Ghafla tu Ngara na majimbo mengine yanatetewa yabakie Kagera, sababu ni Kabanga Nickel

Ghafla tu Ngara na majimbo mengine yanatetewa yabakie Kagera, sababu ni Kabanga Nickel

Phillipo Bukililo

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2015
Posts
18,487
Reaction score
13,611
Hayati John Magufuli alipambana sana Uzalishaji wa mgodi wa Nickel wa Kabanga Nickel uanze uzalishaji akiwa hai. Mipango ya Mungu huwa ina tofauti na ile ya binadamu.
Hakuweza kuishi mpaka kuona haya yanayoendelea hivi sasa. Angeridhika kwa asilimia mia moja. Utoke jasho kuupigania mradi mkubwa wenye maslahi ya kiuchumi halafu ufanikiwe, na wewe usiwe na sababu ya kugongesha glasi za mvinyo na marafiki zako, hiyo haiwezekani.

Lengo la JPM lilikuwa ni uanzishwaji wa Mkoa mpya unaojumuisha Chato na wilaya zote zilizo karibu. Utajiri wa mradi wa Nickel utauhakikishia mkoa huo mapato ya uhakika. Ndio maana hayati akapigana kadri alivyoweza na alipofariki akaacha hatua za mwishoni za ukamilishaji wa uanzishwaji wa mradi.

Kichekesho ni huu upendo 'mpya' unaoonyeshwa na baadhi ya wabunge ya kuwataka watu wa Ngara wasiunge mkono nia ya kuwa na mkoa watakaokuwa na ushawishi na pengine maendeleo ya kweli. Bukoba ni kilomita 320 kutoka Ngara, ni mbali kulinganisha na Chato.


Wanakuja na utetezi wa kihistoria ambao hauna faida yoyote zaidi ya kuendeleza 'status quo' ya siku zote. Wanataka waendelee na kujikweza na kujitukuza kupitia uwepo wa Bukoba kama makao makuu ya Mkoa wa Kagera. Ni mawazo yale yale ya kuendeleza 'ubwenyenye' ule ule wa miaka yote. Ni aina ya mawazo yeny dharau za kikabila ya kutaka ustaarabu ubakie ule ule wa miaka yote.

Miaka imepita kwa kasi na sasa kama taifa tunaitafuta miaka 60 ya Tanzania. Kama ni mtu tayari keshakuwa mtu mzima, hawezi kuishi kwa kukariri akiongozwa na falsafa zile zile za kale. Baadhi ya mikoa inajikuta ikikumbatia umaskini kwa sababu ya wanasiasa kuamini katika utamaduni ule ule wa siku za nyuma, pasipo kukubaliana na mabadiliko yanayokwenda sambamba na ukuaji wa miaka 60 ya Tanzania.

JPM alipambana mpaka mradi wa Nickel umeanza kazi. Mkoa wa Kagera unahitaji changamoto mpya ili uweze kuondokana na kuongozwa na hulka zile zile zisizoyagusa maisha ya mtu mmoja mmoja. Tuondokane na hizi imani potofu za kisiasa zinazodumaza maendeleo ya ukanda ule. Ni wakati wa baadhi ya watu wa Kagera kuanza kufikiria upya uwepo wa mkoa mpya wenye kila sababu za kisasa za uwepo wake.
 
Nimeshangaa sana watu wa bukobq..mleba..na karagwe watatetea kuwa historia wti ya watu wa Ngara na Biharamulo ni sawa na wahaya..eti sbb nyingine eti itakuwa hasara kwa mkoa wa kagera kuooteza mpaka wa rusumo kimapato wakati hizo jamii hazinufaiki na bukob..kwani kama ni maendeleo wilaya za ngara na biharamulo zinaweza kupata hapohapo kwani hizo boda post wala kabanga nichael haiwapunguzii mapato kwa nhazi za wilaya husika
 
Nimeshangaa sana watu wa bukobq..mleba..na karagwe watatetea kuwa historia wti ya watu wa Ngara na Biharamulo ni sawa na wahaya..eti sbb nyingine eti itakuwa hasara kwa mkoa wa kagera kuooteza mpaka wa rusumo kimapato wakati hizo jamii hazinufaiki na bukob..kwani kama ni maendeleo wilaya za ngara na biharamulo zinaweza kupata hapohapo kwani hizo boda post wala kabanga nichael haiwapunguzii mapato kwa nhazi za wilaya husika
Asante kwa kulielewa andiko langu. Upendo umekuja muda huu wakati uchimbaji wa Tembo Nickel ukitarajiwa kuanza, usingekuwepo wala wasingekuwa na time na hizi wilaya zinazotaka kujitenga.
 
