GF anataka NIMFULIE CHUPI yake, mmmmhhhh.....!!!!!!!!

GF anataka NIMFULIE CHUPI yake, mmmmhhhh.....!!!!!!!!

Bwana mdogo No way usifue chupi ya mwanamke. Kikwetu hiyo ni laana kubwa sana. (Kighune kya nyoko). Afue mwenyewe chupi zake na zako zote ni kazi yake kufua.
 
Thanks mkuu, but members here put me so much under pressure nifue, ni ww tu mkuu umesema nisifue, na huo ndio msimamo wangu hadi nakuja
hapa jamvini, na najua hawa wote ni CDM machachari like i do, kweli i am on cross road right now, mapenzi bana, ila sasa nitamwambia my GF
mambo ya kunitest test aache maana soon namuoa, thanks mkuu

Sikiliza; huwezi kwenda mtoni unafua ati unaanika chupi za mamii juani! Ukiendelea hivyo utajaribiwa kwa kujaribu kubebeshwa pochi sokoni na pole pole utajikuta unaanza kusaidia kupaka wanja kwa kisingizio cha "mapenzi". Siri ya mambo haya ni kuwa kuna mambo ambayo unatakiwa ufanye kama mume au mpenzi. Na ukiyafanya unayafanya bila matarumbeta. Nitakupa kanuni:

a. Kama unatumia mashine ya kufulia (siyo ndoo au kupigapiga kwenye jiwe); unaruhusiwa kuchukua nguo zote "zenu" na kuzishughulikia; zikishakauka usionekane unakaa kuzikunja! Ila yeye akifua nguo zote hakikisha unashirikia kidogo kukunja huku mnachekeana unaweza ukaondoka na zawadi;

b. Kama mwenzi wako ni mgonjwa kiasi cha kushindwa kufanya mambo kama haya ni JUKUMU LAKO peke yako kuhakikisha unahifadhi aibu yake. Katika msingi huu hata kwenda kutupa tampons na kumpangusa uchafu mwingine ni jukumu lako. Hilii ni jukumu lake vile vile wewe ukiwa hujiwezi. Kwa hiyo, katika udhaifu hutakiwi hata kumuuliza mtu "ati nimfulie"?

c. Kwa vile mahusiano na kugawana majukumu basi kuna vitu ambavyo uwe tayari kuvifanya na usiache mke/mpenzi wako avifanye. Si kwa sababu haviwezi au nini ni kwa sababu kuna vitu vya "kiume" na vingine vya "kike". Usiamini mambo ya "Beijing". Huu uhusiano ni wa kwenu, kile mnachokubaliana nyie ndicho halali. So, kama mnafuliana nguo na kuoshana baada ya kutoka msalani hiyo ni siri yenu. Hata mara moja usije hadharani na kutuambia mnachofanyiana kwani kuna mapenzi ambayo watu wawili tu wanaoneshana. Kwa sababu tukija kujua nani ndiye shemeji yetu anaweza kujisikifia vibaya!

d. Kuna baadhi ya vitu unavifanya kwa mchumba wako au mke wako tu; hiki ni mojawapo ya vitu hivyo. Isipokuwa kama uhusiano wenu ni zaidi ya gf/bf kwa maana ya kwamba labda mnaishi ki mke na mume au mna uhusiano ambao unazidi wa gf/bf hivi. Vinginevyo, utajikuta unawafulia ma gfs wengi kweli katika maisha yako.
 
Jamani wataalam wa mapenzi nisaidieni, mchumba wangu for the first time in our
relation kaniomba nimfulie chupi yake, mm najua yangu anafua ila mm kama mwanaume kufua chupi ya mwanmke naona aaaahhhh.... haipo sawa, nimemwambia ziweke hadi ziwe mbili/tatu hivi halafu nitafua na zangu nikijaribu kumchenga, tena he put a lot of emphasis kasema eti mapenzi ndio yananoga zaidi, sometimes nisimwambie akute nimefua tu kama surprise...!!! surprise ...!!!!??? haya mapenzi haya, plse help

Ngoja nikuuulize Ungeambiwa kuchagua option moja kati ya hizi mbili mean mbili tu za kumuonyesha huyu mpenzi wakokuwa unampenda. utachagua ipi

  1. Kuwa unamfulia chupi
  2. Kuwa unakwenda chumvini
 
Ngoja nikuuulize Ungeambiwa kuchagua option moja kati ya hizi mbili mean mbili tu za kumuonyesha huyu mpenzi wakokuwa unampenda. utachagua ipi

