Gharama ya ujenzi wa vyumba vitatu, sebule, jiko na choo cha ndani

Gharama ya ujenzi wa vyumba vitatu, sebule, jiko na choo cha ndani

Lee Swagger [emoji23][emoji23] Milioni 108 ! [emoji23][emoji23]
Ila hii nchi hii,[emoji1787][emoji1787]

Hiyo pesa si ni ya kujenga hekalu! Kanisa letu hapa limejengwa kwa 90m

Akaamua kuweka na kapicha uchwara kutoka facebook ili kuthibitisha!
Hivi mnaona 100m kuwa nyingi sana kwa ujenzi wa leo? Are you guys serious? Kuna nyumba na NYUMBA mkuu, zipo nyumba kwa sababu ya accessories zilizopo 100m ni kawaida tu.

Watu wanajenga nyumba nzuri mno, mno kiasi kwamba unajiuliza hizi pesa wao wanatoa wapi.

Kama nyumba yenye 150sqm mtu anatamia almost 15m-20m kupaua na kuezeka tu, unaonaje ajabu nyumba kugharimu 100m hadi finishing? mwingine hiyo 15m-20m amejenga msingi, boma na bati kashaweka.

Wewe useme kibongobongo na nyumba zetu kwa ujenzi wa kuungaunga ni kweli 100m ni nyingi, lakini kwa mtu mwenye resources zake anashusha mzigo wa 100m au zaidi kwa three-four bedroom house.
 
Humu watu mnajifanya wajuaji wakat hata kujenga banda la kuku hamjawahi.
Wengine mmesimamia ujenzi wa nyumba za waume wa dada zenu mnataka kuwatishia watu kwamba ujenzi ni gharama sana.

Kaeni vijiweni jidanganyeni tu, ndio maana mnazeekea kwa mashemeji kwasabab mna akili ndogo wakat hapo mtaani kuna Muuza matunda anajenga nyumba, mama ntilie anajenga nyumba, muuza genge anajenga nyumba, mmachinga anajenga nyumba n.k. Mwsho wa siku mnaita watu wachawi freemason majambazi

Ujenzi ni wewe na akili yako na uwezo wako. Ukiwa na akili ndogo hujafanya utafiti wa ramani materials na mafundi, nakuambia nyumba ya 3 bedrooms yenye thamani ya 35M utajenga kwa 100M.
Ukiwa na uwezo mkubwa kiuchumi nyumba ya 35M utaijenga kwa 100M kwasabab utataka iendane na pesa uliyojiwekea. Kwahio kupanga ni kuchagua.

MSITISHIANE MAISHA VIJANA ANZA NA ULICHONACHO. Tena niwashauri wenye uchumi mdogo kama unaenda kukopa pesa au umepata pesa ndogo na unaona haiwez kujenga nyumba na ikamaliza kilakitu, fanya hivi tafuta mafundi wazur wakufanyie makadirio, waambie unataka kujenga nyumba let's say ya vyumba 3 ijengwe ipauliwe na uweze kuhamia ili ujenzi utaendelea nao ukiwa ndani pindi unapopata pesa kidogo kidogo.
 
Humu watu mnajifanya wajuaji wakat hata kujenga banda la kuku hamjawahi... Wengine mmesimamia ujenzi wa nyumba za waume wa dada zenu mnataka kuwatishia watu kwamba ujenzi ni gharama sana... Kaeni vijiweni jidanganyeni tu, ndio maana mnazeekea kwa mashemeji kwasabab mna akili ndogo wakat hapo mtaani kuna Muuza matunda anajenga nyumba, mama ntilie anajenga nyumba, muuza genge anajenga nyumba, mmachinga anajenga nyumba n.k.... Mwsho wa siku mnaita watu wachawi freemason majambaz...
Ujenzi ni wewe na akili yako na uwezo wako... Ukiwa na akili ndogo hujafanya utafiti wa ramani materials na mafundi, nakuambia nyumba ya 3 bedrooms yenye thamani ya 35M utajenga kwa 100M... Ukiwa na uwezo mkubwa kiuchumi nyumba ya 35M utaijenga kwa 100M kwasabab utataka iendane na pesa uliyojiwekea... Kwahio kupanga ni kuchagua... MSITISHIANE MAISHA VIJANA ANZA NA ULICHONACHO...Tena niwashauri wenye uchumi mdogo kama unaenda kukopa pesa au umepata pesa ndogo na unaona haiwez kujenga nyumba na ikamaliza kilakitu, fanya hivi tafuta mafundi wazur wakufanyie makadirio, waambie unataka kujenga nyumba let's say ya vyumba 3 ijengwe ipauliwe na uweze kuhamia ili ujenzi utaendelea nao ukiwa ndani pindi unapopata pesa kidogo kidogo...
Usichofikiria au unachotaka watu waamini ni kuwa unavyowaza wewe kila mtu awaze kama wewe.

