mohamedidrisa789
JF-Expert Member
- Jun 20, 2015
- 5,258
- 22,552
Ni wazo zuri kama umetambua ilo.mimi na wewe ni watu wawili tofautiItakua hujanielewa na kama umenielewa basi huna hoja ya kujibu ndio maana Una rukaruka. Nilitaka unipe mfano wa matumizi ya umeme kwenye nyumba yenye mfumo uliotumia waya ya 10mm na 16mm kama mimi nilivyokupa mfano wa matumizi ya umeme kwenye nyumba yenye mfumo wenye waya ya 6mm.
Hayo mambo ya darasa sijui kibali yanatoka wapi? Kama umeshidwa kunielewesha hapa kwa faida ya wengi sina haja ya kuja inbox na ninaitilia shaka taaluma yako ya ufundi. Na huu mjadala baina yangu na yako unaishia hapa.
Hata main switch Zina MCB so circuit breaker siyo IshuAcha wizi wako wewe
Kuna nyaya umeweka hapa hazina umuhimu 10mm ya nini??
Hata main switch Zina MCB so circuit breaker siyo Ishu
Mkuu, mfumo wa backup ya umeme wa tanesco kwa generator huwa unahitaji vifaa gani ili umeme wa tanesco unapokata, wa generator uingie bila shida na pindi wa tanesco ukirudi, ule wa generator uzime.Ni wazo zuri kama umetambua ilo.mimi na wewe ni watu wawili tofauti
kujua gharama utakazozitumia chukua mafundi japo watatu tofauti walipe kwa ajili ya site visit utapata mwanga kuhusiana na mahitaji na bajeti yako. ukiingia kichwa kichwa utapigwa lakini pia kuna uwezekano wa kutoimaliza kazi yako ukifuata baadhi ya wanaokushauri hapa jukwaani.Habari wakuu,
Naomba msaada wa kujuzwa makadirio ya gharama ya kufanya wiring kwa nyumba ya vyumba 4 (vyumba 4, sebure, dining, stoo na jiko), pamoja na vifaa vinavyohitajika.
Natanguliza shukran zangu za dhati.
Fafanua ungependa hiyo wayaringi yako ipite chini au ipite darini.Habari wakuu,
Naomba msaada wa kujuzwa makadirio ya gharama ya kufanya wiring kwa nyumba ya vyumba 4 (vyumba 4, sebure, dining, stoo na jiko), pamoja na vifaa vinavyohitajika.
Natanguliza shukran zangu za dhati.
Gharama za makadirio ya umeme zinategemea mahitaji ya mteja husika.Habari wakuu,
Naomba msaada wa kujuzwa makadirio ya gharama ya kufanya wiring kwa nyumba ya vyumba 4 (vyumba 4, sebure, dining, stoo na jiko), pamoja na vifaa vinavyohitajika.
Natanguliza shukran zangu za dhati.
We jamaa hujui afu mbishi kisa tu umefanya unavojua wewe kwa mazoea. Nawaonea huruma ambao ulishawapa ushauri.. Anyway wazungu wanasemaga some fools never learnMatumizi makubwa kama yapi? Ngoja nikupe mfano hapo kwenye matumizi ya umeme kwenye nyumba ya kisasa ambayo kwenye mfumo wa umeme imetumika waya ya 6mm.
Jikoni kuna fridge 1, cooking range 1, microwave 1, Mixer 1 na blender 1. Katika matumizi vifaa vitatu vinaweza kutumika kwa pamoja.
Sebuleni kuna Tv, AC, radio (subwoofer & AVR) na king'amuzi, hapa mara nyingi vyote vinakua on kutoa AC ndio mara mojamoja.
Kwenye mabafu kuna water heater 2, tukiongeza na taa za nyumba mzima na nje zipo 14 (najua hapa utaniambia nyumba za kisasa sebuleni tu kuna gypsum light 86) pia kuna matumizi mengine kama, kupiga pasi na kuchaji simu.
Pia itakua vizuri na wewe ukileta matumizi ya nyumba za kisasa unazotumia 10mm na 16mm, na kwakua wewe ni fundi sio mbaya ukiambatanisha na calculations.
Wakuu bomba mnazo ongelea hapa ni zipi?Ni kweli sio fundi, ila kwenye umeme hunidanganyi kitu mzee. Hata mimi fundi aliniambia niinunue hiyo circuit breaker ila mind you nilimdaka akiwa anataka kuiweka kwenye bag lake akauze mbele ya safari.
Main switch za Tronic za sasa hivi hauna haja ya kununua hicho kifaa kwakuwa tayari ipo ndani yake. Kama ulimruhusu fundi akafanya hivyo Mzee kubali tu umeshapigwa za Mbavu.
Kama hiyo nyumba yake haitakuwa na mambo mengi bomba 20-25 ni kiwango cha kutosha kabisha labda akitaka mbwembwe ndiyo zinaweza kufika 30 ila kwa idadi ya 70 Mkuu labda kama ni wiring ya Kanisa au Godown.
Ni kutokana. Na namna gani unahitaji nyumba yako ikae ukitaka galama nFuu inawezekana lakin inakuwa localHabari wakuu,
Naomba msaada wa kujuzwa makadirio ya gharama ya kufanya wiring kwa nyumba ya vyumba 4 (vyumba 4, sebure, dining, stoo na jiko), pamoja na vifaa vinavyohitajika.
