Under-cover
JF-Expert Member
- Nov 13, 2023
- 1,834
- 3,042
Swali gumu.Uko wapi....
Sawa mkuu.Mtafute millard Ayo
N soon siwez jielezea hapa mkuu.Ndoto.....!!!!
Kumekucha aamka dogo..today is Black Tuesday
mimi nauza apartment zipo mtwara mjini mtaa wa Shanghani karibu sanaWakuu habari, nina swali kwa mwenye ufahamu, hiv mfano ile apartment ya Palm Village, inawezekana mtu kuamua kununua ile room complitety ikawa yako jumla? Maana nina ndoto hizo soon
Na vipi ukinunua ina maana suala la umeme, maji litanihusu mimi tu sio?
Huyu atajikojolea muda sio mrefu! maana haoni kama kumekucha bado anaota tuNdoto.....!!!!
Kumekucha aamka dogo..today is Black Tuesday
Mtoa uzi usije ukajibu hili swali.Uko wapi....
Basi pokea hata simu......nakupigiaSwali gumu.
Ahsante madam.mimi nauza apartment zipo mtwara mjini mtaa wa Shanghani karibu sana
Safi! Kila la khery.Wakuu habari, nina swali kwa mwenye ufahamu, hiv mfano ile apartment ya Palm Village, inawezekana mtu kuamua kununua ile room complitety ikawa yako jumla? Maana nina ndoto hizo soon
Na vipi ukinunua ina maana suala la umeme, maji litanihusu mimi tu sio?
Hilo jengo limejengwa kwa lengo hilo. Yaani kuuza apartments. Ni wewe tu hela yako itaamua upate apartment ya bei gani. ukinunua ikiwa yako maji,umeme,internet utalipia mwenyewe. Na usisahau kuna kitu kinaitwa service charge kila mwezi inaweza kufika $300 hii ni hela unachangia usafi,kutunza bustani,umeme wa taa za nje na lift na ulinzi.Wakuu habari, nina swali kwa mwenye ufahamu, hiv mfano ile apartment ya Palm Village, inawezekana mtu kuamua kununua ile room complitety ikawa yako jumla? Maana nina ndoto hizo soon
Na vipi ukinunua ina maana suala la umeme, maji litanihusu mimi tu sio?