Ghafla tu Ngara na majimbo mengine yanatetewa yabakie Kagera, sababu ni Kabanga Nickel

Ghafla tu Ngara na majimbo mengine yanatetewa yabakie Kagera, sababu ni Kabanga Nickel

Mleta mada uko sahihi sana Tena mno

Kuna maeneo yalionewa sana na kuwa marginalized mno na ndio walionewa watu hopeless ambao hata maendeleo hawana na Hakuna mtu mwenye mpango wa kuoa au kuolewa na mturkana

Kenya maeneo kama Turkana walionewa na kuwa marginalized sana yalipogunduliwa madini na mafuta wakajitia kuleta za kuleta

Waturkana hawakukubali
Sasa hivi bajeti kubwa inaenda huko kujikomba

Magufuli aliliona Hilo kuwa kukomboa eneo maginalized Kama Hilo wapewe mkoa wao madini yalipogunduliwa yawe yao kuleta heshima Kagera na Tanzania kuwa si vizuri ku marginalize mtu one day Mungu aweza mtoa vile vile

Kuna madini kibao yamegunduliwa mikoa marginalized kuanzia Kusini,Dodoma na Singida,na huko na Pemba na nyanda za juu kusini

Naunga mkono uanzishaji mkoa eneo marginalized baada ya madini kugunduliwa na wao wafaidi mirahaba nk

Mleta mada analysis yako imeenda shule hasa.Naunga mkono hoja
 
Hujajibu Swali wewe Mfuasi wa Marehemu Dikteta Mwendakuzimu
Faida za Nickel haziwezi kuwa realized Mpaka kuanzisha Mkoa Mpya ?
Any relationship / Dependence ?
Washangae jamaa zetu ambao upendo umewazidi siku za karibuni baada ya kugunduliwa kwa Nickel huko Kabanga.

Kuna suala zima la urasimu wa Bukoba ambao miaka na miaka unabakia kuwa ni mji wakati Tanga imeshakua ni jiji tayari.
 
kwanini mtu wa bukoba amusemee mtu wa Biharamulo au ngara?kwanini wabunge wa ngara na biaharamulo wamepewa million 69 kila mmoja ili waunge kubaki bukoba..je kunanini nyuma ya lesa hizo..ndo tunahoji
Hao wabunge uchaguzi ujao kila mwana ngara na biharamulo ahakikishe hapati kura hata moja ndani ya vikao vya CCM na hata akipitishwa asipewe kura hata moja

Na waelezwe wazi Kama wangechukua pesa kupinga kwamba hizo ndizo kiinua mgongo Chao kichafu wasithubutu kuleta sura zao kugombea 2025 wahamie Bukoba
 
Mleta mada uko sahihi sana Tena mno

Kuna maeneo yakionewa sana na kuwa marginalized mno na ndio walionewa watu hopeless ambao hata maendeleo hawana na Hakuna mtu mwenye mpango wa kuoa au kuolewa na mturkana

Kenya maeneo kama Turkana walionewa na kuwa marginalized sana yalipogunduliwa madini na mafuta wakajitia kuleta za kuleta

Waturkana hawakukubali
Sasa hivi bajeti kubwa inaenda huko kujikomba

Magufuli aliliona Hilo kuwa kukomboa eneo maginalized Kama Hilo wapewe mkoa wao madini yalipogunduliwa yawe yao kuleta heshima Kagera na Tanzania kuwa si vizuri ku marginalize mtu one day Mungu aweza mtoa vile vile

Kuna madini kibao yamegunduliwa mikoa marginalized kuanzia Kusini,Dodoma na Singida,na huko na Pemba na nyanda za juu kusini

Naunga mkono uanzishaji mkoa eneo marginalized baada ya madini kugunduliwa na wao wafaidi mirahaba nk

Mleta mada analysis yako imeenda shule hasa.Naunga mkono hoja
Magu alikuwa na akili sana, aliona ukanda ule upo marginalized sana akaanza kwa nguvu ujenzi wa barabara za Kigoma ili pafunguke.

Nickel ikianza kuchimbwa kule kutazidi kufunguka. Ubaguzi upo kuanzia Ngara penyewe, wabunge wote siku zote ni lazima watoke tarafa ya Bugufi ambapo ni wahangaza, sisi washubi wa bushubi akijitokeza mgombea atapigwa vita vya chini kwa chini ili aukose ubunge.

Hali imekuwa ni hivyo kwa mkoa mzima wa Kagera, kuna watu wa tabaka la juu la kati na la chini, ndani ya mkoa mmoja.
 
Magu alikuwa na akili sana, aliona ukanda ule upo marginalized sana akaanza kwa nguvu ujenzi wa barabara za Kigoma ili pafunguke.