Kila mtu ana namna anavyoona nyumba "imeisha", hapa tunasemea uchumi wa watu tofauti, kuna mtu anapaua nyumba kwa 20m wakati huo huo kuna mwingine hiyo 20m amemaliza nyumba, yupo mtu anafanya finishing ya nyumba kwa 20m wakati mwingine akishapiga plaster nyumba imeisha, unaelewa hoja yangu mkuu?

Sisi walalahoi nyumba zetu hardly 50m tena tunaungaunga hata miaka kumi, wenzetu wakisema "nyumba imeisha" ni kila kitu hadi landscaping, fence, pavement, garden nk.

Mtu akiuliza, "je kwa milioni 50 nyumba inaisha?" Wewe unayemjibu una-define vipi nyumba kuisha! Msiishie kutukana watu wakati hata maelezo hamtoi yakaeleweka.
 
Usichofikiria au unachotaka watu waamini ni kuwa unavyowaza wewe kila mtu awaze kama wewe.

Kila mtu ana namna anavyoona nyumba "imeisha", hapa tunasemea uchumi wa watu tofauti, kuna mtu anapaua nyumba kwa 20m wakati huo huo kuna mwingine hiyo 20m amemaliza nyumba, yupo mtu anafanya finishing ya nyumba kwa 20m wakati mwingine akishapiga plaster nyumba imeisha, unaelewa hoja yangu mkuu?

Sisi walalahoi nyumba zetu hardly 50m tena tunaungaunga hata miaka kumi, wenzetu wakisema "nyumba imeisha" ni kila kitu hadi landscaping, fence, pavement, garden nk.

Mtu akiuliza, "je kwa milioni 50 nyumba inaisha?" Wewe unayemjibu una-define vipi nyumba kuisha! Msiishie kutukana watu wakati hata maelezo hamtoi yakaeleweka.
rudia tena na tena kusoma maelezo yangu, inaonekana wew ni slow learner kijana... halafu ni wapi nimekutaja hadi uni attack...
 
rudia tena na tena kusoma maelezo yangu, inaonekana wew ni slow learner kijana... halafu ni wapi nimekutaja hadi uni attack...
Huenda ni slow learner, samahani kama umehisi naku attack ila nimejibu hoja yako, quoting you ni haki yangu coz humu tuna kwotiana kama kawaida, labda useme hutaki nikukwoti.
 
Nimejenga nyumba ya vyumba vitatu yenye master, public toilet,kitchen,dining room combined with sitingroom from the foundation to lenter na kozi za juu kwa gharama ya 6.5M tena ina baraza mbili front and back hapo sijapaua, na msingi nimesuka nondo ya 8mm,baada ya kozi tatu nimezungusha seng'enge nyumba nzima kwenye vyumba va kuzunguka,nguzo nikaweka nondo ya 12mm, lenter nikapiga 12mm na kozi za juu nimeshafunga gharama ndio hiyo hapo nipo Moshi sadala anaebisha abishe, hiyo gharama pamoja na fundi mimi nimeshakabidhiwa box langu nyumba ukiigonga inalia chuma yani namkubali sana fundi wangu asee, nilisimamia mwenyewe mwanzo mwisho.
 
