Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakenya waliopo hapa JF wanaendelea kutetea wizi wa wazi kabisa, sijui kwanini wanashindwa kujifunza kutokana na makosa yao wenyewe, ni juzi tu rais wao alilazimika kupunguza gharama ya ujenzi wa "dam" by 50% baada ya kugundua kwamba bei iliyopitishwa ilikua kubwa sana, na kulazimika kufuta ujenzi wa "dam" lingine.
Hadi Leo Kenya inaendelea kulalamika kutokana na gharama za ujenzi wa SGR kuwa kubwa kuliko wastani wa dunia, lakini bado watu wanaunga mkono ujenzi huu wa daraja moja kwa gharama ya 82B. Wajinga sana hawa jamaa
Inashangaza Kenya huwa wanatetea ufisadi as long as huyo fisadi ni kabila lake, ukiona mkenya anapinga ufisadi jua hilo fisadi sio kabila lake.Wakenya waliopo hapa JF wanaendelea kutetea wizi wa wazi kabisa, sijui kwanini wanashindwa kujifunza kutokana na makosa yao wenyewe, ni juzi tu rais wao alilazimika kupunguza gharama ya ujenzi wa "dam" by 50% baada ya kugundua kwamba bei iliyopitishwa ilikua kubwa sana, na kulazimika kufuta ujenzi wa "dam" lingine.
Hadi Leo Kenya inaendelea kulalamika kutokana na gharama za ujenzi wa SGR kuwa kubwa kuliko wastani wa dunia, lakini bado watu wanaunga mkono ujenzi huu wa daraja moja kwa gharama ya 82B. Wajinga sana hawa jamaa
Hapo upo sawaInashangaza Kenya huwa wanatetea ufisadi as long as huyo fisadi ni kabila lake, ukiona mkenya anapinga ufisadi jua hilo fisadi sio kabila lake.
Inashangaza Kenya huwa wanatetea ufisadi as long as huyo fisadi ni kabila lake, ukiona mkenya anapinga ufisadi jua hilo fisadi sio kabila lake.
Hahaha
Wakenya wenzio hao, pia naona wanamuelewa JPM vilivyo
Inashangaza Kenya huwa wanatetea ufisadi as long as huyo fisadi ni kabila lake, ukiona mkenya anapinga ufisadi jua hilo fisadi sio kabila lake.
80% ya wakenya wamechoshwa sana na utawala wa Uhuru Kenyatta, kinachofanya washindwe kuandamana ni kwasababu ni mkikuyu wanaogopa Mungiki.
Wakenya wengi kwa huu jukwaa ni mungiki. Wanatafuna serikali. Lazima watetee mitaji yao!
Ndio maana mimi uwa nawaita mungiki humu jukwaani,na wenyewe hata awa argueWakenya wengi kwa huu jukwaa ni mungiki. Wanatafuna serikali. Lazima watetee mitaji yao!
Swala ni kwamba wamemchoka Uhuru Kenyatta na wanamtaka Magu.Heheeee!!tena wazalendo kabisa, na wanahaki ya kujieleza watakavyo bila matatizo yyte yale
Mungiki hawapo tena. Kumbe hujui Kenya vizuri. Unajua nini kiliwakuta?80% ya wakenya wamechoshwa sana na utawala wa Uhuru Kenyatta, kinachofanya washindwe kuandamana ni kwasababu ni mkikuyu wanaogopa Mungiki.
Mungiki walipotezwa. Hawapo tena. Kumbe hujui lolote kuhusu KenyaNdio maana mimi uwa nawaita mungiki humu jukwaani,na wenyewe hata awa argue