Kutoa gari bandarini kwanza inategemeana na aina ya gari yenyewe, kuna za kuanzia laki 6, laki 8 na kuendelea. Kwa huyo jamaa ambae kaandika hio laki 3 ya TBS ni kwamba gari yako ikifika hapa bongo ni lazima ikaguliwe, sasa katika ukaguzi ikatokea wameona faults ama shida ndani ya gari itatakiwa ukairekebishe kwanza then ndo iweze kupitishwa ko sielewi hio 300k kawapea TBS ya nini...ila akili yangu inanituma itakua ya kurekebisha fault iliokutwa au alijiongeza akawapea kitu kidogo ili gari yake ipite.
Malipo mengine kama number plate, storage na zingine zilizobakia ndo za lazima hizo. Maana gari yako haiwezi kaa bure pale and mostly baada ya kufikisha siku 7 kuanzia imefika bandarini