BigTall
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 525
- 1,257
GHANA YAFUZU WORLD CUP 2022
Timu ya taifa ya Ghana imefanikiwa kufuzu kwenda kucheza World Cup 2022 licha ya kutoka sare ya bao 1-1 dhidi Nigeria katika kipute kilichopigwa Nchini Nigeria.
Katika mchezo wa kwanza timu hizo zilitoka suluhu ya 0-0, kwa matokeo ya 1-1, hivyo Ghana imepata faida ya bao la ugenini.
SENEGAL YAFUZU KWA PENATI
Senegal imefuzu kucheza Kombe la Dunia 2022 kwa njia ya penati 3-1 dhidi ya Misri.
Mchezo wa kwanza baina ya timu hizo ulipigwa kwenye Uwanja wa Cairo International ambapo Misri ilishinda kwa bao 1-0 mnamo Machi 25, 2022.
Mchezo huo wa pili ulipigwa Machi 29, 2022 kwenye Uwanja wa Baba Yara Jijini Diamniadio Olympic chini ya mwamuzi Mustapha Ghorbal wa Algeria, matokeo yalikuwa bao 1-0 kwa Senegal kushinda, hivyo mwamuzi kumua mshindi apatikane kwa matuta.
Mshambuliaji na nahodha wa Misri, Mohamed Salah alikosa penati yake ikiwa ni ya kwanza kwa timu yake, wakati Sadio Mane alifunga penati ya mwisho na kuipeleka timu yake Qatar.
Timu ya taifa ya Ghana imefanikiwa kufuzu kwenda kucheza World Cup 2022 licha ya kutoka sare ya bao 1-1 dhidi Nigeria katika kipute kilichopigwa Nchini Nigeria.
Katika mchezo wa kwanza timu hizo zilitoka suluhu ya 0-0, kwa matokeo ya 1-1, hivyo Ghana imepata faida ya bao la ugenini.
SENEGAL YAFUZU KWA PENATI
Senegal imefuzu kucheza Kombe la Dunia 2022 kwa njia ya penati 3-1 dhidi ya Misri.
Mchezo wa kwanza baina ya timu hizo ulipigwa kwenye Uwanja wa Cairo International ambapo Misri ilishinda kwa bao 1-0 mnamo Machi 25, 2022.
Mchezo huo wa pili ulipigwa Machi 29, 2022 kwenye Uwanja wa Baba Yara Jijini Diamniadio Olympic chini ya mwamuzi Mustapha Ghorbal wa Algeria, matokeo yalikuwa bao 1-0 kwa Senegal kushinda, hivyo mwamuzi kumua mshindi apatikane kwa matuta.
Mshambuliaji na nahodha wa Misri, Mohamed Salah alikosa penati yake ikiwa ni ya kwanza kwa timu yake, wakati Sadio Mane alifunga penati ya mwisho na kuipeleka timu yake Qatar.