Baadhi ya mashabiki wa Afrika tulikuwa na matumaini na Ghana kufika mbali lakini mambo hayakwenda kama yalivyotarajiwa.
Binafsi, naona sababu ya Ghana kutolewa mapema ni Kocha wao kushindwa kupanga kikosi vizuri tangu mechi ya kwanza, na kuwang'ang'nia kina Andre na Jordan Ayew na wakongwe wengine wakati wameishachoka.
Katika mechi ya Ureno, kocha alimuingiza Jordan na kujaribu kupiga chenga ikanaswa na Ureno wakapata goli. Hivyo hivyo, katika mechi na Uruguay, Jordan alipiga chenga ikanaswa, Uruguay wakapata goli. Andre yeye akakosa penati.
Ukichunguza, unaona Ghana kuna majina yanang'ang'aniwa kuweno kikosini ila umri umeenda.
Tumu za Afrika zinahitaji kujiimarisha na kuwatumia wachezaji vijana kama wanataka kufanya vizuri katika mashindano makubwa kama kombe la Dunia.
Kule kombe la Dunia inahitajika kuwa na wachezani wepesi, na wenye pumzi ya kutosha ili kupanda na kushuka kwa kasi.
Ukiwa na wachezaji wazee utashinda kwa tabu sana.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Binafsi, naona sababu ya Ghana kutolewa mapema ni Kocha wao kushindwa kupanga kikosi vizuri tangu mechi ya kwanza, na kuwang'ang'nia kina Andre na Jordan Ayew na wakongwe wengine wakati wameishachoka.
Katika mechi ya Ureno, kocha alimuingiza Jordan na kujaribu kupiga chenga ikanaswa na Ureno wakapata goli. Hivyo hivyo, katika mechi na Uruguay, Jordan alipiga chenga ikanaswa, Uruguay wakapata goli. Andre yeye akakosa penati.
Ukichunguza, unaona Ghana kuna majina yanang'ang'aniwa kuweno kikosini ila umri umeenda.
Tumu za Afrika zinahitaji kujiimarisha na kuwatumia wachezaji vijana kama wanataka kufanya vizuri katika mashindano makubwa kama kombe la Dunia.
Kule kombe la Dunia inahitajika kuwa na wachezani wepesi, na wenye pumzi ya kutosha ili kupanda na kushuka kwa kasi.
Ukiwa na wachezaji wazee utashinda kwa tabu sana.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app