wakati tunakuwa (growing up) tulisikia sana neno Geza Ulole, hata wakati mwingine tuliweza kuimba mashuleni kuhusu Geza ulole, baadhi yetu hatukuelewa maana halisi ya geza ulole. Kulikuwa na bendi kadhaa za muziki ambazo ziliimba kuhusu watu wahame kwenda Geza ulole, nafikiri hii ilikuwa kipindi cha vijiji vya ujamaa kama sikosei.
Wengine tumeishakuwa watu wazima ila maana halisi ya Geza ulole, ilitoka wapi, ilimaanisha nini na iliishia wapi bado ni kitendawili. Pamoja na kuwa hii sio issue ya kuleta maendeleo na mabadiliko ya nchi yetu, lakini kwa baadhi yetu itatusaidia kujua tumetoka wapi na vipi na kuijua historia ya nchi yetu.
Kama kuna anayejua hali halisi na mazingira yote ya Geza ulole basi ni ombi atusaidie kutupa ufahamu zaidi wa hii Geza ulole.
Natanguliza shukrani.