Kibo Jr JF-Expert Member Joined Aug 30, 2018 Posts 517 Reaction score 277 Jan 4, 2019 #141 2019 said: Nitangulize salam kwanza wanajamvi. Nahitaji kufungua sanduku la posta, mwenye ujuzi au elimu ni vitu gani vinahitajika na garama zake naombeni muongozo wenu ndugu zangu. Asante sana Click to expand... Passpot 2 za watu wawili id nA 30000
2019 said: Nitangulize salam kwanza wanajamvi. Nahitaji kufungua sanduku la posta, mwenye ujuzi au elimu ni vitu gani vinahitajika na garama zake naombeni muongozo wenu ndugu zangu. Asante sana Click to expand... Passpot 2 za watu wawili id nA 30000
2019 JF-Expert Member Joined Dec 31, 2018 Posts 3,130 Reaction score 4,735 Jan 4, 2019 #142 Asante kiongozi 30k ni kufungulia au ada?
Ngosha255 JF-Expert Member Joined Mar 29, 2013 Posts 430 Reaction score 512 Jan 4, 2019 #143 Kuna uzi humu jaribu kuutafuta utapata mwanga Gharama na taratibu za kufungua sanduku la posta - JamiiForums
Kuna uzi humu jaribu kuutafuta utapata mwanga Gharama na taratibu za kufungua sanduku la posta - JamiiForums
2019 JF-Expert Member Joined Dec 31, 2018 Posts 3,130 Reaction score 4,735 Jan 4, 2019 #144 Ngosha255 said: Kuna uzi humu jaribu kuutafuta utapata mwanga Gharama na taratibu za kufungua sanduku la posta - JamiiForums Click to expand... Asante bos
Ngosha255 said: Kuna uzi humu jaribu kuutafuta utapata mwanga Gharama na taratibu za kufungua sanduku la posta - JamiiForums Click to expand... Asante bos
NtYga JF-Expert Member Joined Aug 23, 2018 Posts 4,875 Reaction score 12,595 Nov 30, 2019 #145 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Islam005 said: hujielewi,unadhani ni kwa ajili ya kutumiwa barua na mchumba wako wa kigoma tu. Click to expand...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Islam005 said: hujielewi,unadhani ni kwa ajili ya kutumiwa barua na mchumba wako wa kigoma tu. Click to expand...
Mshuza2 JF-Expert Member Joined Dec 27, 2010 Posts 11,261 Reaction score 17,202 Feb 1, 2025 #146 Bado gharama ni hizi hizi kwa mwaka 2025