Gharama ya Internet ya Starlink

Its not practical, kadri watu wanavyoongezeka ndo speed hupungua
 
Starlink kwa mtu anayeishi Dsm, Mwanza, Dodoma, Arusha, Mbeya ni ujinga tu.

Starlink yafaa mtu anayefanya kazi porini huko ie kwenye game reserves, kwenye mashamba ya parachichi etc
 
Labda akina nape watoke maana wwmekuwa kama ndo wamiliki wa voda com na tigo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…