GF wangu anachoka kupita kiasi baada ta tendo

GF wangu anachoka kupita kiasi baada ta tendo

Akili Kichwani

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2010
Posts
1,508
Reaction score
220
JF Doctor,

ni muda sasa nimejitahidi kulichukulia suala hili kama la kawaida ila sasa naona nahitaji kujua zaidi................

ni kwamba nina rafiki wa kike ambaye ni mjerumani, nimekuwa naye kwa muda wa karibu miezi minne sasa na anachonishangaza ni kuwa tukimaliza tendo huchoka kiasi kwamba siku nzima inayofuata huwa hawezi kufanya shughuli yoyote akidai amechoka sana kutokana na tendo lile,.................. yaani hushinda amelala tu hata kuwasha computer hawashi hata email zake huniomba nimsomee...............

hili limemfanya kuwa "mbishi" kiasi kila nikipendekeza "tutembee".......... kama ana kazi siku inayofuata hakubali katu............ nami nimejikuta nikitaka kumfahamu zaidi badala ya kumuacha na kutafuta mchapa kazi..................

sasa Dr hivi hii ni hali ya kawaida?........... mbona sijawahi kuona tatizo kama hili kwa wengine?............. kama ni tatizo, linasababishwa na nini? na kinga/matibabu yake ni yapi?................ msaada please...............
 
hayo makubwa, mi sijawahi kusikia. ngoja doktor aje anaweza kutoa mwanga kidogo, but isije ikawa kaenda loliondo!
 
Aende akapime afya yake hospital. Moyo unaweza kusababisha hiyo.

Huyo ni opposite ya nijuavyo, nijuavyo siku (anti yenu) ikimkolea kihaswa na ndio nikijituma kwa ziadan siku ya pili ndio huwa mchangamfu kupita kiasi, meno nje, ntapikiwa "favorites" zangu.

Naomba kampime afya yake usifanye ajizi.

Au mbonde ushaona kigozi cha kijeru, ndio mama, hakuna kulala hata kama hujala.
 
mnh huwa unasimamia baskeli kwenye mteremko nini?mpunguzie dozi na makali then utapata jibu
 
Inelekea unampigisha kwata la haja! Punguza fujo!

hahah, sio kwata limemzidi kimo au fujo zimezidi, la hasha................ ni kama kawaida tu na kwa uzoefu wangu wala sijazidisha hadi iwe tatizo............ unajua hadi imefikia nataka mawazo hapa ujue kazi ipo,........ nimeishapekua vitabu na hata internet sites na bado naendelea kuperuzi......... kwa kweli nitashukuru kujua sababu, iweje huyu tu???......... yaani kwa kweli kuna wakati huwa naogopa asije akanifia siku moja nikawa topic kwenye media.....................
 
Aende akapime afya yake hospital. Moyo unaweza kusababisha hiyo.

Huyo ni opposite ya nijuavyo, nijuavyo siku (anti yenu) ikimkolea kihaswa na ndio nikijituma kwa ziadan siku ya pili ndio huwa mchangamfu kupita kiasi, meno nje, ntapikiwa "favorites" zangu.

Naomba kampime afya yake usifanye ajizi.

Au mbonde ushaona kigozi cha kijeru, ndio mama, hakuna kulala hata kama hujala.

nashukuru mkuu, hilo la moyo nitalifanyia kazi mkuu..........., hapo penye bold sijaelewa vizuri, naomba ufafanuzi zaidi mkuu.................
 
hahah, yaani kwata kama la TMA monduli? dunia hii ina kazi! dada we acha tu!

we Miss Judith mchokozi eeh? uliona wapi kwata la wapendanao likawa kama la monduli?........... hahah, nashukuru umenichekesha kidogo.............
 
kaka punguza ku2mia pweza,UTAUA BENDI,mi najua akizidiwa m2 huomba maji anywe,ila hyo yako n xtreem
 
Au uvivu wake tu! Mmmh!
Kuna rafiki yangu nae akitoka kudinywa atalala siku nzima ila yeye ana asili ya uvivu pia.
 
