Gharama ya frame Kariakoo

joyness

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
235
Reaction score
120
habari za jioni,

ninaimani mu wazima na mmeaheherekea eid vizuri,

wadau naomba mnifahamishe gharama ya frame za biashara kariakoo au sehemu karibu na kariakoo.
 
Mmmmm sasa ziko juu ujio wa Wachina balaa kuna watu wamekibia kuacha frame kubwa na kwenda kujibana uchohoroni
 
Inategemea na eneo maana sasa hv zimeachwa nyingi.kutokana na bishara kua ngumu kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…