Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanks mkuu, but members here put me so much under pressure nifue, ni ww tu mkuu umesema nisifue, na huo ndio msimamo wangu hadi nakuja
hapa jamvini, na najua hawa wote ni CDM machachari like i do, kweli i am on cross road right now, mapenzi bana, ila sasa nitamwambia my GF
mambo ya kunitest test aache maana soon namuoa, thanks mkuu
Jamani wataalam wa mapenzi nisaidieni, mchumba wangu for the first time in our
relation kaniomba nimfulie chupi yake, mm najua yangu anafua ila mm kama mwanaume kufua chupi ya mwanmke naona aaaahhhh.... haipo sawa, nimemwambia ziweke hadi ziwe mbili/tatu hivi halafu nitafua na zangu nikijaribu kumchenga, tena he put a lot of emphasis kasema eti mapenzi ndio yananoga zaidi, sometimes nisimwambie akute nimefua tu kama surprise...!!! surprise ...!!!!??? haya mapenzi haya, plse help
Ngoja nikuuulize Ungeambiwa kuchagua option moja kati ya hizi mbili mean mbili tu za kumuonyesha huyu mpenzi wakokuwa unampenda. utachagua ipi
- Kuwa unamfulia chupi
- Kuwa unakwenda chumvini
Sikiliza; huwezi kwenda mtoni unafua ati unaanika chupi za mamii juani! Ukiendelea hivyo utajaribiwa kwa kujaribu kubebeshwa pochi sokoni na pole pole utajikuta unaanza kusaidia kupaka wanja kwa kisingizio cha "mapenzi". Siri ya mambo haya ni kuwa kuna mambo ambayo unatakiwa ufanye kama mume au mpenzi. Na ukiyafanya unayafanya bila matarumbeta. Nitakupa kanuni:
a. Kama unatumia mashine ya kufulia (siyo ndoo au kupigapiga kwenye jiwe); unaruhusiwa kuchukua nguo zote "zenu" na kuzishughulikia; zikishakauka usionekane unakaa kuzikunja! Ila yeye akifua nguo zote hakikisha unashirikia kidogo kukunja huku mnachekeana unaweza ukaondoka na zawadi;
b. Kama mwenzi wako ni mgonjwa kiasi cha kushindwa kufanya mambo kama haya ni JUKUMU LAKO peke yako kuhakikisha unahifadhi aibu yake. Katika msingi huu hata kwenda kutupa tampons na kumpangusa uchafu mwingine ni jukumu lako. Hilii ni jukumu lake vile vile wewe ukiwa hujiwezi. Kwa hiyo, katika udhaifu hutakiwi hata kumuuliza mtu "ati nimfulie"?
c. Kwa vile mahusiano na kugawana majukumu basi kuna vitu ambavyo uwe tayari kuvifanya na usiache mke/mpenzi wako avifanye. Si kwa sababu haviwezi au nini ni kwa sababu kuna vitu vya "kiume" na vingine vya "kike". Usiamini mambo ya "Beijing". Huu uhusiano ni wa kwenu, kile mnachokubaliana nyie ndicho halali. So, kama mnafuliana nguo na kuoshana baada ya kutoka msalani hiyo ni siri yenu. Hata mara moja usije hadharani na kutuambia mnachofanyiana kwani kuna mapenzi ambayo watu wawili tu wanaoneshana. Kwa sababu tukija kujua nani ndiye shemeji yetu anaweza kujisikifia vibaya!
d. Kuna baadhi ya vitu unavifanya kwa mchumba wako au mke wako tu; hiki ni mojawapo ya vitu hivyo. Isipokuwa kama uhusiano wenu ni zaidi ya gf/bf kwa maana ya kwamba labda mnaishi ki mke na mume au mna uhusiano ambao unazidi wa gf/bf hivi. Vinginevyo, utajikuta unawafulia ma gfs wengi kweli katika maisha yako.
hili sasa ni LIMBWATAKawaida sana Mkuu, wewe unasema Kufua watu huwa tunavaa Chupi chafu za Wake zetu na wakati mwingine huwa Tunazivaa Kichwani wakati wa Kulala
hili sasa ni LIMBWATA
mfulie tu aisee... ni fleva zaidi na huwezi jua atajisikiaje, waweza pata the best christmas surprise everJamani wataalam wa mapenzi nisaidieni, mchumba wangu for the first time in our
relation kaniomba nimfulie chupi yake, mm najua yangu anafua ila mm kama mwanaume kufua chupi ya mwanmke naona aaaahhhh.... haipo sawa, nimemwambia ziweke hadi ziwe mbili/tatu hivi halafu nitafua na zangu nikijaribu kumchenga, tena he put a lot of emphasis kasema eti mapenzi ndio yananoga zaidi, sometimes nisimwambie akute nimefua tu kama surprise...!!! surprise ...!!!!??? haya mapenzi haya, plse help
Jamani wataalam wa mapenzi nisaidieni, mchumba wangu for the first time in our
relation kaniomba nimfulie chupi yake, mm najua yangu anafua ila mm kama mwanaume kufua chupi ya mwanmke naona aaaahhhh.... haipo sawa, nimemwambia ziweke hadi ziwe mbili/tatu hivi halafu nitafua na zangu nikijaribu kumchenga, tena he put a lot of emphasis kasema eti mapenzi ndio yananoga zaidi, sometimes nisimwambie akute nimefua tu kama surprise...!!! surprise ...!!!!??? haya mapenzi haya, plse help
dah.... aisee inawezekana ni mtegoFanya kile kitu roho inapenda! hii ni kutegana zaidi na wala sio mapenzi!
Mara kaibao Naibuka Kazini na Underwear ya My wife Wangu
sasa huko tunakokwenda si kuzuri na ndio maana kiwanda kikatofautisha kati ya chupi ya kiume na ya kike. Angalieni msije kuanza kuvaa mpaka bikini za wapenzi wenu.
Wanawake wanapenda sana ukifua hizo chupi zao mara moja moja; pia kuwanunulia hizo chupi na sidiria pia; haya ni maneno kutoka kwa baadhi niliokwisha wahoji au kusikia kwenye maongezi yao. Ila upende usipende utamfulia tu hasa akisha kuwa mkeo kwani kuna kuumwa. Yeye akiumwa za kwako nani anafua?
Watu wanashindwa kuelewa hapa...sio kila kitu akifanyacho mpenzi wako kwa upendo wake na wewe umfanyie kilekile!! kama yeye kapenda kufua afue ila na mimi nikifurahi siku namnunulia chupi! sasa sio nimnunulie chupi leo na yeye kesho aniletee chupi!! hapa kila mtu afanye anachokipenda ndo maisha yanenda!dah.... aisee inawezekana ni mtego
Ushafua hapa unazuga tu.....Jamani wataalam wa mapenzi nisaidieni, mchumba wangu for the first time in our
relation kaniomba nimfulie chupi yake, mm najua yangu anafua ila mm kama mwanaume kufua chupi ya mwanmke naona aaaahhhh.... haipo sawa, nimemwambia ziweke hadi ziwe mbili/tatu hivi halafu nitafua na zangu nikijaribu kumchenga, tena he put a lot of emphasis kasema eti mapenzi ndio yananoga zaidi, sometimes nisimwambie akute nimefua tu kama surprise...!!! surprise ...!!!!??? haya mapenzi haya, plse help