Gharama ya kupeleka marais wawili na misafara yao Chato haijazidi shule wanayoenda kuzindua?

Gharama ya kupeleka marais wawili na misafara yao Chato haijazidi shule wanayoenda kuzindua?

Hamna picha ya shule na sisi tuliopo Ludewa tuone.
Mseveni.jpg

Unadhani thamani ya Kielimu, Kiuchumi na kidiplomasia kwa umri wote wa shule hii ni kiasi gani, ili tulinganishe na gharama za msafara wa leo.
 
Niko hapa naangalia convo iliyoenda kuzindua shule ya msingi Chato iliyojengwa na Rais Museveni, aisee ni kubwa. Nimemuona Rais Samia kashuka kwenye lile dege kubwa akiwa ameambatana na jopo la kutosha, Rais Museveni nae kaenda na ndege yake, picha za sehemu ya uzinduzi ina watu wa kutosha wakiwemo watumishi wa Serikali.

Najiuliza gharama za kupeleka ndege mbili za Marais, kupeleka jopo kubwa hivi, kuwalipa posho walioenda na watumishi wa Chato, logistics za ulinzi kwa marais wote wawili, kupeleka live TV etc

Hizi gharama hazijazidi au kukaribiana na gharama ya shule ya msingi iliyoenda kuzinduliwa? Kama ni alama ya ushirikiano, hamna namna nyingine tungeweza kufanya?
Tumerogwa
 
Niko hapa naangalia convo iliyoenda kuzindua shule ya msingi Chato iliyojengwa na Rais Museveni, aisee ni kubwa. Nimemuona Rais Samia kashuka kwenye lile dege kubwa akiwa ameambatana na jopo la kutosha, Rais Museveni nae kaenda na ndege yake, picha za sehemu ya uzinduzi ina watu wa kutosha wakiwemo watumishi wa Serikali.

Najiuliza gharama za kupeleka ndege mbili za Marais, kupeleka jopo kubwa hivi, kuwalipa posho walioenda na watumishi wa Chato, logistics za ulinzi kwa marais wote wawili, kupeleka live TV etc

Hizi gharama hazijazidi au kukaribiana na gharama ya shule ya msingi iliyoenda kuzinduliwa? Kama ni alama ya ushirikiano, hamna namna nyingine tungeweza kufanya?
Madikteta hawaangalii gharama wao ni kusifiwa tuu. Wachawi wamekutana kaburini
 
Hakuna siku nililia Kama mtoto Kama siku niliokutana na msafara wa mwenge mwituni ukielekea kuzindua choo Cha shule kisicho hata na maji
 
Akili ndogo kuongoza akili Kubwa,
Angewakilisha msukuma na madiwani kukabidhiwa hiyo shule.
Balozi Uganda nchini Tanzania alikuwa anatosha kupunguza gharama.
 
HII NCHI IMEKUWA YA AIBU SANA!
Tulishasema sisi ni country donor, haya maujinga yanatoka wapi tena??


Hicho alichofanya Museni kitalipwa mara milioni mia sita kupitia bomba la mafuta, kununua sukari uganda na biashara zingine at the expense of poor Tanzania.
Mungu anawaona na mtajibu siku ya kiama!
 
Kwahiyo kama amekufa basi ni tiketi ya waliobaki kuchezea kodi zetu kwa matumizi yasiyo ya lazima?
Kwani waliobaki bado wanachezea kodi zenu?

Si aliekuwa anafanya hivyo alishakufa na mkashangilia sana?
 
Niko hapa naangalia convo iliyoenda kuzindua shule ya msingi Chato iliyojengwa na Rais Museveni, aisee ni kubwa. Nimemuona Rais Samia kashuka kwenye lile dege kubwa akiwa ameambatana na jopo la kutosha, Rais Museveni nae kaenda na ndege yake, picha za sehemu ya uzinduzi ina watu wa kutosha wakiwemo watumishi wa Serikali.

Najiuliza gharama za kupeleka ndege mbili za Marais, kupeleka jopo kubwa hivi, kuwalipa posho walioenda na watumishi wa Chato, logistics za ulinzi kwa marais wote wawili, kupeleka live TV etc

Hizi gharama hazijazidi au kukaribiana na gharama ya shule ya msingi iliyoenda kuzinduliwa? Kama ni alama ya ushirikiano, hamna namna nyingine tungeweza kufanya?
Gharama haziepukiki la sivyo Rais akae ofisini tu
 
Back
Top Bottom