Wakati Serikali ikitangaza gharama za safari ya timu ya Taifa "Taifa stars" kwenda Cape Verde ni dola 1,500 na dola 2,000 wadau wameibuka na kudai fedha hizo ni nyingi kwa Mtanzania wa kawaida kumudu
Wakizungumza kwa nyakati tofauti jana, wadau hao walisema gharama hizo ni kubwa kulinganisha na hali ya kiuchumi ilivyo wametoa rai kwa Serikali kuangalia upya gharama ya usafiri..
chanzo gazeti la Mwananchi
Wakizungumza kwa nyakati tofauti jana, wadau hao walisema gharama hizo ni kubwa kulinganisha na hali ya kiuchumi ilivyo wametoa rai kwa Serikali kuangalia upya gharama ya usafiri..
chanzo gazeti la Mwananchi