Gharama ya 500m Bridge Kenya ni sawa na kujenga electric SGR Tanzania Dar - Moro hundreds of KMs

Youtube siku hz pia kuna wabongo utawakuta wanaranda randa na ku comment videos zianzo husu kenya[emoji1787][emoji1787][emoji1787]yani kila mahali mnatufuata na kuanza kujilinganisha na sisi...

Jamaa hutafuta comment negative ya mkenya ndio anapata fursa ya kumtaja magu...nynyi hamuwajui wakenya...
Hzo ni feelings tu wazitoa..lkn jaribu siku hyo ku post huu upupu kenyantalk halafu uone wakenya wako vipi
Hahaha
Wakenya wenzio hao, pia naona wanamuelewa JPM vilivyo
 
Unabwabwaja sana bro.
Unakumbuka ile video ya wale wanahabari wa kikenya walivyokua wanaiponda serikali na jeshi lenu la KDF kuwa ni bure kabisa hamuwezi hata kuopoa mwili wa mama na mwanawe week sasa inakatika??
Unataka nambia wale nao waTz wamejichomeka??
 
Nani kwanza kasema wa tz wamejichomeka...tatizo hukunielewa, n hv..siku hz wa tz utawakuta mpka youtube wakijilinganisha na kenya..anything concerning kenya lazima wataitaja tanzania...

Anyway..yule swedish diver mwenyewe kaja na mbwembwe, eti apewe mda wa masaa mawili atakua keshamaliza kazi...alichokiona hakurudi, kafanya kusepa kiungwana tu
 
Kwa mantiki yako ni kwamba wale walio comment ni WATZ.
Ilhali wakenya kabisa.

Halafu Swedish is not an almighty.
Akishindwa haimaanishi ninyi mmeshindwa.
Bado KDF wazembe basi atleast mngeliwahi gari wakati ule ule linazama.
Lakini mmeshindwa doooooooh!!!
 
Kdf hawahusiki...usiwape lawama isiyowahusu, ukiwalaumu kenya ferry sawa kabisa..yani hapo nitakuelewa kw sababu ni uzembe wao na wakati tukio lilitokea mikononi mwao tena katika himaya yao..so wao ndio walikua wawajibike hta kabla ya wengine kufika...

Tatizo lenu hamuwaelewi wakenya wa mitandaoni..wao hu comment watakavyo kuhusu nchi yao
 
Wacha wapigwe hadi siku watakapotia akili πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ndio maana wanasiasa wengi wa kenya hutumia lugha ya kingereza kwenye mikutano yao ili wakenya wengi wasielewe nini kinaendelea πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sasa unafikiri kwa sababu Watanzania hawaelewi kiingereza pia Wakenya hawaelewi Kingereza? Wacha mchezo kijana.
 
Hapo vipi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
jiwe si mzee wa maigizo tu hana jipya huyoo! wenngi washamuelewa, hivi sliacha kupiga simu livu apo clouds ? kutafuta ze kiki,!! πŸ˜€
 
Nilisema wapi?kemu nilitee hyo comment
"........ lkn jaribu siku hyo ku post huu upupu kenyantalk halafu uone wakenya wako vipi"

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
 
Heheeee!!!kemu isomee tena hyo comment yangu vizuri...umeielewa kwelii..
Km huo ndio ushahidi umenoa..

Km hujui wakenya wata comment chochote kuhusu nchi yao lkn hawawezi kubali mwanalumumba awaingilie ishu zao...utakula za uso[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
"........ lkn jaribu siku hyo ku post huu upupu kenyantalk halafu uone wakenya wako vipi"

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
 
Angalia wenzako wanvyotoa hisia kali[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]...tatizo mnamuabudu sana jiwe..hta kumkosoa mnaogopa
"........ lkn jaribu siku hyo ku post huu upupu kenyantalk halafu uone wakenya wako vipi"

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
 
Angalia wenzako wanvyotoa hisia kali[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]...tatizo mnamuabudu sana jiwe..hta kumkosoa mnaogopaView attachment 1226591View attachment 1226592View attachment 1226593
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ We jamaa punguza bange

Ni watanzania wapi hapo wanamtaka Uhuru zaidi ya huyo mwehu mmoja muuza heroine? Halafu ni 2 years back, ni kipi Uhuru anafanya kila siku kinachofanana na JPM? JPM wanamtaka mpaka wazungu achana na waafrika
 
Sindano kali hyo[emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]
Punguza jazba...nikuletee zngine tena..lkn povu rukhsa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…