Nickel ikianza kuchimbwa kule kutazidi kufunguka. Ubaguzi upo kuanzia Ngara penyewe, wabunge wote siku zote ni lazima watoke tarafa ya Bugufi ambapo ni wahangaza, sisi washubi wa bushubi akijitokeza mgombea atapigwa vita vya chini kwa chini ili aukose ubunge.

Hali imekuwa ni hivyo kwa mkoa mzima wa Kagera, kuna watu wa tabaka la juu la kati na la chini, ndani ya mkoa mmoja.
Safari hi Ngara na Biharamulo wananchi lazima kuwa kitu kimoja bila kujali itikadi za vyama mkoa upatikane

Marginalization haiwezi endelea forever .Wanaona madini yamegunduliwa wanaanza kuleta za kuleta .Mwana Biharamulo na Ngara popote ulipo join hands hao wabunge 2025 piga chini wote asipeleke pua yake Ngara au Biharamulo kugombea apewe sifuri kila eneo
 
Mimi kama mkazi na mwekezaji wa Ngara napingana na mawazo ya huu mkoa mpya, kwa sababu kinachotafutwa ni pesa za umeme rusumo, pesa za border, pesa za kabanga nickel ziende kuendeleza chato isiyo na mapato....
Ngara ibaki wilaya ndani ya kagera kwani hakuna tunachopungukiwa hadi sasa...
 
Nchi hii imejaa wapuuzi sana mkuu. Watu tuliowatanguliza mbele ni hovyo tu. Yaani mikoa mikubwa kabisa imeachwa wanaenda kulazimisha kitu kwa ajili ya kumfurahisha mtu
Haipo nia ya kumfurahisha aliyetangulia mbele ya haki. Siasa za kanda ya ziwa nadhani huzifahamu, uliza upewe mwanga kabla hujachangia.
 
Phillipo Bukililo sijaona uhusiano wa nickel na kuanzisha Mkoa wa Chato. Mimi binafsi nilimuona Magufuli kama mtu mkatili na mbinafsi sana ambaye Tanzania hajawahi kutokea.

Akiwa Waziri wa Ujenzi wakati wa B Mkapa alibasidili ramani ya barabara isipite Biharamulo ila ikapita Chato. Alipokuwa Rais ametumia madaraka yake makubwa kupeleka Kijijini kwao Chato miundombinu mikubwa kama Airport, Referral hospital, TRA, CRDB na Mbuga ya Burigi kwa kutumia raslimali za taifa.

Chochote kinachofanyika kuhalalisha UBADHIRIFU wa Magufuli kwa kuifanya Chato kuwa Mkoa nakiita ni UHAYAWANI.

Ile miundombinu inabidi ibakie hivyo hivyo katika ngazi ya wilaya kama ilivyobakia Gbadolite ya Mobutu Seseseko. Tunataka watu wakibisha kuwa tulikuwa na Rais kichaa na mwizi tuwaonyeshe mfano halisi
Kijiografia Bukoba ni mbali kuliko Ngara kulinganisha na Chato. Pia kuna hii jitihada ya wabunge wa Kagera kuanzisha upendo baada ya kuona mgodi wa Nickel upo tayari, na yenyewe inatia shaka.

Kuna ubaguzi ndani ya mkoa wa Kagera, kuna ile hali ya mwenye nacho kutaka abaki nacho na asiyenacho hata kidogo alichonacho akipoteze.
 
Kuitenganisha Ngara na Bukoba ni sehemu ya utaratibu wa kitaasisi wenye tija kubwa kwa wananchi wa eneo husika.
maslahi mapana yapi. kwani Chato inakosa nini Geita. uchoyo ndio unawafanya mnahaha. Kwani hatujui kama huyo dikteta alikuwa anapokonya vitu anapeleka Chato?
 
Wewe kinachokuuma ni nini? Au tauapungukiwa nini mkoa wa chato ukianzishwa na makao makuu yake yakawa chato.?

#MaendeleoHayanaChama
Chato kuwa mkoa inalazimishwa tu Wala hakuna any substantial reasons zaidi ya ubinafsi. Kama unabisha nenda kashangae traffic light sehemu iliyojaa mikokoteni, Ni ajabu na kweli. Baba wa taifa angekuwa mbinafsi nadhani Butiama ungekuwa zaidi ya majiji yote ya nchi hii.
 
Mnyamahanga ni yule asiyejua kishubi/kihangaza na sio kihaya.
We jamaa kusema ukweli umeathirika na inferiority complex hakuna point yoyote hapa. Kama point yako Ni umbali kwenda makao makuu ya Mikia, kwa taarifa zipo sehemu unasafiri umbali zaidi ya huo uliohutaja kwenda mkoani, na hao wasemeje? Tuseme ukwelikuna mamba Hayati Magufuli aliyaasisi kwa personal interest na si public interest. Naomba Madam President Samia S. Hassan apige chini mambo yote yasiyo natija aliyoanzisha Mtangulixi wake.
 
maslahi mapana yapi. kwani Chato inakosa nini Geita. uchoyo ndio unawafanya mnahaha. Kwani hatujui kama huyo dikteta alikuwa anapokonya vitu anapeleka Chato?
Wewe sio mwenyeji wa kanda hiyo kwa maandishi yako tu. Unachangia mada ukiwa na hayati akilini kwako!.
 
