Gharama ya ujenzi wa Ghorofa Moja Kwa maeneo ya kijijini ni shilingi ngapi

Gharama ya ujenzi wa Ghorofa Moja Kwa maeneo ya kijijini ni shilingi ngapi

Nyanda Banka

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2023
Posts
304
Reaction score
1,054
Habari zenu mafundi nataka kujua ni kiasi gani naweza kujengewa Ghorofa moja kwa maeneo ya kijijini

Nataka kujua bei tu ya ufundi mbali na vifaa vya ujenzi maana kuna sehemu nilipata majibu ya kushangaza na kustaajabisha kuhusiana na ujenzi wa Ghorofa

Napenda kupata majibu kutoka mafundi wenyewe wenye uwezo wa kujenga hiyo Ghorofa
1725363084905.jpg
 
Ghorofa la P diddy bilioni 50
Ghorofa la alli kiba milioni 129
Dadavua saaa
 
Kijiji gani?
Si huwa tunaambiwa vivijini ni wachawi sana, hawapendi watu waishi maisha mazuri.
 
Back
Top Bottom