BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Hii nchi ya Tanzania ukiamua kufa kwa stress au umasikini basi utakua umejitakia mwenyewe.
Unaweza kiutani utani tu ukawa maarufu na ukapiga pesa. Huyu anajiita Mzee Mpili eti kwa sasa ni mtu maarufu Tanzania, anaalikwa hadi na vituo vya redio kubwa maarufu kama wasafi FM.
Anyway hua wanapita, walianza akina Dokta Shika, akaja mchungaji anayekata mauno, akaja Pierre Likwidi, na sasa Mzee Mpili..mnaweza shangaa akapata hadi ubalozi wa kampuni kubwa. Maisha haya bwana! Watu wanajua kucheza na alama za nyakati.
Unaweza kiutani utani tu ukawa maarufu na ukapiga pesa. Huyu anajiita Mzee Mpili eti kwa sasa ni mtu maarufu Tanzania, anaalikwa hadi na vituo vya redio kubwa maarufu kama wasafi FM.
Anyway hua wanapita, walianza akina Dokta Shika, akaja mchungaji anayekata mauno, akaja Pierre Likwidi, na sasa Mzee Mpili..mnaweza shangaa akapata hadi ubalozi wa kampuni kubwa. Maisha haya bwana! Watu wanajua kucheza na alama za nyakati.