Hayati John Magufuli alipambana sana Uzalishaji wa mgodi wa Nickel wa Kabanga Nickel uanze uzalishaji akiwa hai. Mipango ya Mungu huwa ina tofauti na ile ya binadamu.
Hakuweza kuishi mpaka kuona haya yanayoendelea hivi sasa. Angeridhika kwa asilimia mia moja. Utoke jasho kuupigania mradi mkubwa wenye maslahi ya kiuchumi halafu ufanikiwe, na wewe usiwe na sababu ya kugongesha glasi za mvinyo na marafiki zako, hiyo haiwezekani.

Lengo la JPM lilikuwa ni uanzishwaji wa Mkoa mpya unaojumuisha Chato na wilaya zote zilizo karibu. Utajiri wa mradi wa Nickel utauhakikishia mkoa huo mapato ya uhakika. Ndio maana hayati akapigana kadri alivyoweza na alipofariki akaacha hatua za mwishoni za ukamilishaji wa uanzishwaji wa mradi.

Kichekesho ni huu upendo 'mpya' unaoonyeshwa na baadhi ya wabunge ya kuwataka watu wa Ngara wasiunge mkono nia ya kuwa na mkoa watakaokuwa na ushawishi na pengine maendeleo ya kweli. Bukoba ni kilomita 320 kutoka Ngara, ni mbali kulinganisha na Chato.


Wanakuja na utetezi wa kihistoria ambao hauna faida yoyote zaidi ya kuendeleza 'status quo' ya siku zote. Wanataka waendelee na kujikweza na kujitukuza kupitia uwepo wa Bukoba kama makao makuu ya Mkoa wa Kagera. Ni mawazo yale yale ya kuendeleza 'ubwenyenye' ule ule wa miaka yote. Ni aina ya mawazo yeny dharau za kikabila ya kutaka ustaarabu ubakie ule ule wa miaka yote.

Miaka imepita kwa kasi na sasa kama taifa tunaitafuta miaka 60 ya Tanzania. Kama ni mtu tayari keshakuwa mtu mzima, hawezi kuishi kwa kukariri akiongozwa na falsafa zile zile za kale. Baadhi ya mikoa inajikuta ikikumbatia umaskini kwa sababu ya wanasiasa kuamini katika utamaduni ule ule wa siku za nyuma, pasipo kukubaliana na mabadiliko yanayokwenda sambamba na ukuaji wa miaka 60 ya Tanzania.

JPM alipambana mpaka mradi wa Nickel umeanza kazi. Mkoa wa Kagera unahitaji changamoto mpya ili uweze kuondokana na kuongozwa na hulka zile zile zisizoyagusa maisha ya mtu mmoja mmoja. Tuondokane na hizi imani potofu za kisiasa zinazodumaza maendeleo ya ukanda ule. Ni wakati wa baadhi ya watu wa Kagera kuanza kufikiria upya uwepo wa mkoa mpya wenye kila sababu za kisasa za uwepo wake.

Faida za hiyo Nickel haziwezi kupatikana / Kuwa Realized bila kuanzisha Mkoa Mpya ?
Basi angeanzisha nchi Mpya kabisa hapo Chato
 
Mnawalizimisha nini kama hawataki, ujinga mtupu
 
Hayati John Magufuli alipambana sana Uzalishaji wa mgodi wa Nickel wa Kabanga Nickel uanze uzalishaji akiwa hai. Mipango ya Mungu huwa ina tofauti na ile ya binadamu.
Hakuweza kuishi mpaka kuona haya yanayoendelea hivi sasa. Angeridhika kwa asilimia mia moja. Utoke jasho kuupigania mradi mkubwa wenye maslahi ya kiuchumi halafu ufanikiwe, na wewe usiwe na sababu ya kugongesha glasi za mvinyo na marafiki zako, hiyo haiwezekani.

Lengo la JPM lilikuwa ni uanzishwaji wa Mkoa mpya unaojumuisha Chato na wilaya zote zilizo karibu. Utajiri wa mradi wa Nickel utauhakikishia mkoa huo mapato ya uhakika. Ndio maana hayati akapigana kadri alivyoweza na alipofariki akaacha hatua za mwishoni za ukamilishaji wa uanzishwaji wa mradi.