Tusikatishane tamaa jamani hata mimi nilivyopata ka hela kangu nilikatishwa sana tamaa ila nikajitoa ufahamu na hatimae nimemaliza nasubiri mwakani january namaliza nihamie.
 
Nimejenga nyumba ya vyumba vitatu yenye master, public toilet,kitchen,dining room combined with sitingroom from the foundation to lenter na kozi za juu kwa gharama ya 6.5M tena ina baraza mbili front and back hapo sijapaua, na msingi nimesuka nondo ya 8mm,baada ya kozi tatu nimezungusha seng'enge nyumba nzima kwenye vyumba va kuzunguka,nguzo nikaweka nondo ya 12mm, lenter nikapiga 12mm na kozi za juu nimeshafunga gharama ndio hiyo hapo nipo Moshi sadala anaebisha abishe, hiyo gharama pamoja na fundi mimi nimeshakabidhiwa box langu nyumba ukiigonga inalia chuma yani namkubali sana fundi wangu asee, nilisimamia mwenyewe mwanzo mwisho.
Suala sio vyumba vitatu,suala ni ukubwa wa nyumba yako ungetuambia labda nyumba yako ina ukubwa gani ingeleta maana zaidi
 
Suala sio vyumba vitatu,suala ni ukubwa wa nyumba yako ungetuambia labda nyumba yako ina ukubwa gani ingeleta maana zaidi
Kwahiyo unategemea kwamba nimejenga vibanda vya kuku au?acha mambo yako kijana, mnakatisha wenzenu tamaa ila ukweli ndio huo.
 
Nimejenga nyumba ya vyumba vitatu yenye master, public toilet,kitchen,dining room combined with sitingroom from the foundation to lenter na kozi za juu kwa gharama ya 6.5M tena ina baraza mbili front and back hapo sijapaua, na msingi nimesuka nondo ya 8mm,baada ya kozi tatu nimezungusha seng'enge nyumba nzima kwenye vyumba va kuzunguka,nguzo nikaweka nondo ya 12mm, lenter nikapiga 12mm na kozi za juu nimeshafunga gharama ndio hiyo hapo nipo Moshi sadala anaebisha abishe, hiyo gharama pamoja na fundi mimi nimeshakabidhiwa box langu nyumba ukiigonga inalia chuma yani namkubali sana fundi wangu asee, nilisimamia mwenyewe mwanzo mwisho.
Kwamba mkanda wa msingi umesuka nondo ya 8mmm na mkanda wa lenta umesuka nondo ya 12mm, mkuu ni fundi gani alikushauri kufanya hivyo?

Toa mchanganuo wa yafuatayo kama hutajali;

1. Nyumba ina ukubwa gani kwa mita za mraba(sq.m)
1. Matofali mangapi kuanzia chini hadi juu na tofali moja ni bei gani?
2. Landscape ikoje, sadala napafaham, maeneo mengi ni tambarare.
3. Cement mifuko mingapi na mfuko ni sh ngapi?
4. Nondo pisi ngapi na pisi moja ni bei gani
5. Mchanga Lori ngapi na bei yake ikoje?
6. Fundi kachukua kiasi gani toka chini hadi juu?
7. Kuna mengineyo kama maji, kokoto, mbao za kukodi, n.k

Just 6.5m? Sawa mkuu!!
 
Nimejenga nyumba ya vyumba vitatu yenye master, public toilet,kitchen,dining room combined with sitingroom from the foundation to lenter na kozi za juu kwa gharama ya 6.5M tena ina baraza mbili front and back hapo sijapaua, na msingi nimesuka nondo ya 8mm,baada ya kozi tatu nimezungusha seng'enge nyumba nzima kwenye vyumba va kuzunguka,nguzo nikaweka nondo ya 12mm, lenter nikapiga 12mm na kozi za juu nimeshafunga gharama ndio hiyo hapo nipo Moshi sadala anaebisha abishe, hiyo gharama pamoja na fundi mimi nimeshakabidhiwa box langu nyumba ukiigonga inalia chuma yani namkubali sana fundi wangu asee, nilisimamia mwenyewe mwanzo mwisho.
Wanaojifanya wajuaji watakubishia kama vile hela ya ujenzi ulikua unachukua kwao... Humu kuna watu wapuuzi sana
 
Kwamba mkanda wa msingi umesuka nondo ya 8mmm na mkanda wa lenta umesuka nondo ya 12mm, mkuu ni fundi gani alikushauri kufanya hivyo?

