Habari zenu ndugu,
Naomba kuuliza kwa mtu mwenye uzoefu na masuala ya ujenzi kwa hapa Dar es Salaam au hata sehemu nyingine za nchi hii. Kwa mtu aliyenunua "shamba" kwa kuuziana na mtu kupitia serikali ya kijiji, anatakiwa kufuata taratibu gani kabla hajaanza kujenga nyumba yake hapo aliponunua ili kuepuka kujenga mahali ambapo huenda serikali imepahifadhi kwa matumizi mengine yasiyo ya makazi kama barabara au shule?
Pili, kama mtu ana mil. 60 TZS, anaweza kujenga nyumba ya kuishi "ya kawaida" ikakamilika?
Nawasilisha.
Habari zenu ndugu,
Naomba kuuliza kwa mtu mwenye uzoefu na masuala ya ujenzi kwa hapa Dar es Salaam au hata sehemu nyingine za nchi hii. Kwa mtu aliyenunua "shamba" kwa kuuziana na mtu kupitia serikali ya kijiji, anatakiwa kufuata taratibu gani kabla hajaanza kujenga nyumba yake hapo aliponunua ili kuepuka kujenga mahali ambapo huenda serikali imepahifadhi kwa matumizi mengine yasiyo ya makazi kama barabara au shule?
Pili, kama mtu ana mil. 60 TZS, anaweza kujenga nyumba ya kuishi "ya kawaida" ikakamilika?
Nawasilisha.
Aisee we ni nouma yaani una milioni sitini halafu unakuja kuonyesha dolidoli hapa mie nilifikiri una milioni mbili au milioni sita? Hiyo nyumba ya kawaida ya hiyo gharama ikoje? Mbona unajenga na chenji inabaki labda kama unataka jenga gorofa au bangaloo .
Mkuu moja ni "Residential" na si "Residencial".
Pili, kwa sejemu husika mfano manispaa au jiji, ni vyema kuwaita wapimaji, kupitia ramani ya jiji/mji husika ili kujua nini kiko wapi na pengine kutambua sehemu kutakazokuwa na huduma muhimu za kijamii.
Tatu, kwa milioni 60, unajenga nyumba nzuri na iliyokamilika hapa hapa Dar es Salaam.
Mkuu moja ni "Residential" na si "Residencial".
Pili, kwa sejemu husika mfano manispaa au jiji, ni vyema kuwaita wapimaji, kupitia ramani ya jiji/mji husika ili kujua nini kiko wapi na pengine kutambua sehemu kutakazokuwa na huduma muhimu za kijamii.
Tatu, kwa milioni 60, unajenga nyumba nzuri na iliyokamilika hapa hapa Dar es Salaam.
Una 60m na unataka yote uzamishe kwenye nyumba ya kuishi! Watanzania acheni uoga wa maisha,why can't you take a little risk and investment part of it? If
you managed to make that much money na shamba tayari unalo you can use that or part of it to make more money labda kama ni pesa ya urithi.
Una 60m na unataka yote uzamishe kwenye nyumba ya kuishi! Watanzania acheni uoga wa maisha,why can't you take a little risk and investment part of it? If
you managed to make that much money na shamba tayari unalo you can use that or part of it to make more money labda kama ni pesa ya urithi.
Ni sehemu husika, sio sejemu mkuu