Kichekesho ni huu upendo 'mpya' unaoonyeshwa na baadhi ya wabunge ya kuwataka watu wa Ngara wasiunge mkono nia ya kuwa na mkoa watakaokuwa na ushawishi na pengine maendeleo ya kweli. Bukoba ni kilomita 320 kutoka Ngara, ni mbali kulinganisha na Chato.


Wanakuja na utetezi wa kihistoria ambao hauna faida yoyote zaidi ya kuendeleza 'status quo' ya siku zote. Wanataka waendelee na kujikweza na kujitukuza kupitia uwepo wa Bukoba kama makao makuu ya Mkoa wa Kagera. Ni mawazo yale yale ya kuendeleza 'ubwenyenye' ule ule wa miaka yote. Ni aina ya mawazo yeny dharau za kikabila ya kutaka ustaarabu ubakie ule ule wa miaka yote.

Miaka imepita kwa kasi na sasa kama taifa tunaitafuta miaka 60 ya Tanzania. Kama ni mtu tayari keshakuwa mtu mzima, hawezi kuishi kwa kukariri akiongozwa na falsafa zile zile za kale. Baadhi ya mikoa inajikuta ikikumbatia umaskini kwa sababu ya wanasiasa kuamini katika utamaduni ule ule wa siku za nyuma, pasipo kukubaliana na mabadiliko yanayokwenda sambamba na ukuaji wa miaka 60 ya Tanzania.

JPM alipambana mpaka mradi wa Nickel umeanza kazi. Mkoa wa Kagera unahitaji changamoto mpya ili uweze kuondokana na kuongozwa na hulka zile zile zisizoyagusa maisha ya mtu mmoja mmoja. Tuondokane na hizi imani potofu za kisiasa zinazodumaza maendeleo ya ukanda ule. Ni wakati wa baadhi ya watu wa Kagera kuanza kufikiria upya uwepo wa mkoa mpya wenye kila sababu za kisasa za uwepo wake.
Kila sehemu ikipatikana madini inajitenga kuwa mkoa??
 
Hayati John Magufuli alipambana sana Uzalishaji wa mgodi wa Nickel wa Kabanga Nickel uanze uzalishaji akiwa hai. Mipango ya Mungu huwa ina tofauti na ile ya binadamu.
Hakuweza kuishi mpaka kuona haya yanayoendelea hivi sasa. Angeridhika kwa asilimia mia moja. Utoke jasho kuupigania mradi mkubwa wenye maslahi ya kiuchumi halafu ufanikiwe, na wewe usiwe na sababu ya kugongesha glasi za mvinyo na marafiki zako, hiyo haiwezekani.

Lengo la JPM lilikuwa ni uanzishwaji wa Mkoa mpya unaojumuisha Chato na wilaya zote zilizo karibu. Utajiri wa mradi wa Nickel utauhakikishia mkoa huo mapato ya uhakika. Ndio maana hayati akapigana kadri alivyoweza na alipofariki akaacha hatua za mwishoni za ukamilishaji wa uanzishwaji wa mradi.

Kichekesho ni huu upendo 'mpya' unaoonyeshwa na baadhi ya wabunge ya kuwataka watu wa Ngara wasiunge mkono nia ya kuwa na mkoa watakaokuwa na ushawishi na pengine maendeleo ya kweli. Bukoba ni kilomita 320 kutoka Ngara, ni mbali kulinganisha na Chato.


Wanakuja na utetezi wa kihistoria ambao hauna faida yoyote zaidi ya kuendeleza 'status quo' ya siku zote. Wanataka waendelee na kujikweza na kujitukuza kupitia uwepo wa Bukoba kama makao makuu ya Mkoa wa Kagera. Ni mawazo yale yale ya kuendeleza 'ubwenyenye' ule ule wa miaka yote. Ni aina ya mawazo yeny dharau za kikabila ya kutaka ustaarabu ubakie ule ule wa miaka yote.

Miaka imepita kwa kasi na sasa kama taifa tunaitafuta miaka 60 ya Tanzania. Kama ni mtu tayari keshakuwa mtu mzima, hawezi kuishi kwa kukariri akiongozwa na falsafa zile zile za kale. Baadhi ya mikoa inajikuta ikikumbatia umaskini kwa sababu ya wanasiasa kuamini katika utamaduni ule ule wa siku za nyuma, pasipo kukubaliana na mabadiliko yanayokwenda sambamba na ukuaji wa miaka 60 ya Tanzania.