Toa mchanganuo wa yafuatayo kama hutajali;

1. Nyumba ina ukubwa gani kwa mita za mraba(sq.m)
1. Matofali mangapi kuanzia chini hadi juu na tofali moja ni bei gani?
2. Landscape ikoje, sadala napafaham, maeneo mengi ni tambarare.
3. Cement mifuko mingapi na mfuko ni sh ngapi?
4. Nondo pisi ngapi na pisi moja ni bei gani
5. Mchanga Lori ngapi na bei yake ikoje?
6. Fundi kachukua kiasi gani toka chini hadi juu?
7. Kuna mengineyo kama maji, kokoto, mbao za kukodi, n.k

Just 6.5m? Sawa mkuu!!
Na hata nisingesuka hiyo 8mm isingeleta athari yoyote ile, and kama unapajua sadala kwann unauliza landscape ikoje?

Ukweli utabaki kwamba tunakatishana tamaa,nipo jiji now (dsm) ningetoa mchanganuo ila notebook nimeacha moshi nikifanikiwa kurudi nitapiga picha niweke hapa muone, na pia nitatoa mchanganuo.
 
Wanaojifanya wajuaji watakubishia kama vile hela ya ujenzi ulikua unachukua kwao... Humu kuna watu wapuuzi sana
Achana nao ndugu yangu ila mim ndio nakwambia hiyo ndio gharama niliyotumia kujenga na nyumba iko poa tu yani imara kweli kweli.
 
Na hata nisingesuka hiyo 8mm isingeleta athari yoyote ile, and kama unapajua sadala kwann unauliza landscape ikoje?

Ukweli utabaki kwamba tunakatishana tamaa,nipo jiji now (dsm) ningetoa mchanganuo ila notebook nimeacha moshi nikifanikiwa kurudi nitapiga picha niweke hapa muone, na pia nitatoa mchanganuo.
Mkuu, hatukatishani tamaa ila tunafanya argument, kila mtu ana upande wake.

Wewe umejenga boma kwa 6.5m, yupo mwingine hiyo 6.5m hata haitoshi boma na sababu ni nyingi.

Ndio maana binafsi nimesema kila mtu ana definition ya "kumaliza nyumba". Sijui kwako kumaliza nyumba ni kufikia stage gani. Binafsi kwa sababu ya kukosa pesa nilihamia baada tu ya plaster ya ndani, huko nje wala sikuwaza..ila siwezi kuwaambia watu nilimaliza nyumba yangu nikahamia. Ndio nikasema, wapo watu kwa 50m nyumba imekamilika(kwa definition yao) na wapo ambao hapo ndio nusu ya ujenzi...kila mtu ana mtazamo wake wa namna nyumba imeisha.
 
Hivi mnaona 100m kuwa nyingi sana kwa ujenzi wa leo? Are you guys serious? Kuna nyumba na NYUMBA mkuu, zipo nyumba kwa sababu ya accessories zilizopo 100m ni kawaida tu.

Watu wanajenga nyumba nzuri mno, mno kiasi kwamba unajiuliza hizi pesa wao wanatoa wapi.

Kama nyumba yenye 150sqm mtu anatamia almost 15m-20m kupaua na kuezeka tu, unaonaje ajabu nyumba kugharimu 100m hadi finishing?mwingine hiyo 15m-20m amejenga msingi, boma na bati kashaweka.

