Gharama na taratibu za kufungua sanduku la posta

hivi dunia ya leo bado unahangaika na hayo masuala??? wakati wa digitali jamani
 
Kati ya njia za mawasiliano ambazo siziamini ni posta! hivi kweli ukitumiwa mzigo wako wanakufikishia kabisa bila kuuchakachua au kufunguafungua....???

Siwezi kuku- guarantee lakini wiki iliyopita nimepokea simu (handset) na charger yake toka ufaransa vikiwa intact.
 
Kati ya njia za mawasiliano ambazo siziamini ni posta! hivi kweli ukitumiwa mzigo wako wanakufikishia kabisa bila kuuchakachua au kufunguafungua....???

Inategemeana na uaminifu wa mtu wengine huwa wanafungua kiaina ili mwenye mzigo adhanie kwamba umefunguka au kuchanika kutokana na purukushani wakati wa kuusafirisha.
 
Kati ya njia za mawasiliano ambazo siziamini ni posta! hivi kweli ukitumiwa mzigo wako wanakufikishia kabisa bila kuuchakachua au kufunguafungua....???

Sometimes mzigo unafunguliwa kwa ajili ya kulipa ushuru, lazma wajue umeagiza kitu gani,
 
Okay. Mimi nilijibu kwa kutumia uzoefu wangu mwenyewe. Nilifungua SLP mwezi juzi Jan. kwa pesa iliyofikia hiyo jumla ikiwa ni pamoja na ada ya mwaka. Tena ni pale posta kuu DSM. Sasa kama mie mwongo naondoa hoja yangu. Kwa heri.

Kaka kama ulifungulia hiyo basi huenda posta mahali ilipo napo panahusika,mimi nilifungulia Kijitonyama pale maeneo ya Bamaga kwa sh11800 plus VAT
 
Kaka kama ulifungulia hiyo basi huenda posta mahali ilipo napo panahusika,mimi nilifungulia Kijitonyama pale maeneo ya Bamaga kwa sh11800 plus VAT

Vipi gharama hiyo ilijumuisha ada ya mwaka?
 
Vipi gharama hiyo ilijumuisha ada ya mwaka?

Ukishalipia hiyo 11800 ni kwamba inajumulisha kila kitu, ada ya mwaka, VAT, EWURA,SUMATRA yaani kwa kifupi ni kwamba hapo mwakani 2014 mwezi wa kwanza ndo tutakutana tena na watu wa posta
 
WanaJF, naombeni kujua gharama za kufungua S.L.P Tanzania na pia gharama za kulipia kwa mwaka.
 
USHAURI WA BURE :

nenda mwenyewe ofisi ya posta uliza maswali yote unayoitaji , acha uvivu wewe
 
Kwa mwaka jana wakati nafungua ilinigharimu 23,000, kwa kujua nenda kwenye ofisi zao kama mdau alvyoshauri
 
bia hutofautiana kulingana na aina ya umilik,i mfano, kuna anuani ya company limited(bei yake ni juu zaidi),biashara ndogo,na mashirika ya dini ,NGOs(kuna bei yake pia) na kisha sanduku binafsi(bei huwa chini ya za awali) .Ukifika posta utapata bei halisi
 
Sawa wakuu, ushauri wenu utazingatiwa. Nitafika sehemu husika
 
Posta Kijitonyama annual fee ni sh. kama elfu 20 hivi.
Kifupi ni kwamba ikiwa na elfu 50 una uhakika wa kumiliki box, question inakuwa availability tu.
 
Mie leo nimelipa annual fee sh.35,000 (ni la kampuni), na nilifungulia hiyo hiyo elf 35 mwaka 2010
 
Posta wanayo masanduku ya barua ya kuuza?
 
Mie leo nimelipa annual fee sh.35,000 (ni la kampuni), na nilifungulia hiyo hiyo elf 35 mwaka 2010

Asante mama, in two weeks time ntakua mwanachama halali wa shirika la posta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…