We jamaa kusema ukweli umeathirika na inferiority complex hakuna point yoyote hapa. Kama point yako Ni umbali kwenda makao makuu ya Mikia, kwa taarifa zipo sehemu unasafiri umbali zaidi ya huo uliohutaja kwenda mkoani, na hao wasemeje? Tuseme ukwelikuna mamba Hayati Magufuli aliyaasisi kwa personal interest na si public interest. Naomba Madam President Samia S. Hassan apige chini mambo yote yasiyo natija aliyoanzisha Mtangulixi wake.
Wewe huna maslahi na kanda au mkoa wa za Kagera. Sisi wenye mkoa ndio wenye uchungu.
 
Hayati John Magufuli alipambana sana Uzalishaji wa mgodi wa Nickel wa Kabanga Nickel uanze uzalishaji akiwa hai. Mipango ya Mungu huwa ina tofauti na ile ya binadamu.
Hakuweza kuishi mpaka kuona haya yanayoendelea hivi sasa. Angeridhika kwa asilimia mia moja. Utoke jasho kuupigania mradi mkubwa wenye maslahi ya kiuchumi halafu ufanikiwe, na wewe usiwe na sababu ya kugongesha glasi za mvinyo na marafiki zako, hiyo haiwezekani.

Lengo la JPM lilikuwa ni uanzishwaji wa Mkoa mpya unaojumuisha Chato na wilaya zote zilizo karibu. Utajiri wa mradi wa Nickel utauhakikishia mkoa huo mapato ya uhakika. Ndio maana hayati akapigana kadri alivyoweza na alipofariki akaacha hatua za mwishoni za ukamilishaji wa uanzishwaji wa mradi.

Kichekesho ni huu upendo 'mpya' unaoonyeshwa na baadhi ya wabunge ya kuwataka watu wa Ngara wasiunge mkono nia ya kuwa na mkoa watakaokuwa na ushawishi na pengine maendeleo ya kweli. Bukoba ni kilomita 320 kutoka Ngara, ni mbali kulinganisha na Chato.


Wanakuja na utetezi wa kihistoria ambao hauna faida yoyote zaidi ya kuendeleza 'status quo' ya siku zote. Wanataka waendelee na kujikweza na kujitukuza kupitia uwepo wa Bukoba kama makao makuu ya Mkoa wa Kagera. Ni mawazo yale yale ya kuendeleza 'ubwenyenye' ule ule wa miaka yote. Ni aina ya mawazo yeny dharau za kikabila ya kutaka ustaarabu ubakie ule ule wa miaka yote.

Miaka imepita kwa kasi na sasa kama taifa tunaitafuta miaka 60 ya Tanzania. Kama ni mtu tayari keshakuwa mtu mzima, hawezi kuishi kwa kukariri akiongozwa na falsafa zile zile za kale. Baadhi ya mikoa inajikuta ikikumbatia umaskini kwa sababu ya wanasiasa kuamini katika utamaduni ule ule wa siku za nyuma, pasipo kukubaliana na mabadiliko yanayokwenda sambamba na ukuaji wa miaka 60 ya Tanzania.

JPM alipambana mpaka mradi wa Nickel umeanza kazi. Mkoa wa Kagera unahitaji changamoto mpya ili uweze kuondokana na kuongozwa na hulka zile zile zisizoyagusa maisha ya mtu mmoja mmoja. Tuondokane na hizi imani potofu za kisiasa zinazodumaza maendeleo ya ukanda ule. Ni wakati wa baadhi ya watu wa Kagera kuanza kufikiria upya uwepo wa mkoa mpya wenye kila sababu za kisasa za uwepo wake.
Hivi kila patakapokuwa na uzalishaji wa kitu fulani basi mkoa uanzishwe? Vigezo vya kuanzisha mkoa vinajulikana si kwa ajili ya Nickel. Ingekuwa hicho ni kigezo basi Tunduru wangedai mkoa walipogundua Alexandrite au Songosongo na Mnazi Bay etc nao wangeomba iwe mikoa. Hili la kuanzishwa mkoa wa Chato ni la kisiasa zaidi kuliko uhalisia. Mkoa kama Tabora ambao ni mkubwa kwa eneo mbona hatujasikia baadhi ya wilaya kutaka zigawanywe ili kuunda mkoa mwingine? Come out with concrete reasons msifikirie kujitenga kwa sababu ya nickel ambayo imekuwepo tokea zamani
 
Back
Top Bottom