Bushesha jr
JF-Expert Member
- Apr 26, 2020
- 675
- 690
Baba yake Gaidi yuko machame siyo?Daaah hmenchekesha sana
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba yake Gaidi yuko machame siyo?Daaah hmenchekesha sana
Kama yule Gaidi wa sacoos yetu inayojifiaHawa watu ni "mafala" sana. Yani ukiwauliza sababu ya kuunda mkoa mpya wanataja neno Magufuli. Angewaambia sasa wanaume anza kuvaa sidiria hawa wapuuzi wasio na akili wangevaa
Kwann kijiji cha Chato kibadilishwe kuwa mkoa?Hoja kubwa mkoa wa Chato uanze
Wewe kinachokuuma ni nini? Au tauapungukiwa nini mkoa wa chato ukianzishwa na makao makuu yake yakawa chato.?Kwann kijiji cha Chato kibadilishwe kuwa mkoa?
Wafuasi wa jini jiwe mnalazimisha aenziwe huyo jini wenuWewe kinachokuuma ni nini? Au tauapungukiwa nini mkoa wa chato ukianzishwa na makao makuu yake yakawa chato.?
#MaendeleoHayanaChama
Hahahaha nimecheka hatari....ety timu gaidi mtwara na lindi sio?Wewe ni mjinga Kanda ya ziwa ndiyo ina watu na ndiyo eneo ni kubwa mno hv nyie timu Gaidi mbona kwenu mkoa ni mdogo na ndiyo Siri pia mafanikio yenu lakini mnajifai hamuoni
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ilianzishwa kwa sababu ya kifo cha mtu?Kwani mikoa ya Manyara na Katavi ilianzishwa na Magufuri ?
Kuita watu wanyamahanga sio tusi wala kejeli. That time hakuna mtu anajua dunia ina jamii ngapi na races ngapi, neno mnyamahanga lilimaanisha mtu wa mataifa mengine asiyejua Kihaya wala tamaduni zake.Wahaya ni wash....nzi..ingawa ni shemeji zangu..hoja zao zimejaa ikabila..na pia ngara na bihalamuro ni maeneo ambayo wenyeji wa huko wanawaita wa nyamahanga..yani kiufupi wana wadharau sana..kisa sio wahaya.
Hoja kubwa mkoa wa Chato uanze.
#MaendeleoHayanaChama
Umeshawahi kufika Chato? Kama haujawahi fanya upite Mkuu, yenyewe tuu kama yenyewe inahitaji msaada sasa vipi ukiifanya Mkoa?
Team jiwe wanataka kila yakiibuka madini tutengeneze mkoa, kila akifa rais tutengeneze mkoa, kila muombolezaji aliyeshiba ubwabwa akijiongelesha basi tuchukue maneno yake.Mleta mada nimekuelewa hapa kinachokusumbua ni elimu ya darasani na kukosa upeo kutoka hapo ulipo ukatembea mikoani angalau ukapata mwanga nanikiongea kutembea sio kukaa kwenye gali kama spea taili alafu tukikuuliza umetembea mkoani unatujia stend ya mabasi naenda kwenye mada yako kama chato imekua kimapato basi iwe halmashauli au iwe manispaa sio kutengeneza mkoa kisa madini kwani ngara imekua kuzidi kahama mbona kahama haijawa mkoa au kwa nn usiwe mkoa wa ngara
Ilianzishwa kwa sababu ya kifo cha mtu?
Ilianzishwa kwa sababu ya kupata madini?
Ilianzishwa kwa kuungaunga maeneo ya mikoa mingine?
Unajua kwa nini Manyara ulifanywa mkoa na ulimegwa wapi, na huo mkoa uliomegwa ulikuwa mkubwa kiasi gani? Unaona kuna mfanano wowote
Nani kakudanganya kwamba haina sifa ?Upuuzi tu,kama Chato haina sifa kwa nini mlazimishe?!
Kuna swali la msingi kauliza na hujamjibu..Leo ndio wamekuwa na upendo kwa eneo la mpakani siku zote wakituburuza.
Imefika tamati sasa.
tumia akili kuku wewe,ingekuwa kubwa mngelazimisha kukopa maeneo ya mikoa mingine?Wewe ni mjinga Kanda ya ziwa ndiyo ina watu na ndiyo eneo ni kubwa mno hv nyie timu Gaidi mbona kwenu mkoa ni mdogo na ndiyo Siri pia mafanikio yenu lakini mnajifai hamuoni
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
sasa kulazimisha wilaya za mikoa mingine maana yake niniNani kakudanganya kwamba haina sifa ?