TheImporter
Member
- Oct 13, 2011
- 23
- 2
Wadau, naomba kujua makadilio ya gharama ya fundi kujenga msingi wa nyumba ya vyumba 4, kiwanja kina mtelemko kidogo.
Thanks
Thanks
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
laki nne
You are not serious!!laki nne
Precisely mkuu!Jamani vitu vya professional wapeni wenye professional zao wakupe ushauri. Hapo kuna mambo mengi ya kuangalia kwanza physical kabla hujaanza jenga na si kweli gharama zinafanana maana hata ramani zavyumba vinne haziwezi fanana pia na ni pamojana nature ya uwanja wako. Tafuta Engineer akushauri maana unaweza rushiana ngumi na fundi bure kumbe tatizo nilako