YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Mleta mada uko sahihi sana Tena mno
Kuna maeneo yalionewa sana na kuwa marginalized mno na ndio walionewa watu hopeless ambao hata maendeleo hawana na Hakuna mtu mwenye mpango wa kuoa au kuolewa na mturkana
Kenya maeneo kama Turkana walionewa na kuwa marginalized sana yalipogunduliwa madini na mafuta wakajitia kuleta za kuleta
Waturkana hawakukubali
Sasa hivi bajeti kubwa inaenda huko kujikomba
Magufuli aliliona Hilo kuwa kukomboa eneo maginalized Kama Hilo wapewe mkoa wao madini yalipogunduliwa yawe yao kuleta heshima Kagera na Tanzania kuwa si vizuri ku marginalize mtu one day Mungu aweza mtoa vile vile
Kuna madini kibao yamegunduliwa mikoa marginalized kuanzia Kusini,Dodoma na Singida,na huko na Pemba na nyanda za juu kusini
Naunga mkono uanzishaji mkoa eneo marginalized baada ya madini kugunduliwa na wao wafaidi mirahaba nk
Mleta mada analysis yako imeenda shule hasa.Naunga mkono hoja
Kuna maeneo yalionewa sana na kuwa marginalized mno na ndio walionewa watu hopeless ambao hata maendeleo hawana na Hakuna mtu mwenye mpango wa kuoa au kuolewa na mturkana
Kenya maeneo kama Turkana walionewa na kuwa marginalized sana yalipogunduliwa madini na mafuta wakajitia kuleta za kuleta
Waturkana hawakukubali
Sasa hivi bajeti kubwa inaenda huko kujikomba
Magufuli aliliona Hilo kuwa kukomboa eneo maginalized Kama Hilo wapewe mkoa wao madini yalipogunduliwa yawe yao kuleta heshima Kagera na Tanzania kuwa si vizuri ku marginalize mtu one day Mungu aweza mtoa vile vile
Kuna madini kibao yamegunduliwa mikoa marginalized kuanzia Kusini,Dodoma na Singida,na huko na Pemba na nyanda za juu kusini
Naunga mkono uanzishaji mkoa eneo marginalized baada ya madini kugunduliwa na wao wafaidi mirahaba nk
Mleta mada analysis yako imeenda shule hasa.Naunga mkono hoja