DOKEZO GGM security na ukiukaji wa haki za wafanyakazi

DOKEZO GGM security na ukiukaji wa haki za wafanyakazi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Ne mputi

New Member
Joined
Jul 1, 2024
Posts
1
Reaction score
3
Habari wana forum, kumekuwa na complain nyingi sana namna security wa mgodi wa Geita GGM wanavyokiuka haki za msingi za wafanyakazi.

Security wamepewa mamlaka makubwa mno na maamuzi yasiyochunguzwa wala kuulizwa na mamlaka nyingine. Imefikia wakati security anaweza kumkataa mfanyakazi na kublock kitambulisho chake kuzuia mfanyakazi kuingia kazini bila hata kumsikiliza wala kuhusisha mamlaka nyingine za uchunguzi kama polisi.

Kumekuwa na malalamiko makubwa especially kwa wafanyakazi wa contractor companies ambapo security wamekuwa wakituma ujumbe kwa uongozi wa kampuni husika kuwa hawamuhitaji mfanyakazi fulani. Security GGM wamekuwa wakichunguza na kutoa hukumu wenyewe bila aibu.

Wana kiburi na jeuri kuwa hata mfanyakazi akienda mahakamani na kushinda kesi watamlipa!

Tunaomba vyombo husika na GGML wenyewe waangalie namna security inavyonyanyasa Watanzania na kukiuka haki za msingi za wafanyakazi.

Wafanyakazi wana haki ya kusikilizwa kabla ya maamuzi na sio kufanya maamuzi ndo umpe mfanyakazi haki ya kusikilizwa. Na kwa makosa ambayo ni ya polisi wayapeleke polisi wayachunguze!

Acheni uhuni!
 
Hivi vimgambo vinavyopelekwa kuwa askari wa migodini 90% ni vishenzi sana, na kwakukosa kwao ajira za JKT ndio hasira zao wanahamishia kwa wafanyakazi wa migodini.

Nilishataka kutia makofi kajinga kamoja mgodini kwenye PIT.
 
Habari wana forum, kumekuwa na complain nyingi sana namna security wa mgodi wa Geita GGM wanavyokiuka haki za msingi za wafanyakazi.

Security wamepewa mamlaka makubwa mno na maamuzi yasiyochunguzwa wala kuulizwa na mamlaka nyingine. Imefikia wakati security anaweza kumkataa mfanyakazi na kublock kitambulisho chake kuzuia mfanyakazi kuingia kazini bila hata kumsikiliza wala kuhusisha mamlaka nyingine za uchunguzi kama polisi.

Kumekuwa na malalamiko makubwa especially kwa wafanyakazi wa contractor companies ambapo security wamekuwa wakituma ujumbe kwa uongozi wa kampuni husika kuwa hawamuhitaji mfanyakazi fulani. Security GGM wamekuwa wakichunguza na kutoa hukumu wenyewe bila aibu.

Wana kiburi na jeuri kuwa hata mfanyakazi akienda mahakamani na kushinda kesi watamlipa!

Tunaomba vyombo husika na GGML wenyewe waangalie namna security inavyonyanyasa Watanzania na kukiuka haki za msingi za wafanyakazi.

Wafanyakazi wana haki ya kusikilizwa kabla ya maamuzi na sio kufanya maamuzi ndo umpe mfanyakazi haki ya kusikilizwa. Na kwa makosa ambayo ni ya polisi wayapeleke polisi wayachunguze!

Acheni uhuni!
Uko sahihi,ingawa siko huko kuna jamaa yangu Yuko kitengo hicho katika mazungumzo yetu,akawa anajitapa eti Wanatoa Rb,na pia Wana rpc,nikabishana nae hadi Sasa hatuelewani,nilimuona anauelewa mdogo sana.Andikeni barua kwenda wizara ya mambo ya ndani.Mkiwa na ushahidi ulionyooka Ahsante na poleni sana.Mungu mwema.
 
Habari wana forum, kumekuwa na complain nyingi sana namna security wa mgodi wa Geita GGM wanavyokiuka haki za msingi za wafanyakazi.

Security wamepewa mamlaka makubwa mno na maamuzi yasiyochunguzwa wala kuulizwa na mamlaka nyingine. Imefikia wakati security anaweza kumkataa mfanyakazi na kublock kitambulisho chake kuzuia mfanyakazi kuingia kazini bila hata kumsikiliza wala kuhusisha mamlaka nyingine za uchunguzi kama polisi.

Kumekuwa na malalamiko makubwa especially kwa wafanyakazi wa contractor companies ambapo security wamekuwa wakituma ujumbe kwa uongozi wa kampuni husika kuwa hawamuhitaji mfanyakazi fulani. Security GGM wamekuwa wakichunguza na kutoa hukumu wenyewe bila aibu.

Wana kiburi na jeuri kuwa hata mfanyakazi akienda mahakamani na kushinda kesi watamlipa!

Tunaomba vyombo husika na GGML wenyewe waangalie namna security inavyonyanyasa Watanzania na kukiuka haki za msingi za wafanyakazi.

Wafanyakazi wana haki ya kusikilizwa kabla ya maamuzi na sio kufanya maamuzi ndo umpe mfanyakazi haki ya kusikilizwa. Na kwa makosa ambayo ni ya polisi wayapeleke polisi wayachunguze!

Acheni uhuni!
Tatizo wabongo na nyie mmezidi wizi...kila mtu anawaza wizi, nilisikitika watu walivyopiga mpaka mzigo wa vilipuzi, hii inatishia hata usalama wa nchi!
 
Tatizo wabongo na nyie mmezidi wizi...kila mtu anawaza wizi, nilisikitika watu walivyopiga mpaka mzigo wa vilipuzi, hii inatishia hata usalama wa nchi!
Ni hatari sana mkuu
 
Uko sahihi,ingawa siko huko kuna jamaa yangu Yuko kitengo hicho katika mazungumzo yetu,akawa anajitapa eti Wanatoa Rb,na pia Wana rpc,nikabishana nae hadi Sasa hatuelewani,nilimuona anauelewa mdogo sana.Andikeni barua kwenda wizara ya mambo ya ndani.Mkiwa na ushahidi ulionyooka Ahsante na poleni sana.Mungu mwema.
Hv zle kazi hua wanapataje, hua znatangazwa au
 
Back
Top Bottom