umri na nafasi vinahusiana nini na utahira wakoNdo tatizo la Jf hili,unamquote mtu ambaye hujui ana umri gani,anaitwa nani au ana nafasi gani,
umeandika nini mkuu kwni kuna TX ambayo si prado?? unaongelea prado j150 ?? yes ni ghali sana la 2014 used ni 150 kila kituExtrovert HIZI TX TOLEO JIPYA ZENYE MUUNDO WA PRADO? MBONA NASIKIA NI GHARI?
Tahira mama ako aliyekuzaaumri na nafasi vinahusiana nini na utahira wako
Mwana Range Rover Sports au Porsche Macan Turbo kuendesha mjini unachagua ipikati ya hizo mbili?
Nikilichoka gari langu la sasa natafuta kifaa cha kueleweka.
Jaguar?Magari baba mkwe hayo,unless warranty ikiisha(3 years) unatafuta boya wa kumkamatisha la sivyo utaisoma no. Vzr kabisaa.Babu angalia na 2017 Jaguar E Pace mkuu niona km itakufaa sana
yes sirTatizo Umaskini wetu tu,
Hummer ina heshima zake bwana.
Vip after 3 yrs of depreciation, inazingua mzee baba?Jaguar?Magari baba mkwe hayo,unless warranty ikiisha(3 years) unatafuta boya wa kumkamatisha la sivyo utaisoma no. Vzr kabisaa.
Mmmh hili gari usema ukweli halina mvuto!...utafikiri kiboko kakurupushwa na mamba mtoniTatizo Umaskini wetu tu,
Hummer ina heshima zake bwana.
Aisee nilijionea sehemu jaguar xj 2009 baada ya hio 3 yrs aisee utabaki unaliona kwa nje lilivyo zuri lkn utalipaki home bila kupenda mkuu.Vip after 3 yrs of depreciation, inazingua mzee baba?
Kule geita kuna baadhi ya wachimba madini wenye hummer wanabebea vifurushi vya michanga wanayoenda kuchenjulia madini mkuu,teh tehTatizo Umaskini wetu tu,
Hummer ina heshima zake bwana.
Hii Gari kwa hapa Bongo ndio Brand ya Uhakika!!.
Jina lake tu, Ndoa kadhaa zitakua zimeshavunjika.!!.
Utakua kama pimp mtaani.
We nunua tu.
Usijali kama ni used ama old model.
We Nunua nikupeleke ile baa yenye mademu wakali. Ili Tukasumbue..!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena hilo ukiendesha mtoto mkali kama wewe na mawani makubwaaa,watu wote wanageuza shingoMmmh hili gari usema ukweli halina mvuto!...utafikiri kiboko kakurupushwa na mamba mtoni
Lile gari baya bana joowzTena hilo ukiendesha mtoto mkali kama wewe na mawani makubwaaa,watu wote wanageuza shingo
Hilo gari kumbe pumbafu zake kabisa!Aisee nilijionea sehemu jaguar xj 2009 baada ya hio 3 yrs aisee utabaki unaliona kwa nje lilivyo zuri lkn utalipaki home bila kupenda mkuu.
Ndani ni very luxurious lkn baada ya muda interior inaanza kuji'peel' afu magonjwa ya kiufundi yanaanza kunoga weka na mziki wa spea zake sasa.
Pumbavu sana lile gari mkuu.
Baby nikikusuprise kwny bday yako keshokutwa utalikataa?Lile gari baya bana joowz
Haaahaaa....we jamaa banaBaby nikikusuprise kwny bday yako keshokutwa utalikataa?
and that's youTahira mama ako aliyekuzaa
and that's youTahira mama ako aliyekuzaa