Usimlipe kwa tofar mlipe kwa day yan unafanya hiv tafuta fund mtae ivana ndo awe kama msimamiz lakin na yy awe fund af ww ndo uwe kama umeshika hiyo tenda yan usjulikane kam ww ndi bos.Naomben mnisaidie rough estimation ya gharama ya fundi kumlipa. Sijawahi kujenga nataka nianze kijenga mafundi huwa mnawalipaje mfano mm fundi nataka aanzie msingi hadi boma, je kwa nyumba ya vyumba vitatu master vyote, dinning kitchen store naweza kimlipaje fundi sijui kabisa wanavolipwa but sitak ule mfumo wa kumlipa kwa tofauli
Unampoteza mwenzio huo mfumo Sio rafiki Kwa mtu anayetaka kaz Bora na iliyokidh viwangoUsimlipe kwa tofar mlipe kwa day yan unafanya hiv tafuta fund mtae ivana ndo awe kama msimamiz lakin na yy awe fund af ww ndo uwe kama umeshika hiyo tenda yan usjulikane kam ww ndi bos.
Af uyo fund unamlipa tofaut na mafund wengine ko unakuwa na mafund weng ata 6 na ko we unawalipa kwa siku na shart wakimbie ndo walipwe mf wakianza kupandsha tofar sku yakwanza wakikishe wafike kwa madirisha sku yapili wanaenda ad saiz ya lenta ..... Ko kwa siku chache unamaliza nyumba kwa bei chee
Kuliko kukabidh contractor sjui ya mil.3 bad ayaend lakin ukifanya hv unakimbiza nyumba tena saf
Ok nashukuruTafuta fundi, mpe ramani aiangakie, kadiria gharama ya ujenzi wote unapotaka kuishia. Mafundi wake awalipe mwenyewe, muda wa kazi mpe estimate ili asishike tenda sehemu nyingine. Lakini kadiria bajeti yako isije material yakaisha na huna hela ya kufikia mlipokubaliana.
Mimi huwa fundi anaangalia ramani, ananiambia msingi hadi kufunga mkanda bei fulani, kusimamisha boma hadi kufumga linta na kozi tatu juu bei fulani. Matank ya maji taka bei fulani. Hivyo ndivyo nafanyagaNaomben mnisaidie rough estimation ya gharama ya fundi kumlipa. Sijawahi kujenga nataka nianze kijenga mafundi huwa mnawalipaje mfano mm fundi nataka aanzie msingi hadi boma, je kwa nyumba ya vyumba vitatu master vyote, dinning kitchen store naweza kimlipaje fundi sijui kabisa wanavolipwa but sitak ule mfumo wa kumlipa kwa tofauli
OkMimi ni fundi anaangalia ramani, ananiambia msingi hadi kufunga mkanda bei fulani, kusimamisha boma hadi kufumga linta na kozi tatu juu bei fulani. Matank ya maji taka bei fulani. Hivyo ndivyo nafanyaga
Acha ujingaUsimlipe kwa tofar mlipe kwa day yan unafanya hiv tafuta fund mtae ivana ndo awe kama msimamiz lakin na yy awe fund af ww ndo uwe kama umeshika hiyo tenda yan usjulikane kam ww ndi bos.
Af uyo fund unamlipa tofaut na mafund wengine ko unakuwa na mafund weng ata 6 na ko we unawalipa kwa siku na shart wakimbie ndo walipwe mf wakianza kupandsha tofar sku yakwanza wakikishe wafike kwa madirisha sku yapili wanaenda ad saiz ya lenta ..... Ko kwa siku chache unamaliza nyumba kwa bei chee
Kuliko kukabidh contractor sjui ya mil.3 bad ayaend lakin ukifanya hv unakimbiza nyumba tena saf
Sio kweli ramani ni 100K kuanzia residential house mpaka 80k zipoRamani nyingi zinaangukia kwenye 2Mil.
Ramani utasoma mwenyewe?.na kuseti itaseti mwenyewe?.Usimlipe kwa tofar mlipe kwa day yan unafanya hiv tafuta fund mtae ivana ndo awe kama msimamiz lakin na yy awe fund af ww ndo uwe kama umeshika hiyo tenda yan usjulikane kam ww ndi bos.
Af uyo fund unamlipa tofaut na mafund wengine ko unakuwa na mafund weng ata 6 na ko we unawalipa kwa siku na shart wakimbie ndo walipwe mf wakianza kupandsha tofar sku yakwanza wakikishe wafike kwa madirisha sku yapili wanaenda ad saiz ya lenta ..... Ko kwa siku chache unamaliza nyumba kwa bei chee
Kuliko kukabidh contractor sjui ya mil.3 bad ayaend lakin ukifanya hv unakimbiza nyumba tena saf
Kama unataka unataka Kazi Bora hakikisha unawalipa vizuri Mafundi ,cheap is expensive
Ramani nyingi zinaangukia kwenye 2Mil.
una graund flor yake nioone vyumb vumekaaj nikipend nanunuaMimi nakupa ya vyumba vitatu kwa 80k
Choko weUsimlipe kwa tofar mlipe kwa day yan unafanya hiv tafuta fund mtae ivana ndo awe kama msimamiz lakin na yy awe fund af ww ndo uwe kama umeshika hiyo tenda yan usjulikane kam ww ndi bos.
Af uyo fund unamlipa tofaut na mafund wengine ko unakuwa na mafund weng ata 6 na ko we unawalipa kwa siku na shart wakimbie ndo walipwe mf wakianza kupandsha tofar sku yakwanza wakikishe wafike kwa madirisha sku yapili wanaenda ad saiz ya lenta ..... Ko kwa siku chache unamaliza nyumba kwa bei chee
Kuliko kukabidh contractor sjui ya mil.3 bad ayaend lakin ukifanya hv unakimbiza nyumba tena saf
Ukimaansh msing had geboRamani nyingi zinaangukia kwenye 2Mil.
Vipi ikiwa nyumba haina gebo?Ukimaansh msing had gebo