mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Football mchezo wa muda mfupi sana. Sasa shangaa Shomari Kapombe ambaye wakati anajiunga Simba aliwahi kupewa tuzo ya mchezaji bora chipukizi na bodi ya ligi.
Ni jana juzi tu lakini kwa sasa pale kambini anapewa shikamoo na wachezaji karibia 20 kasoro Mzamiru na Shabalala, wengine wote ni shikamoo kaka Shomari.
Aanze kutafuta timu au kazi nyingine Kwa umri wake wa miaka32 kwenye siasa utaambiwa bado mdogo sana waachie wakubwa.
Shikamoo kaka Shomy ni mimi mdogo wako mdukuzi
Ni jana juzi tu lakini kwa sasa pale kambini anapewa shikamoo na wachezaji karibia 20 kasoro Mzamiru na Shabalala, wengine wote ni shikamoo kaka Shomari.
Aanze kutafuta timu au kazi nyingine Kwa umri wake wa miaka32 kwenye siasa utaambiwa bado mdogo sana waachie wakubwa.
Shikamoo kaka Shomy ni mimi mdogo wako mdukuzi