Wewe useme kibongobongo na nyumba zetu kwa ujenzi wa kuungaunga ni kweli 100m ni nyingi, lakini kwa mtu mwenye resources zake anashusha mzigo wa 100m au zaidi kwa three-four bedroom house.
Tatizo sio kukataa kuwa hakuna nyumba ya 150m. Tatizo hizo nyumba mtu anaekwambia katumia 150m hazina chochote cha maana. Watu wanatumia material zile zile za kichina hakuna chochote cha maana. Wengi wanapigwa na wengi wanataja bei kubwa kutisha wenzao. Mambo ya kuongeza sifuri. Nyumba ina tiles za kichina,vyoo vya kichina,taa/switch/waya za kichina.rangi za kichina/ kila kitu cha kichina halafu umdanganye mtu nyumba ya vyumba vitatu umejenga kwa 150m ?
 
Tatizo sio kukataa kuwa hakuna nyumba ya 150m. Tatizo hizo nyumba mtu anaekwambia katumia 150m hazina chochote cha maana. Watu wanatumia material zile zile za kichina hakuna chochote cha maana. Wengi wanapigwa na wengi wanataja bei kubwa kutisha wenzao. Mambo ya kuongeza sifuri. Nyumba ina tiles za kichina,vyoo vya kichina,taa/switch/waya za kichina.rangi za kichina/ kila kitu cha kichina halafu umdanganye mtu nyumba ya vyumba vitatu umejenga kwa 150m ?
Mkuu, ndio maana nikampa mfano kuwa kuna mtu anapaua nyumba yake kwa 20m wakati huo kuna mwingine hiyo 20m amemaliza nyumba.

Kila mtu ana namna yake ya kusema nyumba yake imeisha. Gharama pia zinategemea.
 
Tatizo sio kukataa kuwa hakuna nyumba ya 150m. Tatizo hizo nyumba mtu anaekwambia katumia 150m hazina chochote cha maana. Watu wanatumia material zile zile za kichina hakuna chochote cha maana. Wengi wanapigwa na wengi wanataja bei kubwa kutisha wenzao. Mambo ya kuongeza sifuri. Nyumba ina tiles za kichina,vyoo vya kichina,taa/switch/waya za kichina.rangi za kichina/ kila kitu cha kichina halafu umdanganye mtu nyumba ya vyumba vitatu umejenga kwa 150m ?
Watu wanataja hela kubwa kutafuta ujiko tu.
 
Kwamba mkanda wa msingi umesuka nondo ya 8mmm na mkanda wa lenta umesuka nondo ya 12mm, mkuu ni fundi gani alikushauri kufanya hivyo?

Toa mchanganuo wa yafuatayo kama hutajali;

1. Nyumba ina ukubwa gani kwa mita za mraba(sq.m)
1. Matofali mangapi kuanzia chini hadi juu na tofali moja ni bei gani?
2. Landscape ikoje, sadala napafaham, maeneo mengi ni tambarare.
3. Cement mifuko mingapi na mfuko ni sh ngapi?
4. Nondo pisi ngapi na pisi moja ni bei gani
5. Mchanga Lori ngapi na bei yake ikoje?
6. Fundi kachukua kiasi gani toka chini hadi juu?
7. Kuna mengineyo kama maji, kokoto, mbao za kukodi, n.k

Just 6.5m? Sawa mkuu!!
Kinacho kushangaza ni mm8 kwenye beem ya msingi? Nikwambie hata hiyo 8mm asingiweka hakuna Shida,kama alikua na uhakika wa lenta nyumba nzima
Hii inategemea udongo wa eneo husika
 
Kinacho kushangaza ni mm8 kwenye beem ya msingi? Nikwambie hata hiyo 8mm asingiweka hakuna Shida,kama alikua na uhakika wa lenta nyumba nzima
Hii inategemea udongo wa eneo husika
Brother achana nao bhana sisi tunajua na tumefanya kwa namna yetu sisi, acha waendelee kujifanya wajuaji ila ukweli utabaki kwamba ukiwa na 15M inafikisha nyumba ya vyumba vitatu na master mbali sana kiasi unaweza kuhamia kama itakua bado basi ni finishing ndogo ndogo sana.

Hapo jirani yangu kuna aliyejenga hakuweka mkanda wa nondo kwenye msing wala kati hakuweka seng'enge na nyumba imesimama imara tu maisha yanakaribia kuanza anafanya finishing ahamie.
 
Back
Top Bottom