  1. Kuwa unamfulia chupi
  2. Kuwa unakwenda chumvini

No. 2 ndio jibu sahihi, ila ni kwa huyu wangu tu, si kila GF wa muda mfupi kama ukiwa nae unazama no. 2, hii inahitaji cleanness of high standard ok, Thanks
 
Sikiliza; huwezi kwenda mtoni unafua ati unaanika chupi za mamii juani! Ukiendelea hivyo utajaribiwa kwa kujaribu kubebeshwa pochi sokoni na pole pole utajikuta unaanza kusaidia kupaka wanja kwa kisingizio cha "mapenzi". Siri ya mambo haya ni kuwa kuna mambo ambayo unatakiwa ufanye kama mume au mpenzi. Na ukiyafanya unayafanya bila matarumbeta. Nitakupa kanuni:

a. Kama unatumia mashine ya kufulia (siyo ndoo au kupigapiga kwenye jiwe); unaruhusiwa kuchukua nguo zote "zenu" na kuzishughulikia; zikishakauka usionekane unakaa kuzikunja! Ila yeye akifua nguo zote hakikisha unashirikia kidogo kukunja huku mnachekeana unaweza ukaondoka na zawadi;

b. Kama mwenzi wako ni mgonjwa kiasi cha kushindwa kufanya mambo kama haya ni JUKUMU LAKO peke yako kuhakikisha unahifadhi aibu yake. Katika msingi huu hata kwenda kutupa tampons na kumpangusa uchafu mwingine ni jukumu lako. Hilii ni jukumu lake vile vile wewe ukiwa hujiwezi. Kwa hiyo, katika udhaifu hutakiwi hata kumuuliza mtu "ati nimfulie"?

c. Kwa vile mahusiano na kugawana majukumu basi kuna vitu ambavyo uwe tayari kuvifanya na usiache mke/mpenzi wako avifanye. Si kwa sababu haviwezi au nini ni kwa sababu kuna vitu vya "kiume" na vingine vya "kike". Usiamini mambo ya "Beijing". Huu uhusiano ni wa kwenu, kile mnachokubaliana nyie ndicho halali. So, kama mnafuliana nguo na kuoshana baada ya kutoka msalani hiyo ni siri yenu. Hata mara moja usije hadharani na kutuambia mnachofanyiana kwani kuna mapenzi ambayo watu wawili tu wanaoneshana. Kwa sababu tukija kujua nani ndiye shemeji yetu anaweza kujisikifia vibaya!

d. Kuna baadhi ya vitu unavifanya kwa mchumba wako au mke wako tu; hiki ni mojawapo ya vitu hivyo. Isipokuwa kama uhusiano wenu ni zaidi ya gf/bf kwa maana ya kwamba labda mnaishi ki mke na mume au mna uhusiano ambao unazidi wa gf/bf hivi. Vinginevyo, utajikuta unawafulia ma gfs wengi kweli katika maisha yako.

Mkuu umenena
u exactly said as it should be, maana ukikubali easily siku utaambiwa kubeba beg la mama na kwenda sokoni, na labda akiwa mgonjwa kazidiwa hapo nitafua, nafikiri eti kufua hizi underwear si kuonyesha mapenzi, hasa kama yy mzima, yupo lazima afue bana, this is common sense
thanks mkuu, namba d, yaani hapo ni ukweli mtupu tena, najua mapenzi ni ugonjwa but inabidi tusiwatetemekee saaaaaaaana kihivyo.
 
Jamani wataalam wa mapenzi nisaidieni, mchumba wangu for the first time in our
relation kaniomba nimfulie chupi yake, mm najua yangu anafua ila mm kama mwanaume kufua chupi ya mwanmke naona aaaahhhh.... haipo sawa, nimemwambia ziweke hadi ziwe mbili/tatu hivi halafu nitafua na zangu nikijaribu kumchenga, tena he put a lot of emphasis kasema eti mapenzi ndio yananoga zaidi, sometimes nisimwambie akute nimefua tu kama surprise...!!! surprise ...!!!!??? haya mapenzi haya, plse help
mfulie tu aisee... ni fleva zaidi na huwezi jua atajisikiaje, waweza pata the best christmas surprise ever

i would do that right away
 
Fanya kile kitu roho inapenda! hii ni kutegana zaidi na wala sio mapenzi!
 
