Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
- Thread starter
- #21
😀😀😀😀Ni kweli boss kama unahitaji gesi asilia unaiomba TPDC. Wanakuletea kwa bomba boss.Ah ustake nicheke mzee mwenzangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀😀Ni kweli boss kama unahitaji gesi asilia unaiomba TPDC. Wanakuletea kwa bomba boss.Ah ustake nicheke mzee mwenzangu
Tupo wilaya zote za Dar es Salaam na mitaa yote boss.Hivi nyie ndio mpo huku chanika?
WilayaTupo mikoa yote ya Dar es Salaam boss.
Yes, wilaya zote tunatoa huduma.Wilaya
Pole sana kwa changamoto iliyokupata ndugu. Nakushauri haya malalamiko uyapeleke ofisini M-Gas, na pia mkataba si unao tayari unaweza kukusaidia kupeleka malalamiko yako mahali popote. Pole sana kwa changamoto iliyokupata.Nyinyi ni waongo na matapeli. Mmekata mfumo matumizi ya gas bila kujali salio la gesi alilokuwa nalo mteja kwenye mtungi. Wala kujali salio la kiasi cha pesa aliyolipa mteja kilichobaki kwenu? Tena mmekata bila kutoa maelezo wala tahadhari yoyote ile. Sasa hivi mteja akiwataarifu kuwa gesi imekata badala ya kumletea mtungi mwingine mnatuma mafundi wenu kuja kupora mtungi pamoja na salio la gesi na bila kurehesha pesa aliyolipa, huku mkidai mnaruhusiwa kuvunja mkataba muda wowote. Kama mnavunja mikataba na wateja kwanini hamjasitisha mfumo wenu wa kupokea malipo ya gesi badala yake manakata mfumo wa kumwezesha mteja kutumia gesi? Sijui kama EWURA ina taarifa na huu uhuni unaofanywa sasa hivi na hii kampuni ya mchongo. Jirani yangu alinyang'anywa mtungi wiki iliyopita baada ya kupiga simu gesi imekatq. Mama yangu amekatiwa gesi bila maelezo yoyote, salio lake linasoma zaidi ya shilingi elfu hamsini. Rudishieni wateja hela zao ndipo mvunje mikatqba, acheni wizi
Nitumie zile connection za ulayaUnapozungumzia nishati ya uhakika kwa ajili ya kupikia kwa watanzania, hauwezi kuacha kuutaja mkaa na kuni.
Watu wengi hutumia nishati hiyo kwa sababu ni rahisi kupatikana na wanaweza kumudu gharama yake tofauti na nishati nyingine kama gesi.
Kutumia gesi (M-Gas) wakati wa kupika chakula kuna raha yake, kwanza chakula kinaiva haraka, kinakuwa kisafi na vyombo havichafuki.
Mbali na kuokoa afya za watanzania dhidi ya madhara ya moshi, watanzania wataokoa fedha na mazingira watakapochagua kutumia gesi (M-Gas).
Kwa Masiliano zaidi: Piga +255747744895