Gharama ya kukodi helicopter Dar to Bukoba vijijini

Gharama ya kukodi helicopter Dar to Bukoba vijijini

hahaha.. chezea muhaya wewe! mtu na pesa zake. sijui anataka akapakie mzigo wa ndizi fastafasta?! nenda pale g.import bagamoyo au msasani wanatoa huduma ya helcopter, kutoka dar-mwanza ni 2.5mil na mizgo yako. ila cjajua hadi bukoba we jiongeze mwenyewe
 
hasa we kinachokuuma ni nini.......kama ni sifa za kijinga si nasifiwa mie
sio kila kitu lazima ukoment...............we ukikodigi bodaboda mbona hatuongei............watu wengine bhana.........

Hee we jamaa tangu tarehe 16/08 ulipoleta thread mpaka leo hujasafiri tu? Ama kweli Zilikuwa ni sifa za kijinga tu:sly:
 
sio kuosha nataka kwenda na kufika haraka then nirud siku hiyohiyo...........................

si ndo kuosha kyoma? haya tuanze hivi, hiyo bukoba vijijini ni wapi? toka airport hadi huko km ngapi? kama ni chini ya 200, kwa nini usikod gari zuri la kukurush faster na kugeuka?

kama ukiendesha kwa 70km/hr, utahitaji six hrs kwenda na kurudi airport. ukijumulisha saa moja la kusalimia, ni seven hrs then 3hrs za go and return siku imeisha.

shida yako unataka sifa za kihaya ili waseme umenunua helicopter
 
Kweli Culture ni factor muhimu sana kwa binadamu. ina shaangara swali kama hili na kwa mara ya kwanza

kuulizwa na MHAYA ? bora angeuliza mtu tofauti na kabila hili ,

hii inathibitisha kabisa WAHAYA KWA SIFA NI MAHODARI SANA
 
Watu wa bukoba mna mambo xana aisee, kwa jinsi mnavyotusumbua huku mikoani nikadhan bukoba kupo vizur xana, juzijuzi nmetoka ziara huko. Mbona mna mbwembwe xana alafu mkoa wenu hauelewek nyie, yaan mnavyojiweka as if hakuna mkoa mzur hapa tanzania unaouzid BK. Nenda kwa gar tafadhal, achana na hizo safar za angani
 
Watu wa bukoba mna mambo xana aisee, kwa jinsi mnavyotusumbua huku mikoani nikadhan bukoba kupo vizur xana, juzijuzi nmetoka ziara huko. Mbona mna mbwembwe xana alafu mkoa wenu hauelewek nyie, yaan mnavyojiweka as if hakuna mkoa mzur hapa tanzania unaouzid BK. Nenda kwa gar tafadhal, achana na hizo safar za angani
uliishia bukoba mjini i think............ungefika vijijini usingetamani kurudi nyumbani..........mfano ungefika sehemu inayoitwa kanyigo ndo ungepata la kuongea vizuri
 
hasa we kinachokuuma ni nini.......kama ni sifa za kijinga si nasifiwa mie
sio kila kitu lazima ukoment...............we ukikodigi bodaboda mbona hatuongei............watu wengine bhana.........

Kama hivi😀
 

Attachments

  • 1440561760057.jpg
    1440561760057.jpg
    61.1 KB · Views: 275
fun gun,sio mhaya ila naona ana utani na wahaya
 
Back
Top Bottom