Jamani wataalam wa mapenzi nisaidieni, mchumba wangu for the first time in our
relation kaniomba nimfulie chupi yake, mm najua yangu anafua ila mm kama mwanaume kufua chupi ya mwanmke naona aaaahhhh.... haipo sawa, nimemwambia ziweke hadi ziwe mbili/tatu hivi halafu nitafua na zangu nikijaribu kumchenga, tena he put a lot of emphasis kasema eti mapenzi ndio yananoga zaidi, sometimes nisimwambie akute nimefua tu kama surprise...!!! surprise ...!!!!??? haya mapenzi haya, plse help

Wanawake wanapenda sana ukifua hizo chupi zao mara moja moja; pia kuwanunulia hizo chupi na sidiria pia; haya ni maneno kutoka kwa baadhi niliokwisha wahoji au kusikia kwenye maongezi yao. Ila upende usipende utamfulia tu hasa akisha kuwa mkeo kwani kuna kuumwa. Yeye akiumwa za kwako nani anafua?
 
Be careful kijana, "Mkunje samaki angali mbichi". Kuna hali zinaruhusu kufanya hivyo na nyingine haziruhusu. Ila kwa uzoefu wangu hilo ni kama jaribio lakini sio zuri unaweza kufanywa Baba wa nyumbani.
 
Mara kaibao Naibuka Kazini na Underwear ya My wife Wangu

sasa huko tunakokwenda si kuzuri na ndio maana kiwanda kikatofautisha kati ya chupi ya kiume na ya kike. Angalieni msije kuanza kuvaa mpaka bikini za wapenzi wenu.
 
sasa huko tunakokwenda si kuzuri na ndio maana kiwanda kikatofautisha kati ya chupi ya kiume na ya kike. Angalieni msije kuanza kuvaa mpaka bikini za wapenzi wenu.

Tunazungumzia Chupi Mkuu, Tena ikibidi sometimes unasuprise unamnunulia Chupi aaah, wanapagawa sana kamanda ataanza kukuuliza ha Dear kweli unamfahamu Mke wako maana kuna wengine huwa hatukosei vipimo mkuu
 
Wanawake wanapenda sana ukifua hizo chupi zao mara moja moja; pia kuwanunulia hizo chupi na sidiria pia; haya ni maneno kutoka kwa baadhi niliokwisha wahoji au kusikia kwenye maongezi yao. Ila upende usipende utamfulia tu hasa akisha kuwa mkeo kwani kuna kuumwa. Yeye akiumwa za kwako nani anafua?

Ni kweli kuwa , kuna wakati wanaume wanapenda kufanya hayo mnayoyataka ya kufuliwa chupi!!!kwasababu mapenzi hayana formula, tatizo ni kwamba kwa nyinyi wanawake mkifanyiwa hayo yote hamchelewi kuanza kututangaza hata kwa mashoga zenu!!!!utasikia, ;''mimi mme wangu nimemshika hafurukuti kabisa na jinsi anavyonipenda hata chupi zangu ananifulia''!sasa hii inakuwa ngumu kwa wanaume walio wengi kuweza kuvumilia kwa siri za mapenzi yao kutoka hadi mtaa wa pili!!!!
 
dah.... aisee inawezekana ni mtego
Watu wanashindwa kuelewa hapa...sio kila kitu akifanyacho mpenzi wako kwa upendo wake na wewe umfanyie kilekile!! kama yeye kapenda kufua afue ila na mimi nikifurahi siku namnunulia chupi! sasa sio nimnunulie chupi leo na yeye kesho aniletee chupi!! hapa kila mtu afanye anachokipenda ndo maisha yanenda!
 
Jamani wataalam wa mapenzi nisaidieni, mchumba wangu for the first time in our
relation kaniomba nimfulie chupi yake, mm najua yangu anafua ila mm kama mwanaume kufua chupi ya mwanmke naona aaaahhhh.... haipo sawa, nimemwambia ziweke hadi ziwe mbili/tatu hivi halafu nitafua na zangu nikijaribu kumchenga, tena he put a lot of emphasis kasema eti mapenzi ndio yananoga zaidi, sometimes nisimwambie akute nimefua tu kama surprise...!!! surprise ...!!!!??? haya mapenzi haya, plse help
Ushafua hapa unazuga tu.....
 
mfulie tu, mbona mimi nafua mpaka sidiria zake kila siku?
 
Back
Top Bottom