Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
KabisaAombe na ile chumvi ya mawe iliyochanganywa na pilipili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaAombe na ile chumvi ya mawe iliyochanganywa na pilipili
Inakuwaga kwa ajili gani hiyo mkuuAombe na ile chumvi ya mawe iliyochanganywa na pilipili
Kupitia masasi utafika saa 12 kupitia mtama utafika saa 10 kama utapanda Ibra au BarakaTukiondoka Dar saa kumi na mbili na nusu Newala tunafika saa ngapi mkuu?
Asante sana mkuu nime book Mahuta. Vipi wapo vizuri au ni cancel nipande One A?Kupitia masasi utafika saa 12 kupitia mtama utafika saa 10 kama utapanda Ibra au Baraka
Hafiki Saa 1 Mkuu Hadi Saa 10 Jion Keshafika Zake,Asisahau Tu Kufika DumeChipsNyamaChoma Kwaajili Ya Mlo Wa Jion Baada Ya Uchovu Wa SafarYa jioni au asubuhi kama ni asubuhi kule kufika Itakuwa saa 1 au saa 2 usiku kama ni usiku basi kufika ni saa 1 au saa 2 asubuhi
Tuombe Salama Ila Gari Zao Sio Mzuri SanaAsante sana mkuu nime book Mahuta. Vipi wapo vizuri au ni cancel nipande One A?
Hivi kutoka Dar mpaka Mtwara barabara ni lami tupu au kuna sehemu korofi? Kama ni lami tupu, lami yake ni nzuri na barabara kwa ujumla ni nzuri?Chimuke Guest
Asante sana kaka ngoja ni cancel Mahuta nikakate Ibra au Baraka. Full name ya bus la Ibra ni niniUsipande Mahuta Mkuu Itakuchelewesha, na kama mpenzi wa zege mambo ya juic freshi yote utapata DumeChipsNyamaChoma Ukifika Pale Kuna Dogo Mjanja Mjanja Anaitwa Hamis Mwera Mpe Hai Sana, Kitambo Sana
Basi powa kaka kwa sababu nilikuwa sijalipia wacha nikakate baraka au ibraTuombe Salama Ila Gari Zao Sio Mzuri Sana
Ibra ExpressAsante sana kaka ngoja ni cancel Mahuta nikakate Ibra au Baraka. Full name ya bus la Ibra ni nini
Hivi kutoka Dar mpaka Mtwara barabara ni lami tupu au kuna sehemu korofi? Kama ni lami tupu, lami yake ni nzuri na barabara kwa ujumla ni nzuri?
Hadi Raha skuiziHadi Mtwara Mjin Lami Tupu
Asante mkuu wana ofisi pale Sudan eeh?Ibra Express
Zipo tsh 50,000 mpaka 80,000Habari zenu wana Jf Nina safari ya kwenda Masasi kesho insha'allah then nitaenda Newala kisha Mtwara mjini. Naomba kuulizia anae fahari gesti za bro nafuu kwa Newala na Masasi. Bajeti ya sh elfu kumi hadi kumi na 5.
Asanteni sana ndugu zanguni
Pia kuna sehemu mpya iko vizuri inaitwa "Newala pazuri", atapata hitaji lake .Usipande Mahuta Mkuu Itakuchelewesha, na kama mpenzi wa zege mambo ya juic freshi yote utapata DumeChipsNyamaChoma Ukifika Pale Kuna Dogo Mjanja Mjanja Anaitwa Hamis Mwera Mpe Hai Sana, Kitambo Sana
Acha kuogofya watu, kwani amekuambia anaenda "Shimo la Mungu hotel"?Zipo tsh 50,000 mpaka 80,000