Gharama ya 500m Bridge Kenya ni sawa na kujenga electric SGR Tanzania Dar - Moro hundreds of KMs

Gharama ya 500m Bridge Kenya ni sawa na kujenga electric SGR Tanzania Dar - Moro hundreds of KMs

Uganda ila awasemi Kwa kumsifia na kujivunia la Kwa sababu Uhuru ansfananishwa na vitu vya kijinga
Aaah qumamaqeeee nataka nisikie nchi gani inasema "we have our own Uhuruto".
 
Kula hzo kwanza!!jpm ni nani kw uhuru bana[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1226768View attachment 1226769View attachment 1226770View attachment 1226771
Mpaka akadange kwenye media za watu ndio ajulikane? Kwanza Rais gani mkubwa anaenda kwenye media studios? Rais wa heshima media zinamfata state House!

JPM anaongea kiswahili all day long hajawahi kwenda huko lakini wanampata 100% yaani wapo desperate kutafuta tafsiri alimradi tu wajue JPM kaongea nini? Uhuru anaongea English na amezunguka duniani hapa karibu mara 50 lakini bado kuna watu wengi hawamjui hata Africa hii hii!
 
unafikiri hii bridge hapa kwetu Kenya ni sawa na hivyo vi-interchange hapo ubungo mnavyoviita FLY OVER?

wacheni ushamba watanzania
Flyovers zenyewe ndio hizi? Heaps of uplifted soil

20190830_203517png.png
 
Sindano kali sana hyo[emoji382][emoji382][emoji382]
Uhuru ywaitwa...jiwe kwanza aitwe kw lipi hko CNN[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mpaka akadange kwenye media za watu ndio ajulikane? Kwanza Rais gani mkubwa anaenda kwenye media studios? Rais wa heshima media zinamfata state House!

JPM anaongea kiswahili all day long hajawahi kwenda huko lakini wanampata 100% yaani wapo desperate kutafuta tafsiri alimradi tu wajue JPM kaongea nini? Uhuru anaongea English na amezunguka duniani hapa karibu mara 50 lakini bado kuna watu wengi hawamjui hata Africa hii hii!
 
Sindano kali sana hyo[emoji382][emoji382][emoji382]
Uhuru ywaitwa...jiwe kwanza aitwe kw lipi hko CNN[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahaha hujui kama CNN ime report habari za JPM mara mia zaidi ya Uhuru? Nenda kwenye social media search CNN Magufuli uone kila Magufuli akipiga chafya CNN wana report na mainstream media nyingine za western.
 
Hahaha hujui kama CNN ime report habari za JPM mara mia zaidi ya Uhuru? Nenda kwenye social media search CNN Magufuli uone kila Magufuli akipiga chafya CNN wana report na mainstream media nyingine za western.
Rais wa CCM tu. Mama kaomba maji ona alivyomjibu, kisha useme Wakenya wengi wangemtamani.
 
Woooiiii!!si aitwe km guest basi tuone...
Hahaha hujui kama CNN ime report habari za JPM mara mia zaidi ya Uhuru? Nenda kwenye social media search CNN Magufuli uone kila Magufuli akipiga chafya CNN wana report na mainstream media nyingine za western.
 
Khaaaa we ni kammaba kweli.
Yani hii unafananisha na Australia kiongozi wao kumfananisha na Magufuli ??
Halafu ukishangaa Magufuli sio mtembeaji na haongeagi Kiingereza jiulize MEXICO NA AUSTRALIA WAMEWEZAJE KUFAHAM JUHUDI ZA HUYU JAMAA NA KUWAFANANISHA VIONGOZI WAO NA MAGUFULI ?
EBU NITAJIE TAIFA LOLOTE LILILOENDELEA LILILOMFANANISHA RAIS WAO NA UHURUTO.

NASUBURI JIBU.........
Kula hzo kwanza!!jpm ni nani kw uhuru bana[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1226768View attachment 1226769View attachment 1226770View attachment 1226771
 
CNN WANAMRIPOTI KIDUME MAGUFULI BILA YA KUMUITA.
SIO MPAKA UHURUTO WAKO AITWE ASUMBULIWE KM HOUSEMAID NJOO NJOO.
ILA KIDUME WANAMFATILIA KICHIZI MPK WANARIPOTI HABARI ZAKE PASI NA KUMUITA.
Sindano kali sana hyo[emoji382][emoji382][emoji382]
Uhuru ywaitwa...jiwe kwanza aitwe kw lipi hko CNN[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
EBU FANANISHA VICHEKESHO ULIVYOLETA NA HIVI.

HUYU JAMAA NI MZUNGU KAKAA CHINI KAACHA KAZI ZAKE ANAANZA KUMCHAMBUA MAGUFULI .

EBU NIONESHE VID YEYOTE UHURUTO AKIPIGIWA MIFANO MADHUBUTI KAMA MAGUFULI.








Sindano kali sana hyo[emoji382][emoji382][emoji382]
Uhuru ywaitwa...jiwe kwanza aitwe kw lipi hko CNN[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hata habari za al shabab pia huaga wana zi ripoti pasi kuwaita...so ihyo si big deal...tatizo kiki
CNN WANAMRIPOTI KIDUME MAGUFULI BILA YA KUMUITA.
SIO MPAKA UHURUTO WAKO AITWE ASUMBULIWE KM HOUSEMAID NJOO NJOO.
ILA KIDUME WANAMFATILIA KICHIZI MPK WANARIPOTI HABARI ZAKE PASI NA KUMUITA.
 
Angalia vizuri katika hzo comments..ndio utaelewa
Khaaaa we ni kammaba kweli.
Yani hii unafananisha na Australia kiongozi wao kumfananisha na Magufuli ??
Halafu ukishangaa Magufuli sio mtembeaji na haongeagi Kiingereza jiulize MEXICO NA AUSTRALIA WAMEWEZAJE KUFAHAM JUHUDI ZA HUYU JAMAA NA KUWAFANANISHA VIONGOZI WAO NA MAGUFULI ?
EBU NITAJIE TAIFA LOLOTE LILILOENDELEA LILILOMFANANISHA RAIS WAO NA UHURUTO.

NASUBURI JIBU.........
 
Back
Top Bottom