No!Timu ya Taifa na ndege pia ni ya Taifa so ni kutoa mfuko wa kushoto kupeleka wa kulia hapo watoto wa mjini tunasema ngoma droo
kuwa muelewa mkuu!!serikali imesema kuwa imetoa ndege hiyo hata kama itaenda na wachezaji tu na viongozi lazima iende!!haitegemei mashabiki kuchangia!!sasa tuseme timu na viongozi wawe 30!! kuna nafasi kama 220!!kipi afadhari uwatoze watu japo laki tano ili ndege ijae au iende na hao watu 40?!!tuni suala la mahesabu bu kwa nauli ya milioni 3.4,, sijui kama hata abiria 50 watapatikana!!labda kama sio mashabiki ila ni wafanyabiashara waendao kuangalia fulsa!!!ila kwa wale wapaka marangi mwili mzima hakuna hata mmoja!!Kwahiyo ikipungua mafuta yataliwa na hela gani...?
Na ambao ndo amsha amsha ya uwanja hawawezi kwenda wataenda waliovaa suti tu na kupiga makofi basikuwa muelewa mkuu!!serikali imesema kuwa imetoa ndege hiyo hata kama itaenda na wachezaji tu na viongozi lazima iende!!haitegemei mashabiki kuchangia!!sasa tuseme timu na viongozi wawe 30!! kuna nafasi kama 220!!kipi afadhari uwatoze watu japo laki tano ili ndege ijae au iende na hao watu 40?!!tuni suala la mahesabu bu kwa nauli ya milioni 3.4,, sijui kama hata abiria 50 watapatikana!!labda kama sio mashabiki ila ni wafanyabiashara waendao kuangalia fulsa!!!ila kwa wale wapaka marangi mwili mzima hakuna hata mmoja!!
UNAHISI INATUMIA MKOJO WAPUNDAA EEHWakati Serikali ikitangaza gharama za safari ya timu ya Taifa "Taifa stars" kwenda Cape Verde ni dola 1,500 na dola 2,000 wadau wameibuka na kudai fedha hizo ni nyingi kwa Mtanzania wa kawaida kumudu
Wakizungumza kwa nyakati tofauti jana, wadau hao walisema gharama hizo ni kubwa kulinganisha na hali ya kiuchumi ilivyo wametoa rai kwa Serikali kuangalia upya gharama ya usafiri..
chanzo gazeti la Mwananchi
Nunuayakookwanini wasipande bure
SHAZOEE VIZIGO VYA SINZA MNAWEKA SIMU NISIPOKOJOA BAADA YA DK KUMI SIMUYANGU NIKIKOJOA NDAN YA DK KUMI YAKOO KWIKIWNo!
Waweke bond hela iliyotajwa.
Wakishinda wanarudishiwa yote, lkini wakifungwa inakula kwao.