Gharama na taratibu za kufungua sanduku la posta

Gharama na taratibu za kufungua sanduku la posta

Nitangulize salam kwanza wanajamvi. Nahitaji kufungua sanduku la posta, mwenye ujuzi au elimu ni vitu gani vinahitajika na garama zake naombeni muongozo wenu ndugu zangu.
Asante sana
Passpot 2 za watu wawili

id nA 30000
 
Asante kiongozi 30k ni kufungulia au ada?
 
Back
Top Bottom