Gharama halisi za uzalishaji wa sabuni za magadi

Samahani,wewe ndiye Elungata wa kwenye "kikomo"??
 
Shukrani sana Elungate. Ila pia nilitaka kufaham kwa hesabu halisi kwamba ili niweze zalisha sabuni kiasi kadhaa napaswa kuwa na mafuta lita kadhaa na ingredients kiasi fulani. Kwa yeyote mwenye any informations kuhusu hilo anijuze. Factor ya bei za malighafi tuziweke kuwa constant. Ahsante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…