BONNIE GOLD
JF-Expert Member
- Jan 27, 2021
- 414
- 805
Mwaga Maldini mkuuKila la kheri
Hizo za kwenye picha, sijafahamu zilipo mkuuHizi fremu zipo wapi?
OkHizo za kwenye picha, sijafahamu zilipo mkuu
Nzuri mkuu!Habari zenu wakuu
Naomba msaada wa kupata roughly mchanganuo wa kujenga fremu tatu za biashara, ukubwa wa 2.5m x 2.5, Kuanzia msingi mpaka juu.
Mfano wa fremu ni hizi chini hapa. Eno lipo Dar
Asante sana
View attachment 3129673View attachment 3129674View attachment 3129675