mdoehaji
New Member
- Nov 26, 2007
- 3
- 1
Salamu Wakuu:
Nahitaji kujielimisha kuhusu gharama za kupiga plasta ile wanasema ni ya kisasa ikiwa ni mchanganyiko wa Cement + Sand + Gypsum. Hii wanasema ndio bora na inakusugua kwingi.
Tuchukulie kuwa jengo lina vyumba vya kulala vinne alafu na sebule. Pia ukuta umefika hadi meter tatu (high ceiling) na eneo la sakafu la nyumba ni square meter 250.
Jee hiyo itakuwa kiasi gani kwa makadirio tu. Yaani kiwango cha chini alafu cha juu (Labor Cost Price Range)
Hapa naongelea Labor charge ya mafundi. Au Nguvu Kazi.
Ahsanteni
Mdoe Haji
Nahitaji kujielimisha kuhusu gharama za kupiga plasta ile wanasema ni ya kisasa ikiwa ni mchanganyiko wa Cement + Sand + Gypsum. Hii wanasema ndio bora na inakusugua kwingi.
Tuchukulie kuwa jengo lina vyumba vya kulala vinne alafu na sebule. Pia ukuta umefika hadi meter tatu (high ceiling) na eneo la sakafu la nyumba ni square meter 250.
Jee hiyo itakuwa kiasi gani kwa makadirio tu. Yaani kiwango cha chini alafu cha juu (Labor Cost Price Range)
Hapa naongelea Labor charge ya mafundi. Au Nguvu Kazi.
Ahsanteni
Mdoe Haji