mrlonely98
Member
- Nov 6, 2009
- 95
- 19
Asalaam wana jamii,
Mimi nafanya kazi ya bajaj, hua nanunua na kuziweka kwenye mkataba lakini mwaka moja sasa bajaj kimekua zina panda bei vibaja mno
Mwaka jana nilikua nanunua kwa bei ya 8.1 Million lakini Jan-24 nilipoenda kunnunua tena bei zilipanda hadi 8.6m lakini sasa kiznauzwa 9.7m na wanasema hiyo ni discounted price na bei halisi ni 10,193,000.
Jamani kwa bei hii si tutakua tuna waumiza ma dereva?
Naelewa kama vitu haviezi kua bei zile zile lakini vitu vina panda vipi asilimia 25% kwa muda mfupi?
Mambo yakiendelea hivi itabidi niwache biashara hii ni fikirie mambo mengine.
Mimi nafanya kazi ya bajaj, hua nanunua na kuziweka kwenye mkataba lakini mwaka moja sasa bajaj kimekua zina panda bei vibaja mno
Mwaka jana nilikua nanunua kwa bei ya 8.1 Million lakini Jan-24 nilipoenda kunnunua tena bei zilipanda hadi 8.6m lakini sasa kiznauzwa 9.7m na wanasema hiyo ni discounted price na bei halisi ni 10,193,000.
Jamani kwa bei hii si tutakua tuna waumiza ma dereva?
Naelewa kama vitu haviezi kua bei zile zile lakini vitu vina panda vipi asilimia 25% kwa muda mfupi?
Mambo yakiendelea hivi itabidi niwache biashara hii ni fikirie mambo mengine.