GF wangu anachoka kupita kiasi baada ta tendo

GF wangu anachoka kupita kiasi baada ta tendo

Ni vizuri tukajua kazi yako, pengine unaweza kuwa dereva wa guta. Hebu fikiria ukitumia mauzoefu ya kazi kama hiyo hali itakuwaje?
 
wakati wa tendo hakuambii kama amechoka umuache?au anachoka kesho yake?punguza dose uone inakuaje.kama vipi muone dr...
 
kaka, huyo awe anapiga push ups 6 every morning then alambe asali kama vijiko vitatu,ashushie na water melon! Utafrah
 
kwani huwa unamuingila mara ngapi kwa usiku 1,try 2 reduce hiyodoze,kama vp mpatie juice ya tende iloyomix na asali.
 
pole,huyo ana matatizo anashindwa tu kusema, labda anaweza akawa hajui tatizo lake.
 
Back
Top Bottom