Gharama ya ujenzi wa vyumba vitatu, sebule, jiko na choo cha ndani

Gharama ya ujenzi wa vyumba vitatu, sebule, jiko na choo cha ndani

Kweli mkuu, ujenzi ni rahisi kuliko kununua kiwanja
Mkuu tatizo watoto wengi wa masikini hasa watanzania tumejawa na chuki na roho mbaya mtu akiambiwa mtu kajenga kwa 10m anaumia kisa shemeji ake kamtisha ili dada ake asiondoke waendelee kulea mtu na mke mwenzie yan dada na kaka....na huyo professional injinia alosoma nchi za magharibi atume vyeti apa tuone hizi nyumba za western culture ila wabongo wanamaneno ya kejeli wivu na unafki
 
kuna watu humu mnabishana nao mnapoteza muda tu kuhusu ujenzi na bei wakat wapo nyumban kwa shemeji wanakula kulala kunya bure...
Exactly what a shame i ever seen.......kuna watu hawana hata kigae kimoja kwao akiona vitu kwa mme wake uko anakuja kutisha watu....tandaluveta na omary yahunda fafruk mweusi nyau kunguru wa unguja hawa
 
Wakuu, Natumai mko vyema na mmejiandaa kikamilifu kuhesabiwa.

Unaambiwa upange maisha yako kwanza, uhakikishe unakuwa kwenye mstari wa mafanikio kisha uwaze kuhusu maisha ya ndoa. Uki-vise verse tambua kabisa utakuja kupigwa na kitu kizito kichwani mpaka ushangae. Nimeishuhudia mahali

Twende kwenye hoja:
Nahitaji kujenga nyumba ya vyumba vitatu (3 bedrooms), sebule ya ukubwa wa kawaida (yaani lisiwe casino), dining room iliyounganika na kitchen room kiaina, bila kusahau choo na bafu la ndani. Nahitaji kuweka vigae pamoja na singboard. Kupiga leap na kupakaa rangi nje na ndani. Madirisha ya aluminium yatakuwa sita nyumba nzima jumlisha na tu aluminium tudogo tuwili twa choo na bafu! Nahitaji kufanya wiring na kuweka umeme kabisa.

Niko mbele zenu ili kujua gharama zinazohitajika kwa ajili ya kukamilisha jukumu hili. Gharama za jumla kwa wenye uzoefu, ili kusudi nikienda kuchukua huu mkopo benki nimalize suala hili moja kwa moja, yasiwepo masuala ya aliishia kwenye renta! Hata kama una uzoefu may be na mchanganuo wa matofali, au sementi, au mabati (msaudhi) yatakayotosheleza pamoja na mbao zake naomba msaada wako kuhusu gharama. Nafahamu wengi wenu humu mmejenga!

Mawazo tafadhari!
mm ni Quantity Surveyor ( mkadiliaji majenzi) kwa anayeitaji uduma ya kuandaliwa Boq ya kuonesha garama za ujenzi wa nyumba yake au kwa kuombea mkopo pia kuandaliwa materials ambayo yataonesha nyumba yake inatumia material gan na kias gan na garama kiasi gani pia ata ukitaka kujengewa kwa bei nafuu kabisa bila kusahau kuchorewa raman nzuri na bora nicheki watsap 0753757303 /0677400169/0658400165 napatikana Dar es salaam pia nna kampuni ya ujenzi lupama Engineering.
 
Wakuu, Natumai mko vyema na mmejiandaa kikamilifu kuhesabiwa.

Unaambiwa upange maisha yako kwanza, uhakikishe unakuwa kwenye mstari wa mafanikio kisha uwaze kuhusu maisha ya ndoa. Uki-vise verse tambua kabisa utakuja kupigwa na kitu kizito kichwani mpaka ushangae. Nimeishuhudia mahali

Twende kwenye hoja:
Nahitaji kujenga nyumba ya vyumba vitatu (3 bedrooms), sebule ya ukubwa wa kawaida (yaani lisiwe casino), dining room iliyounganika na kitchen room kiaina, bila kusahau choo na bafu la ndani. Nahitaji kuweka vigae pamoja na singboard. Kupiga leap na kupakaa rangi nje na ndani. Madirisha ya aluminium yatakuwa sita nyumba nzima jumlisha na tu aluminium tudogo tuwili twa choo na bafu! Nahitaji kufanya wiring na kuweka umeme kabisa.

Niko mbele zenu ili kujua gharama zinazohitajika kwa ajili ya kukamilisha jukumu hili. Gharama za jumla kwa wenye uzoefu, ili kusudi nikienda kuchukua huu mkopo benki nimalize suala hili moja kwa moja, yasiwepo masuala ya aliishia kwenye renta! Hata kama una uzoefu may be na mchanganuo wa matofali, au sementi, au mabati (msaudhi) yatakayotosheleza pamoja na mbao zake naomba msaada wako kuhusu gharama. Nafahamu wengi wenu humu mmejenga!