JPM alipambana mpaka mradi wa Nickel umeanza kazi. Mkoa wa Kagera unahitaji changamoto mpya ili uweze kuondokana na kuongozwa na hulka zile zile zisizoyagusa maisha ya mtu mmoja mmoja. Tuondokane na hizi imani potofu za kisiasa zinazodumaza maendeleo ya ukanda ule. Ni wakati wa baadhi ya watu wa Kagera kuanza kufikiria upya uwepo wa mkoa mpya wenye kila sababu za kisasa za uwepo wake.
Ushawahi kuwaza ikitokea huko wilaya za bukoba nako wakigundua madini yenye thamani kuliko nikel au hiyo deposited ikiisha mtajimega tena chato kurudi bukoba,
Achaa kuchochea ubaguzi
 
Hayati John Magufuli alipambana sana Uzalishaji wa mgodi wa Nickel wa Kabanga Nickel uanze uzalishaji akiwa hai. Mipango ya Mungu huwa ina tofauti na ile ya binadamu.
Hakuweza kuishi mpaka kuona haya yanayoendelea hivi sasa. Angeridhika kwa asilimia mia moja. Utoke jasho kuupigania mradi mkubwa wenye maslahi ya kiuchumi halafu ufanikiwe, na wewe usiwe na sababu ya kugongesha glasi za mvinyo na marafiki zako, hiyo haiwezekani.

Lengo la JPM lilikuwa ni uanzishwaji wa Mkoa mpya unaojumuisha Chato na wilaya zote zilizo karibu. Utajiri wa mradi wa Nickel utauhakikishia mkoa huo mapato ya uhakika. Ndio maana hayati akapigana kadri alivyoweza na alipofariki akaacha hatua za mwishoni za ukamilishaji wa uanzishwaji wa mradi.

Kichekesho ni huu upendo 'mpya' unaoonyeshwa na baadhi ya wabunge ya kuwataka watu wa Ngara wasiunge mkono nia ya kuwa na mkoa watakaokuwa na ushawishi na pengine maendeleo ya kweli. Bukoba ni kilomita 320 kutoka Ngara, ni mbali kulinganisha na Chato.


Wanakuja na utetezi wa kihistoria ambao hauna faida yoyote zaidi ya kuendeleza 'status quo' ya siku zote. Wanataka waendelee na kujikweza na kujitukuza kupitia uwepo wa Bukoba kama makao makuu ya Mkoa wa Kagera. Ni mawazo yale yale ya kuendeleza 'ubwenyenye' ule ule wa miaka yote. Ni aina ya mawazo yeny dharau za kikabila ya kutaka ustaarabu ubakie ule ule wa miaka yote.

Miaka imepita kwa kasi na sasa kama taifa tunaitafuta miaka 60 ya Tanzania. Kama ni mtu tayari keshakuwa mtu mzima, hawezi kuishi kwa kukariri akiongozwa na falsafa zile zile za kale. Baadhi ya mikoa inajikuta ikikumbatia umaskini kwa sababu ya wanasiasa kuamini katika utamaduni ule ule wa siku za nyuma, pasipo kukubaliana na mabadiliko yanayokwenda sambamba na ukuaji wa miaka 60 ya Tanzania.

JPM alipambana mpaka mradi wa Nickel umeanza kazi. Mkoa wa Kagera unahitaji changamoto mpya ili uweze kuondokana na kuongozwa na hulka zile zile zisizoyagusa maisha ya mtu mmoja mmoja. Tuondokane na hizi imani potofu za kisiasa zinazodumaza maendeleo ya ukanda ule. Ni wakati wa baadhi ya watu wa Kagera kuanza kufikiria upya uwepo wa mkoa mpya wenye kila sababu za kisasa za uwepo wake.
Huna hoja Unasumbuliwa inferiority complex
 
Hayati John Magufuli alipambana sana Uzalishaji wa mgodi wa Nickel wa Kabanga Nickel uanze uzalishaji akiwa hai. Mipango ya Mungu huwa ina tofauti na ile ya binadamu.
Hakuweza kuishi mpaka kuona haya yanayoendelea hivi sasa. Angeridhika kwa asilimia mia moja. Utoke jasho kuupigania mradi mkubwa wenye maslahi ya kiuchumi halafu ufanikiwe, na wewe usiwe na sababu ya kugongesha glasi za mvinyo na marafiki zako, hiyo haiwezekani.

