BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Kiwango cha Fedha zinazotumika kulipa Madeni likiwemo Deni la Serikali kimeongezeka kutoka Tsh. Trilioni 10.48 za mwaka 2023/24 hadi kufikia Tsh. Trilioni 13.13 mwaka 2024/25
Kwa mujibu wa Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Fedha, Serikali imetenga kiasi hicho cha Fedha kwa mwaka huu ikiwa ni kwaajili urejeshaji wa Fedha za zilizokopwa kupitia Deni la Serikali
Kwa mujibu wa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali hadi kufikia Juni 2023, Deni lilikuwa Tsh. Trilioni 82.25 sawa na ongezeko la 15% kutoka Tsh. Trilioni 71.31 lililokuwepo mwaka 2021/22.
====
Pia soma: Serikali inapanga kutumia Tsh. Trilioni 12.10 kulipa Deni la Taifa, Mishahara Tsh. Trilioni 11.77
Kwa mujibu wa Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Fedha, Serikali imetenga kiasi hicho cha Fedha kwa mwaka huu ikiwa ni kwaajili urejeshaji wa Fedha za zilizokopwa kupitia Deni la Serikali
Kwa mujibu wa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali hadi kufikia Juni 2023, Deni lilikuwa Tsh. Trilioni 82.25 sawa na ongezeko la 15% kutoka Tsh. Trilioni 71.31 lililokuwepo mwaka 2021/22.
====
Pia soma: Serikali inapanga kutumia Tsh. Trilioni 12.10 kulipa Deni la Taifa, Mishahara Tsh. Trilioni 11.77