dotnet
JF-Expert Member
- Mar 5, 2013
- 393
- 153
Habari zenu ndugu,
Naomba kuuliza kwa mtu mwenye uzoefu na masuala ya ujenzi kwa hapa Dar es Salaam au hata sehemu nyingine za nchi hii. Kwa mtu aliyenunua "shamba" kwa kuuziana na mtu kupitia serikali ya kijiji, anatakiwa kufuata taratibu gani kabla hajaanza kujenga nyumba yake hapo aliponunua ili kuepuka kujenga mahali ambapo huenda serikali imepahifadhi kwa matumizi mengine yasiyo ya makazi kama barabara au shule?
Pili, kama mtu ana mil. 60 TZS, anaweza kujenga nyumba ya kuishi "ya kawaida" ikakamilika?
Nawasilisha.
Naomba kuuliza kwa mtu mwenye uzoefu na masuala ya ujenzi kwa hapa Dar es Salaam au hata sehemu nyingine za nchi hii. Kwa mtu aliyenunua "shamba" kwa kuuziana na mtu kupitia serikali ya kijiji, anatakiwa kufuata taratibu gani kabla hajaanza kujenga nyumba yake hapo aliponunua ili kuepuka kujenga mahali ambapo huenda serikali imepahifadhi kwa matumizi mengine yasiyo ya makazi kama barabara au shule?
Pili, kama mtu ana mil. 60 TZS, anaweza kujenga nyumba ya kuishi "ya kawaida" ikakamilika?
Nawasilisha.