Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushaandaa michoro?Habari wakuu hatimaje nimedundukkza million mbili, naomba nijue gharama ya kibali cha ujenzi na process zake
Bado, mchoro kwani kiasi gani?Ushaandaa michoro?
Kama si ghorofa nenda serikali ya mtaa wako utapewa siku hiyo hiyoHabari wakuu hatimaje nimedundukkza million mbili, naomba nijue gharama ya kibali cha ujenzi na process zake
Andaa michoro Mkuu.Bado, mchoro kwani kiasi gani?
Asante. Pia ningependa kujua kama nilinunua kiwanja kwa mtu na hati bado sijabadilisha jina bado naweza kupata hiyo building permit?Andaa michoro Mkuu.
Hiyo ndiyo itaamua uchajiwe kiasi gani kulingana na ukubwa wa jengo lako, matumizi na aina.
Pia, hutofautiana kati ya Halmashauri na Halmashauri.
Kumbe mukide kabisa...nataka shusha chumba self sitting jiko basikama si ghorofa nenda serikali ya mtaa wako utapewa siku hiyo hiyo
hiyo 2 million, si tukakusanye nyapu tupige orgy mkuu... acha na mambo ya kujenga ni hofu ya maisha hiyo 😅😅😅😅Habari wakuu hatimaje nimedundukkza million mbili, naomba nijue gharama ya kibali cha ujenzi na process zake
Ah sasa orgy tukipiga kwenye kijumba changu sii ndio raha zaidi mwanawane. Hela ya hotel nyingi mzeya. Nitakapamba fresh uwe unakuja na mzee wa kupambaniahiyo 2 million, si tukakusanye nyapu tupigr orgy mkuu... acha na mambo ya kujenga ni hofu ya maisha hiyo 😅😅😅😅
Hapana. Hutoweza kupata. Vinginevyo aende yeye kuomba kwa niaba yako. Ambayo kisheria jengo litatambulika kama lake.Asante. Pia ningependa kujua kama nilinunua kiwanja kwa mtu na hati bado sijabadilisha jina bado naweza kupata hiyo building permit?
Asante👍Hapana. Hutoweza kupata. Vinginevyo aende yeye kuomba kwa niaba yako. Ambayo kisheria jengo litatambulika kama lake.
Kwa sasa, anza mchakato wa kubadili umiliki kutoka kwake kuja kwako. Kisha process zingine ndizo ziendelee.
Inaweza kuwa pungufu au zaidi ya laki. Kutegemeana na aina ya jengo, matumizi na sehemu. Ada ya ukaguzi pia huweza kuzidisha kiwango cha ada ya ujenzi.Hivi hiko kibali inafika laki???
Sijawahi kuchukuaga kibali,huwa najenga tu
Zaidi ya laki 3Hivi hiko kibali inafika laki???
Sijawahi kuchukuaga kibali,huwa najenga tu
Inawezekana ukamaliza mjengo,baadae wakaja kukupiga fine ya kutokuwa na kibali?Inaweza kuwa pungufu au zaidi ya laki. Kutegemeana na aina ya jengo, matumizi na sehemu. Ada ya ukaguzi pia huweza kuzidisha kiwango cha ada ya ujenzi.
Jibu ni NDIYO.
Basi,sina shida na hivyo vibali..ambapo hizo hela wanaenda kuzila tuZaidi ya laki 3
Ukifika level ya kuweka umeme hawakubani?? Mimi niliulizwa hizo swali...hadi uoneshe permit ...Hivi hiko kibali inafika laki???
Sijawahi kuchukuaga kibali,huwa najenga tu
😅😅 sasa hadi kijumba kikamilike, si nyege zotatuuu mzeeiyaaa.. hapo kwenye 2 million, tunachukua ka guest uswazi chumba buku 30 inayobaki yote tunapigia rahaaa za kiunoniAh sasa orgy tukipiga kwenye kijumba changu sii ndio raha zaidi mwanawane. Hela ya hotel nyingi mzeya. Nitakapamba fresh uwe unakuja na mzee wa kupambania
Mimi nimeweka kila kitu maji plus umeme na kuhamia juuUkifika level ya kuweka umeme hawakubani?? Mimi niliulizwa hizo swali...hadi uoneshe permit ...
OH basi inategemea na sehemu na sehemuMimi nimeweka kila kitu maji plus umeme na kuhamia juu