Anataka ajitetee Kama fala mwenzie Sabaya kwamba walikuwa wanatumwa na mungu wao. Haitamsaidia na pia heri akae kimya wayamalize out of CourtKwa hili mstaafu wetu wa Dar angepiga kimya yasijechimbuliwa makaburi mengine kipindi cha utawala, ikawa balaa
Huyu mwanasheria ni poyoyo, huo ushahidi wa GSM ni wa kubumba maana mwenzake kaleta ushahidi wa tangu 2013. Pamoja na udhaifu wa Makonda hapo Riziwani Kikwete anahusika na hii kitu nawahakikishia itakuja kumgharimu yeye na huyo GSM.
Teh teh teh.. unawaza kulakula tu.. Unadhani kila mtu ana njaa kama wewe?... kukulisha...
The guy is a fraudster maana hakunaga document inawekwa picha juu ya mhuri wa Wakili, wenzie walimtega zamani sana, mshamba ni mshamba tu, although naelewa yawezekana GSM walimpa kiwanja wakati ule wa Magufuli na makonda akaogopa kufanya transfer sababu Magufuli was a psychic Sasa wamegundua hajafanya na wanaona huu ndio muda wa kumkomesha warudishe kiwanja chao.DOCUMENTS (IT) LOOKS FAKE!
sitaki niwe kama Dr. Slaa kusema NAUDHIKA
Kweli kuna kitu hakiko sawa kama kawaida ya Bashite.
Dr Slaa anachungulia huku akiudhika 😆DOCUMENTS (IT) LOOKS FAKE...!
sitaki niwe kama Dr. Slaa kusema NAUDHIKA...
Kweli kuna kitu hakiko sawa kama kawaida ya Bashite.
Mfano; forms umeshaiweka Passport pictures. Swali ni je. Kwanini #Muhuri wa #Advocate uwe chini ya picha badala ya Passport za wahusika wote #kupigwa Mihuri juu yake. Inaelekea forms na signatures zilighushiwa na mihuri, Passports za wahusika zikatengenezwa & kubandikwa.
#Jpm alimbeba katika kughushi vyeti fake
#This_time_around_noooo..!
#Time_will_tell
#Njia_ya_Mwingi_fupi
#Michongo_hailipi
Kwa ushahidi aliotoa mwanasheria wao hamna Cha kubumba hapo ndugu yangu.Kwenye Transfer a right of occupancy Kuna Mambo mengi sana..Wewe umeongea pointi. Ndiyo maana ushahidi wa GSM ni wa kubumba
Utatu wenye mashakaView attachment 2147878
Ipe maneno
Huyo jiwe ndio alikuwa zaidi ya shwetwaniSasa kama huyu ni kijana wake tu,fikiria jiwe mwenyewe alikuwaje