Mbalamwezi
JF-Expert Member
- Sep 30, 2007
- 800
- 172
1. Kwa ATI kukaa na kupanga bei (curtailing) ni kinyume na kanuni za soko huria.
2. Kwa Mdhibiti TIRA kuridhia ongezeko hilo ni kinyume cha kanuni za udhibiti.
3. Wote wanaweza kushtakiwa Fair Competition Tribunal (FCT) na kuomba objection ya ongezeko hilo na hata kulifuta.
4. Hii ni hatua muhimu ya kuupima ubavu wa mdhibiti kama ana weledi na umakini wa kuendesha sekta ya bima nchini.
2. Kwa Mdhibiti TIRA kuridhia ongezeko hilo ni kinyume cha kanuni za udhibiti.
3. Wote wanaweza kushtakiwa Fair Competition Tribunal (FCT) na kuomba objection ya ongezeko hilo na hata kulifuta.
4. Hii ni hatua muhimu ya kuupima ubavu wa mdhibiti kama ana weledi na umakini wa kuendesha sekta ya bima nchini.