JF Doctor,

ni muda sasa nimejitahidi kulichukulia suala hili kama la kawaida ila sasa naona nahitaji kujua zaidi................

ni kwamba nina rafiki wa kike ambaye ni mjerumani, nimekuwa naye kwa muda wa karibu miezi minne sasa na anachonishangaza ni kuwa tukimaliza tendo huchoka kiasi kwamba siku nzima inayofuata huwa hawezi kufanya shughuli yoyote akidai amechoka sana kutokana na tendo lile,.................. yaani hushinda amelala tu hata kuwasha computer hawashi hata email zake huniomba nimsomee...............

hili limemfanya kuwa "mbishi" kiasi kila nikipendekeza "tutembee".......... kama ana kazi siku inayofuata hakubali katu............ nami nimejikuta nikitaka kumfahamu zaidi badala ya kumuacha na kutafuta mchapa kazi..................

sasa Dr hivi hii ni hali ya kawaida?........... mbona sijawahi kuona tatizo kama hili kwa wengine?............. kama ni tatizo, linasababishwa na nini? na kinga/matibabu yake ni yapi?................ msaada please...............

Aise,
Jitaidi nenda kwa doctors wamcheck hali ya moyo wake au kisukari. Hey watch out asijekafia kifuani. Kwa jinsi ulivyoeleza sipati picha kabisa na binafsi siwezi kusema ni mvivu au we unasimamia kwa vile ilo ni gozi la kigeni....NOOO! Mbona si wenzio hawa wabongo tulionao tunawadinya mpaka kuanzia masaa ma2 and more but ikifika alfajiri mapema ameshamka kwa ajili ya kuandaa maji ya kuoga na chai. I am sure you know and you have experience na the way wabongo walivyowavumilivu ktk kazi na ndo maana umemstukia huyo Mjer na huko kuchoka kwake.Huyo wa kwako anaweza kuwa na matatizo ya kiafya plse react immediately to ur doctor.
 
Au uvivu wake tu! Mmmh!
Kuna rafiki yangu nae akitoka kudinywa atalala siku nzima ila yeye ana asili ya uvivu pia.

kwa hilo la uvivu pekee.......... nasita kulikubali............ bongo nilikuwa na mchaga mmoja, mvivu sana na tena mvivu hadi tunagombana kwa uvivu wake na alikuwa more than 100 kgs................. lakini hakuwa hivi! ......... siku kama za weekend tulikuwa tunaanza mchana na tunapiga kwata kwa masaa kadhaa tukijiburekisha........after just few moments anakuwa bomba tunatoka kutafuta kitimoto mahali........ kisha tunarudi tunalianzisha upya hadi midnight................ tunalala na kesho asubuhi kila mtu kivyake kwenye majukumu!............... mi naona huyu analo tatizo lazima..................
 
Aise,
Jitaidi nenda kwa doctors wamcheck hali ya moyo wake au kisukari. Hey watch out asijekafia kifuani. Kwa jinsi ulivyoeleza sipati picha kabisa na binafsi siwezi kusema ni mvivu au we unasimamia kwa vile ilo ni gozi la kigeni....NOOO! Mbona si wenzio hawa wabongo tulionao tunawadinya mpaka kuanzia masaa ma2 and more but ikifika alfajiri mapema ameshamka kwa ajili ya kuandaa maji ya kuoga na chai. I am sure you know and you experience na the way wabongo walivyowavumilivu ktk kazi na ndo maana umemstukia huyo Mjer na huko kuchoka kwake.Huyo wa kwako anaweza kuwa na matatizo ya kiafya plse react immediately to ur doctor.

asante mkuu kwa ushauri.......... ni kwamba hilo la kisukari tumeishacheki na hakupatwa na tatizo, itabidi sasa nimpe counseling tutafute vipimo vya moyo.......... manake kweli ni soo, hadi nimeamua kuuliza, hata mimi limeishanichanganya................. asije kweli akanifia nikkapata coverage ya bure kenye media............
 
Au ana- diet si unajua mambo ya ki-magharibi, sukari inapungu mwilini afu ndo uchovu huo
Au ana damu kidogo, anaweza kuwa na ugonjwa unaokula dam the mtu anachoka,
mengine moyo kama walivosema wengine,
Uvivu???? NO.
Kwata tehe tehe, unlikely.
Better see a physician.
 
Mpeleke Loliondo akapate kikomba cha Uzima baba, akitoka hapo utamkimbia mwenyewe kama FENI hahaha (just a joke)
 
Back
Top Bottom