Natanguliza shukran zangu za dhati.
Mkuu wewe unapiga vifaa, 6*150=900 hii waya ndefu sana mkuuNgoja nikupe mchanganuo wa vifaa
*Main switch 8 way (tronic)- Tsh 95, 000=
*Circuit breaker(tronic) - 45, 000=
*Earth road(pure copper) - 50, 000=
*1.5mm wire(single) 6 pair×50000= 300, 000=
*2.5 mm wire(single) 3 pair ×80000=240, 000=
*10 mm wire (mita 5) - 50, 000=
*switch socket double -8× 8000= 64, 000=
*lamp switch - 50, 000=
4mm wire (mita 10)×4000- 40, 000=
- 4mm earth wire (mita 10)- 20, 000=
- cooker switch - 30, 000=
Jumla Tsh 994, 000/=
Vifaa vyote kampuni ya Tronic
Waya kampuni ya master cable
Hii ni wiring ya kawaida sana kwenye nyumba.yani wiring ya mtu wa hali ya chini
Waya 2.5 kwa nyumba hii ikizidi ni roller1 na nusu ungesema 2 basiAcha wizi wako wewe
Kuna nyaya umeweka hapa hazina umuhimu 10mm ya nini??
Duh umetisha kunamwamba kaomba laki8 juuUbaya wa wiring uwa haiangalii ukubwa wa jengo bali wewe unaitaji nini kwenye nyumba.mfano nyumba hii ni mdogo tu ina vyumba 2 vya kulala ila cost yake imefika zaidi ya milion 3.
Mchanganuo
(1)2.5 mm wire(master cable)-6 roll × 78000= 468, 000.
(2) 1.5 mm wire single-9 roll×45000= 405, 000.
(3) main switch 12 way(tronic)- 150, 000
(4)circuit breaker- 45000
(5)earth load-50000
(6) 16 mm wire -mita 10×13000= 130, 000.
(7)switch socket double-10×17000= 170, 000.
(8)lamp switch 4gang(3)-3gang(4)2gang(4)1gang(3)
*4 gang-3×14000= 42, 000.
*3gang-4×11000=44, 000.
*2gang-4×9000=36, 000.
*1gang-3×7000=21, 000.
*cooker switch-35, 000.
*DP switch 20A (kwa ajili ya water heater na pump ya maji)-3×14000=32, 000.
*DP switch 45A(kwa ajili ya AC)-2×21000=42, 000.
*tv socket(double-kwa ajili ya ving'amuzi)-2×14000=28, 000.
(9)Conduit pipe(Bomba) -3/4 -80×2000=160, 000.
*Conduit pipe(1inch)-40×3000= 120, 000.
(10) taa za ndani
*taa za ukutani 12(5×50, 000=250, 000.) (7×35000=175000)
*Jpysum light-18×15, 000=330, 000.
*taa ya mkanda25×5000=125, 000+30, 000=155, 000.
*taa za chooni(2) vibarazani(2) jikoni (1)
20000×5=100, 000.
(11) taa za nnje-15× 40, 000= 600, 000.
(12)Squal box,waterploof box, earth wire, Round box, Round cover=100, 000
Total Tsh 3,688, 000.View attachment 2593114View attachment 2593115
Mkuu niPM nikupe Kazi!Ubaya wa wiring uwa haiangalii ukubwa wa jengo bali wewe unaitaji nini kwenye nyumba.mfano nyumba hii ni mdogo tu ina vyumba 2 vya kulala ila cost yake imefika zaidi ya milion 3.
Mchanganuo
(1)2.5 mm wire(master cable)-6 roll × 78000= 468, 000.
(2) 1.5 mm wire single-9 roll×45000= 405, 000.
(3) main switch 12 way(tronic)- 150, 000
(4)circuit breaker- 45000
(5)earth load-50000
(6) 16 mm wire -mita 10×13000= 130, 000.
(7)switch socket double-10×17000= 170, 000.
(8)lamp switch 4gang(3)-3gang(4)2gang(4)1gang(3)
*4 gang-3×14000= 42, 000.
*3gang-4×11000=44, 000.
*2gang-4×9000=36, 000.
*1gang-3×7000=21, 000.
*cooker switch-35, 000.
*DP switch 20A (kwa ajili ya water heater na pump ya maji)-3×14000=32, 000.
*DP switch 45A(kwa ajili ya AC)-2×21000=42, 000.
*tv socket(double-kwa ajili ya ving'amuzi)-2×14000=28, 000.
(9)Conduit pipe(Bomba) -3/4 -80×2000=160, 000.
*Conduit pipe(1inch)-40×3000= 120, 000.
(10) taa za ndani
*taa za ukutani 12(5×50, 000=250, 000.) (7×35000=175000)
*Jpysum light-18×15, 000=330, 000.
*taa ya mkanda25×5000=125, 000+30, 000=155, 000.
*taa za chooni(2) vibarazani(2) jikoni (1)
20000×5=100, 000.
(11) taa za nnje-15× 40, 000= 600, 000.
(12)Squal box,waterploof box, earth wire, Round box, Round cover=100, 000
Total Tsh 3,688, 000.View attachment 2593114View attachment 2593115