Mawazo tafadhari!
mm ni Quantity Surveyor ( mkadiliaji majenzi) kwa anayeitaji uduma ya kuandaliwa Boq ya kuonesha garama za ujenzi wa nyumba yake au kwa kuombea mkopo pia kuandaliwa materials ambayo yataonesha nyumba yake inatumia material gan na kias gan na garama kiasi gani pia ata ukitaka kujengewa kwa bei nafuu kabisa bila kusahau kuchorewa raman nzuri na bora nicheki watsap 0753757303 /0677400169/0658400165 napatikana Dar es salaam pia nna kampuni ya ujenzi lupama Engineering.
 
Hizi gharama ni mikoa ipi mkuu? Naona trip a mawe, nadhani mawe yanapunguza gharama sana kuliko blocks kwenye msingi.

400k kwa ufundi, umejumuisha uchimbaji wa msingi? Basi kuna maeneo fundi wanalipwa kidogo sana.

Nimependa mchanganuo, japo gharama halisi inategemea na,mazingira kama ulivyosema.
Yes mawe yanapunguza gharama sana kuliko tofari.
 
mm ni Quantity Surveyor ( mkadiliaji majenzi) kwa anayeitaji uduma ya kuandaliwa Boq ya kuonesha garama za ujenzi wa nyumba yake au kwa kuombea mkopo pia kuandaliwa materials ambayo yataonesha nyumba yake inatumia material gan na kias gan na garama kiasi gani pia ata ukitaka kujengewa kwa bei nafuu kabisa bila kusahau kuchorewa raman nzuri na bora nicheki watsap 0753757303 /0677400169/0658400165 napatikana Dar es salaam pia nna kampuni ya ujenzi lupama Engineering.
Nyumba ya Vyumba vitatu unakadiriwa thamani ya milioni 70 wakati huo kwenye akaunti una laki 3 tu.
Mnatukatisha tamaa sana
 
SEMINA SEMINA SEMINA YA UJENZI

UVIMO CIVIL GROUP
Tunajishughulisha na ufundi wa ujenzi nyumba.

Kupitia majukwaa yetu ya
UVIMO PUBLIC CENTER
,tumekuwa tukiendesha semina mahsusi za ujenzi.

UVIMO MAKTABA
Ndio programu yetu mahususi

Tumedhamilia kufanya semina mahususi juu ya ujenzi kuanzia uchaguzi wa uwanja hadi kuingia n.k
Kaika programu hii, utafaham kipi cha kuanza kwa kufuata utaratibu gani.

Ungana na wadau wengine kuanzia
Tarehe [emoji1428]1/3/2023
Ukumbi [emoji1428]Uvimo Public Center WhatsApp group
Kiingilio [emoji1428]Bure kabisa

Wasiliana nasi kupitia
WhatsApp [emoji1428]0753927572
Kupiga[emoji1428] 0753927572

Uvimo Maktaba
Uvimp public centre iko wapi ?
 
Hivi mnaona 100m kuwa nyingi sana kwa ujenzi wa leo? Are you guys serious? Kuna nyumba na NYUMBA mkuu, zipo nyumba kwa sababu ya accessories zilizopo 100m ni kawaida tu.

Watu wanajenga nyumba nzuri mno, mno kiasi kwamba unajiuliza hizi pesa wao wanatoa wapi.

Kama nyumba yenye 150sqm mtu anatamia almost 15m-20m kupaua na kuezeka tu, unaonaje ajabu nyumba kugharimu 100m hadi finishing? mwingine hiyo 15m-20m amejenga msingi, boma na bati kashaweka.

Wewe useme kibongobongo na nyumba zetu kwa ujenzi wa kuungaunga ni kweli 100m ni nyingi, lakini kwa mtu mwenye resources zake anashusha mzigo wa 100m au zaidi kwa three-four bedroom house.
Nakuunga mkono kbsa..mm nimejenga boma tu mpka linakamilika nimetumia 31.5 milioni
..mwaka huu..na ni kwa sababu nyumba imejengwa sehem ambayo hakuna level na nimelaza tofali nyng sana chini kufanya msingi uwe mgumu


Kuna sehemu nilijenga nyumba yangu ya kwanza..boma nilitumia 15 milioni tu..2017 hyo
 
Kulingana na sehemu ,japo bei ya finishing almost ni flat rate nchi nzima , andaa kat ya 28 million - 35 million
Iringa tunajengea tofali za kuchoma na mbao huku ndio zilikozaliwa. Tofali moja 50/= au 100/= hadi site. Mbao bei inaanzia 700/=
Ukiwa na 15m mjengo unasimama. Sehemu kama Dar andaa mara mbili yake bila finishing touches
 
Back
Top Bottom