Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nikipiga napata jumla 3,440,000 sasa nikijaribu kuangalia bei wanaouza ni 5500 au 6000 sasa nikipigia hesabu ya 6000*450=2,700,000 sasa hapo ndipo ninapopata wasiwasi na data zako ziko sahihi hapo bei nimechukua ya 6000 na nikaweka kuku 450 maana sidhani kama wote 500 wanaweza wakapona woteHapo kuku mmoja bei yake ni 1800,chakula paka kuku wanaondoka ni mifuko 20 na kila mfuko bei ni 62000,madawa weka kama 70,000 jumlisha na mkaaa kwa week ya kwanza,maji na umeme weka jumla 60,000.
Piga hesabu hapo.
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Kuna Mkuu mmoja humu anaitwa Jembekillo ni mtaalamu wa hizi mambo. Mimi alinisaidia sana ila kuna sehemu mambo fulan yakakwama sikumalizana nae. Jaribu kumchekiDu nikipiga napata ju
nikipiga napata jumla 3,440,000 sasa nikijaribu kuangalia bei wanaouza ni 5500 au 6000 sasa nikipigia hesabu ya 6000*450=2,700,000 sasa hapo ndipo ninapopata wasiwasi na data zako ziko sahihi hapo bei nimechukua ya 6000 na nikaweka kuku 450 maana sidhani kama wote 500 wanaweza wakapona wote
Rudia hesabu vizuri mkuu.matumizi hayazidi 2500000 hayoDu nikipiga napata ju
nikipiga napata jumla 3,440,000 sasa nikijaribu kuangalia bei wanaouza ni 5500 au 6000 sasa nikipigia hesabu ya 6000*450=2,700,000 sasa hapo ndipo ninapopata wasiwasi na data zako ziko sahihi hapo bei nimechukua ya 6000 na nikaweka kuku 450 maana sidhani kama wote 500 wanaweza wakapona wote
Uko vizuri mkuu..umetishaHapo kuku mmoja bei yake ni 1800,chakula paka kuku wanaondoka ni mifuko 20 na kila mfuko bei ni 62000,madawa weka kama 70,000 jumlisha na mkaaa kwa week ya kwanza,maji na umeme weka jumla 60,000.
Piga hesabu hapo.
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Kwa mfugaji kuku wanaokufa hawazidi 10 mkuu...ukipata mzoefu mzuri hawawezi kufa kuku zaidi ya hao. Tena hata 5 wanaweza wasivukeKuna Mkuu mmoja humu anaitwa Jembekillo ni mtaalamu wa hizi mambo. Mimi alinisaidia sana ila kuna sehemu mambo fulan yakakwama sikumalizana nae. Jaribu kumcheki
Wapi unanunua Kifaranga kwa 1,800/-??Hapo kuku mmoja bei yake ni 1800,chakula paka kuku wanaondoka ni mifuko 20 na kila mfuko bei ni 62000,madawa weka kama 70,000 jumlisha na mkaaa kwa week ya kwanza,maji na umeme weka jumla 60,000.
Piga hesabu hapo.
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Kampuni ziko nyingi mkuu,hiyo ndo bei kwa sasaWapi unanunua Kifaranga kwa 1,800/-??
Nisaidie hata Mahali wanapouza hivyo bei, kuna Bibi namfahamu ananunua 2,300/= kwa kifaranga.Kampuni ziko nyingi mkuu,hiyo ndo bei kwa sasa
Hao maagent, kwa dar nenda interchick pale jogoo au kibo iko postaNisaidie hata Mahali wanapouza hivyo bei, kuna Bibi namfahamu ananunua 2,300/= kwa kifaranga.
Hiyo siyo bei ya wa mayai (layers)Nisaidie hata Mahali wanapouza hivyo bei, kuna Bibi namfahamu ananunua 2,300/= kwa kifaranga.
Mkuu hawa wadudu nawafuga nawajua vizuri sana,hapo kwanza situmii dawa..ni chanjo tu week mbili za mwanzo.na kuku kumi hawafiki kwenye vifo.Du nikipiga napata ju
nikipiga napata jumla 3,440,000 sasa nikijaribu kuangalia bei wanaouza ni 5500 au 6000 sasa nikipigia hesabu ya 6000*450=2,700,000 sasa hapo ndipo ninapopata wasiwasi na data zako ziko sahihi hapo bei nimechukua ya 6000 na nikaweka kuku 450 maana sidhani kama wote 500 wanaweza wakapona wote
Hapana, ye anafuga wa Nyama (Broilers)Hiyo siyo bei ya wa mayai (layers)
Hopeful hii Jogoo iko Mbezi ya Tegeta??Hao maagent, kwa dar nenda interchick pale jogoo au kibo iko posta
YeahHopeful hii Jogoo iko Mbezi ya Tegeta??