Kichwa cha habari chajieleza,
Wandugu, wataalam na wazoefu wa ujenzi naomba mnisaidie,
Je ni tofali ngapi za block zinatakiwa kujenga chumba kimoja cha darasa? Kuna fundi aliniambiai inatakiwa tofali 1800 na mwingine akanambia tofali za block 1650, sasa nimebaki njia panda nikaona ni vyema nije humu kuwauliza mafundi ili nipata exposure na kuepuka kuibiwa, pia ili naweza pata fundi humu humu ambae pengine si mpigaji na kama tutaridhiana na kukubaliana.
Ni hayo tuu ndugu zanguni, ahsanteni sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wandugu, wataalam na wazoefu wa ujenzi naomba mnisaidie,
Je ni tofali ngapi za block zinatakiwa kujenga chumba kimoja cha darasa? Kuna fundi aliniambiai inatakiwa tofali 1800 na mwingine akanambia tofali za block 1650, sasa nimebaki njia panda nikaona ni vyema nije humu kuwauliza mafundi ili nipata exposure na kuepuka kuibiwa, pia ili naweza pata fundi humu humu ambae pengine si mpigaji na kama tutaridhiana na kukubaliana.
Ni hayo tuu ndugu zanguni, ahsanteni sana.
Sent using Jamii Forums mobile app