Uchaguzi 2020 Gharama za Fomu ya Ubunge

Ndani ya CCM ni tshs 100,000/= (fomu) na kiasi kingine cha kuchangia shughuli za uteuzi ambacho hutofautiana kutoka jimbo kwenda jimbo jingine - mathalani kwa jimbo la Buyungu mchango unafika tshs 900,000/= (jumla zinakuwa tshs 1,000,000/=)

Hata hivyo chini ya uongozi wa sasa wa wasomi huenda zikaondolewa au kupunguzwa
 
Umeelewaka vizuri mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…