Lengo la JPM lilikuwa ni uanzishwaji wa Mkoa mpya unaojumuisha Chato na wilaya zote zilizo karibu. Utajiri wa mradi wa Nickel utauhakikishia mkoa huo mapato ya uhakika. Ndio maana hayati akapigana kadri alivyoweza na alipofariki akaacha hatua za mwishoni za ukamilishaji wa uanzishwaji wa mradi.

Kichekesho ni huu upendo 'mpya' unaoonyeshwa na baadhi ya wabunge ya kuwataka watu wa Ngara wasiunge mkono nia ya kuwa na mkoa watakaokuwa na ushawishi na pengine maendeleo ya kweli. Bukoba ni kilomita 320 kutoka Ngara, ni mbali kulinganisha na Chato.


Wanakuja na utetezi wa kihistoria ambao hauna faida yoyote zaidi ya kuendeleza 'status quo' ya siku zote. Wanataka waendelee na kujikweza na kujitukuza kupitia uwepo wa Bukoba kama makao makuu ya Mkoa wa Kagera. Ni mawazo yale yale ya kuendeleza 'ubwenyenye' ule ule wa miaka yote. Ni aina ya mawazo yeny dharau za kikabila ya kutaka ustaarabu ubakie ule ule wa miaka yote.

Miaka imepita kwa kasi na sasa kama taifa tunaitafuta miaka 60 ya Tanzania. Kama ni mtu tayari keshakuwa mtu mzima, hawezi kuishi kwa kukariri akiongozwa na falsafa zile zile za kale. Baadhi ya mikoa inajikuta ikikumbatia umaskini kwa sababu ya wanasiasa kuamini katika utamaduni ule ule wa siku za nyuma, pasipo kukubaliana na mabadiliko yanayokwenda sambamba na ukuaji wa miaka 60 ya Tanzania.

JPM alipambana mpaka mradi wa Nickel umeanza kazi. Mkoa wa Kagera unahitaji changamoto mpya ili uweze kuondokana na kuongozwa na hulka zile zile zisizoyagusa maisha ya mtu mmoja mmoja. Tuondokane na hizi imani potofu za kisiasa zinazodumaza maendeleo ya ukanda ule. Ni wakati wa baadhi ya watu wa Kagera kuanza kufikiria upya uwepo wa mkoa mpya wenye kila sababu za kisasa za uwepo wake.
1.Hebu tuambie kwanini tuwe na mkoa mpya kwa kumega maeneo kutoka sehemu nyingine?

2. Kama shida ni kupata mkoa mpya kwanini tusianze kuigawanya ile mikoa mikubwa kieneo ie Tabora, Morogoro au Mtwara?

3.kwanini Chato, Je ni kulinda legacy Kama ni kulinda legacy kwanini tusianze na Butiama, Msoga, Lupaso au Mkuranga?
 
Asante kwa kulielewa andiko langu. Upendo umekuja muda huu wakati uchimbaji wa Tembo Nickel ukitarajiwa kuanza, usingekuwepo wala wasingekuwa na time na hizi wilaya zinazotaka kujitenga.
Hawa jamaa walikuwa na chama chao cha KcU kilikuwa kinanunua kahawa bihamaruma ..ngara ..na karagwe..miaka ya nyuma..pesa zote wakapeleka kujenga swcondary za kisqsa bukoba na mreba..mayokeo yake karagwe wakajitenga kwa kuanzisha kdcu..chato wakaanzisha BCU kwa ajili ya pamba..nagala na biharamuko wakabako kutajirisha bukoba..ndo chanzo cha matatizo..Leo nimeshahangaa watu wanatumia lugha ya ukabila na koo kama njia ya kupinga maendelo ya mkoa wa chato
 
1.Hebu tuambie kwanini tuwe na mkoa mpya kwa kumega maeneo kutoka sehemu nyingine?

2. Kama shida ni kupata mkoa mpya kwanini tusianze kuigawanya ile mikoa mikubwa kieneo ie Tabora, Morogoro au Mtwara?

3.kwanini Chato, Je ni kulinda legacy Kama ni kulinda legacy kwanini tusianze na Butiama, Msoga, Lupaso au Mkuranga?
Hitajibiwa mkuu. Hawana hiyo akili.
 
Back
Top Bottom