Gharama za bia zimepanda ghafla

paqwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2019
Posts
2,106
Reaction score
2,831
Wapenzi wenzangu wa kinywaji kizuri cha beer, tumeingiliwa, beer zetu pendwa kwa bei elekezi zimeanza kupanda kinyemela, Serengeti Lite sasa inauzwa Tsh. 2000 kutoka Tsh 1500, hii siyo fair.

Kwanza hakuna sababu za msingi, tumlaumu nani, serikali au viwanda? Maana vinapata faida kubwa tu hata wangeuza beer bukubuku. Nini kifanyike? au kwa kuwa tumekuwa ndiyo wachangiaji wakubwa wa pato wameona watunyooshe? Hili ni jambo kubwa na la dharura.
 
Tozo za kuikomboa ndege kutokana na deni la ghafla, hata hivyo sijui tunaikomboa ya nini kwani tangu upya wake haijawahi kuingiza faida, si tuliache tu.
 
Huku Mwanza maeneo ya Kona ya Bwiru kuna jamaa alikuwa anauza bia zote sh 1300, aisee tulikuwa tunatandika mvinyo acha kabisa, sasa nae kapandisha anauza 1500
Dah unakuta hapo anafidia hela yake kwenye nyama choma. Biashara ukiijulia raha sana
 
Huku Mwanza maeneo ya Kona ya Bwiru kuna jamaa alikuwa anauza bia zote sh 1300, aisee tulikuwa tunatandika mvinyo acha kabisa, sasa nae kapandisha anauza 1500
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hali ikoje kwa my favorite "Heineken"?[emoji22]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…